M23 hawajasema wanataka kupewa nchi yao....Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.
Nimekituliza sanaKitulize, wewe endelea kuita tu mama mama mama...na kuvaa suti zake Magoti.
Mtusi tueshimiane kidogo na sura zenu kama za ng'ombe wa mara. Mrwanda wewe😏😏Idiot
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!
Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Hilo ni jibu la kupigia mstari kabisa, ila watakuja hapa wajinga watasema ooh ni kwa sababu ya madini sijui West wamefanya nini na blah blah nyingine nyingine nyingi tu kama vile Congo ndio nchi pekee yenye madini dunia hii.Unataka kutuambia Kongo ni nchi kubwa jinga?
Wacongomani wa asili hawajawai kusema hivyo we mkimbizi wa juzi tu unalilia ardhi.Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.
Sina la kusema zaidi ya kumuomba Mungu aingilie kati mwenyewe.
Waafrica wapumbavu wanauana wenyewe kwa wenyewe.
E mungu inusuru Congo DRC.
Mboni hawajaitwa na wao kwenye hicho kikao wasikilizwe? Km Tshekedi kagoma si wangeitwa hao M23 waende wakaudhulie kikao kwanini hawajaitwa?yanayohusisha makundi yote ikiwemo kundi kubwa la AFC / M23
Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).Wacongomani wa asili hawajawai kusema hivyo we mkimbizi wa juzi tu unalilia ardhi.
Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.
Bosi wao ambaye ndiye mfadhili yupo kikaoniMboni hawajaitwa na wao kwenye hicho kikao wasikilizwe? Km Tshekedi kagoma si wangeitwa hao M23 waende wakaudhulie kikao kwanini hawajaitwa?
Wakulaumiwa hapo ni nani ?Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).
Kagame mbabe au sio?Bosi wao ambaye ndiye mfadhili yupo kikaoni
We na utusi wako mna nini zaidi ya mauaji, na kuweka Rwanda kama ngome yenu.Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).
Kwenye federation suala la ulinzi huwa ni la serikali kuu, sasa Federal government haiwezi hata ku train wanajeshi wake hadi inaleta mamluki(mercenaries) wazungu kutoka Ulaya hiyo serikali ina maana gani!..Congo tayari ina utawala wa Majimbo.
Mahaba yamekuzidi kimo mbona kawaida sana.Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!
Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Dogo Ana obsession za kishogaMahaba yamekuzidi kimo mbona kawaida sana.
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!
Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110