Kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya

Kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya

A "bitch" is a slang word representing women. Hio ni kwa kingereza ila kibongo bongo ni "malaya" ni neno la jumla jumla kiwakilishi cha wanna wake!
Whaaat!? Yani kibongobongo malaya ni kiwakilishi cha wanawake? Bongo gani unayoishi wewe?

Malaya kibongo bongo ni mwanamke anaetoa penzi kwa pesa! Nenda umuite dada yako malaya uone kitachotokea ama lah nenda kitaa useme "yule malaya ni dada yangu", uone wadau watavofurukuta kuja kwenu kumcheki sista ako walau nao waambulie mbususu ya bei chee.

Usipotoshe ili uonekane uko sahihi, mi naongelea malaya wala sio mahusiano ndgu yangu. Wewe unaongelea hao madem zako unaowafukuzia mwezi mzima na ahadi kibao na unawala bure.

Yaah ukiconvert huo mwezi na muda uliotumia kwa ajili yake acha ule bure tu, ila kwa wasiotaka mazingzong unatoa mshiko unapiga pipe unasepa, hata huyo demu wako(unaemuita malaya hapa) nae hafurukuti mbele ya pesa.
 
Ni mojawapo ya vigezo vya kitafiti vya kisayansi juu mahusiano ya kimapenzi kuhusu wapenzi kupeana zawadi.

Asomaye na afahamu.
Vigezo vyako tu hivyo.

Okay huenda utampata wa hivyo, ni vile utataka kumuendesha vile utakavyo but make sure, hana pesa kukuzidi na sio mzuri. Good luck.
 
Whaaat!? Yani kibongobongo malaya ni kiwakilishi cha wanawake? Bongo gani unayoishi wewe?

Malaya kibongo bongo ni mwanamke anaetoa penzi kwa pesa! Nenda umuite dada yako malaya uone kitachotokea ama lah nenda kitaa useme "yule malaya ni dada yangu", uone wadau watavofurukuta kuja kwenu kumcheki sista ako walau nao waambulie mbususu ya bei chee.

Usipotoshe ili uonekane uko sahihi, mi naongelea malaya wala sio mahusiano ndgu yangu. Wewe unaongelea hao madem zako unaowafukuzia mwezi mzima na ahadi kibao na unawala bure.

Yaah ukiconvert huo mwezi na muda uliotumia kwa ajili yake acha ule bure tu, ila kwa wasiotaka mazingzong unatoa mshiko unapiga pipe unasepa, hata huyo demu wako(unaemuita malaya hapa) nae hafurukuti mbele ya pesa.
Mkuu ume take it so personal
 
Ilinikuta wiki iliyopita niko hospital kufanyiwa operesheni sehemu ya ubavuni halafu na demu anajua chaajabu ananiambia nimtumie kiasi cha hela yuko kwa wakala anataka kutoa kiasi fulani akanunue vitu vyake vya kutumia...nikasema yale yale unatoka jela baby anakuuliza unanipa zawadi gani

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mmmh huyu ana roho ngumu tu , unaanzaje kumuomba mtu na yupo hospital 🤔
 
Vigezo vyako tu hivyo.

Okay huenda utampata wa hivyo, ni vile utataka kumuendesha vile utakavyo but make sure, hana pesa kukuzidi na sio mzuri. Good luck.


Uzuri ni relative!

Kwanza hakunaga mtu mbaya!

Kumpenda mtu Kwa dhati ya moyo hakuelezeki!

Saingine watu wanaweza kujiuliza fulani kampendea nini yule? Pengine si pesa wala mali !

Mtu anaweza mpenda mtu hata kwa kuzingatia mambo madogo madogo sana!
 
Uzuri ni relative!

Kwanza hakunaga mtu mbaya!

Kumpenda mtu Kwa dhati ya moyo hakuelezeki!

Saingine watu wanaweza kujiuliza fulani kampendea nini yule? Pengine si pesa wala mali !

Mtu anaweza mpenda mtu hata kwa kuzingatia mambo madogo madogo sana!
Wabaya wapo kulingana na perception yako!
Kinachonitatiza kwako ni kuthaminisha upendo kwa mali.!
Utakua na tofauti gani na huyo mwanameke mpenda pesa?? Coz wote mnathaminisha upendo kwa material things!!
 
Wabaya wapo kulingana na perception yako!
Kinachonitatiza kwako ni kuthaminisha upendo kwa mali.!
Utakua na tofauti gani na huyo mwanameke mpenda pesa?? Coz wote mnathaminisha upendo kwa material things!!


Sizani kama ni sahihi kusema wote,

bali tuseme walio wengi ni kweli wanaangalia maslahi zaidi kuliko upendo wa dhati ya moyo.
 
Mwanaume kama unazani mwanamke uliyenaye anakupenda au anapenda pesa yako jaribu kumwambia kuwa kuna tatizo limetokea kazini na kwa hiyo kwa sasa huna hela kabisa.

Halafu usimpe hela kwa muda fulani wa kutosha uone kama atapokea Simu zako na kujibu meseji,

Uone kama ukimwita kwaajili ya kutaka kujamiana kama atakuja au iwapo ulikuwa unaenda alipo uone kama atakupa ushirikiano!

Hataweza kukuvumilia hata kidogo, atakuacha.!

Atatafuta mabwana wengine huko!
 
Sizani kama ni sahihi kusema wote,

bali tuseme walio wengi ni kweli wanaangalia maslahi zaidi kuliko upendo wa dhati ya moyo.
Kama sio wote wanaangalia maslahi basi na wewe usiangalie maslahi.

Mpe muda, mpe uhuru kama anakupenda utaona tu signs.
 
Mwanaume kama unazani mwanamke uliyenaye anakupenda au anapenda pesa yako jaribu kumwambia kuwa kuna tatizo limetokea kazini na kwa hiyo kwa sasa huna hela kabisa.

Halafu usimpe hela kwa muda fulani wa kutosha uone kama atapokea Simu zako na kujibu meseji,

Uone kama ukimwita kwaajili ya kutaka kujamiana kama atakuja au iwapo ulikuwa unaenda alipo uone kama atakupa ushirikiano!

Hataweza kukuvumilia hata kidogo, atakuacha.!

Atatafuta mabwana wengine huko!
Sijui huwa mnadate wanawake gani tu, au njia mnayotumia kuwatongoza ndio huwa zinawaponza?


Naweza kusema nina bahati sana.
 
Sio wote mkuu, me na mtu wangu mwaka wa pili huu nampenda na yeye ananipenda sana.. hajawai niomba hela yoyote me ndo huwa najiongeza nampa ya matumiz madogo madogo.

Yeye anaishi kwao ila huwa anakuja kwangu mpka kunifanyia usafi wikiend,, nikimuhitaji kimapenz huwa haniambii nitumie nauli anakuja mwenyewe me ndo najiongezaga namchukulia usafir akiwa anaondoka .

Narudia hajawai niomba pesa yoyote labda vocha kwa ajili ya bando tena huwa inatokea mara chache sana na ni usiku Kwasababu hawezi kwenda dukan muda huo..

Mwisho niseme hata mimi nilikua na mawazo kama yako mkuu ,, ila wanawake wapo ambao hawana tabia hizo mkuu ila haujampata tu. Mwanamke akikupenda kweli hawezi kukufanya ATM [emoji763] kwahyo usichoke kutafuta utampata tu asiye na tabia hizo
Acha uwongo mkuu dem uyo hayupo dunian hapa
 
Acha uwongo mkuu dem uyo hayupo dunian hapa
Jf bwana😄.

Mtu anakuelezea aina ya mwanamke aliyenae yeye halafu wewe unakuja kusema hakuna mwanamke wa aina hiyo duniani, huyo mwanamke wake unamjua??

Shida nu kwamba mnadate na malaya ndomaana kila kitu mnaona hakiwezekani kwa wanawake, eti dunia nzima😄.
 
Back
Top Bottom