Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Tetesi: Kabudi kuachia nafasi zote za kisiasa

Hana jeuri hiyo mzee wa jalalani! Anavyotoaga ile mimacho yake na kulazimisha aaminike bila hoja kisa yeye profesa nilimdharau sana huyo mtu.... ni mtu wa hovyo na hana tofauti yoyote na washenzi wengine.
Hii mitandao bana... Ukamdharau au sio...!
 
Alishavunjiwa heshima yake baada ya eti kufukuzwa kazi kwa chuki za Utanganyika yeye na Lukuvi mwaka jana. Eti wazee.
 
Hujamsikia Lissu? Lile jitu limesoma kwelikweli! Limekaa shule Germany miaka 9 likisoma
Ni kweli ila elimu yake kwa sasa imekuwa so outdated, ndio maana kila akipewa nafasi ya kuongea amebaki kuongea historia na siasa sa karne iliyopita za kina Nyerere. Kabudi hana ushawishi wa kupata hata kura 100 kwenye siasa za kizazi cha sasa.
 
Hata Lazaro Nyalandu alifanya hivyo

Wagombea wenzie wanasubiri tangazo la kuachia nafasi wakalichukue
 
Ha
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.
Hakuna ulaji tena kwake,over.
 
Itakuwa anaujua ukweli juu ya yanayoendelea.
 
Taarifa za ndani kutoka kwa watu wake wa karibu zinadai mzee anafikiria kuachia ngazi zote za kisiasa.

" Toka juzi hayupo sawa na aliwataarifu baadhi ya rafiki zake wa ndani akiwamo kiongozi mkubwa mstaafu kwamba anataka ku resign nafasi zote za kisiasa."

" Yule huwa harudi nyuma nafikiri mkutano wake ujao kule jimboni atawaaga wapiga kura wake."

" Ni wazi hafurahishwi na yanayoendelea."

Chanzo.

..Kabudi alijichafua kwa kuwa chawa wa kiongozi mkatili na mbaguzi.
 
Kwakua amekua kama abandoned na the way alivyokua unaumiza san, lkn lazima akubali siasa za bongo punde waeza fanywa raia wa kawaida!! Arudi tu jalalani. NB; Kamwe ubunge hauachiii!!
Akubali tu matokeo...
 
Mafuta.na maji hayakai.pamoja
Waadirifu na majizi ni tofauti
 
Back
Top Bottom