Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!
South Africa hawawezi kupigana katika hiyo misitu ya Congo kuwashinda Rwanda, SA hawewezi kupigana na jeshi la Rwanda DRC au Rwanda yenyewe wakatoboa bila kupata msaada wa Tanzania na Uganda kufunga mipaka yake na Rwanda.
Kwani hasa vita itapiganiwa wapi? Yaani ili SA apigane na Rwanda na pia ili Rwanda ipige SA?
 
Kuwa muelewa mkuu vita ya msituni saivi hazina nafasi tena.....saivi ni Drone na Ndege .....

Na pia ujue vita ni uchumi GDP ya Rwanda ni USD 14.3 Bil huku GDP ya Sout africa ni zaidi ha USD 400 bil Pato jumla la Rwanda ni sawa na Bajeti ya wizara ya afya ya South Africa .....

Grow up mr.
Kagame anatoa wapi ujasiri wa kumvimbia Ramaphosa?
 
Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.
Huna historia ya SANDF, although wao vita vyao wamepigana sana kusini mwa jangwa la sahara. Na ni wataala wa bush wars. Popular vita ni border war 1966 - 1989, ziko nyingine walizoshiriki before hapo. Lakin pia kuna mission under kofia ya UN

So kusema hawana uzeofu, maybe hufaham historia
 
Acha kilinganisha na jeshi la enzi za Mchonga na hawa Bongo movie walioingizwa jeshini kwa vimemo japo ukitoa vita dhidi ya Idd Amin huku kwingine ni nchi nyingi sana zilishiriki kusaidia ila propaganda za kuhadaa Wabongo kuhusu umuhimu wetu zilikuwa kubwa na zilitiwa chunvi sana.
Russia(then USSR) na Cuba literally ndiyo waliikomboa Angola
View attachment 3218247View attachment 3218248View attachment 3218249View attachment 3218250View attachment 3218251View attachment 3218252
Putin hajawahi kuwa Tanzania miaka minne kufundisha sijui watu gani. Soma miaka hiyo Putin alikuwa wapi, na umri gani, akifanya nini.
 
Huna historia ya SANDF, although wao vita vyao wamepigana sana kusini mwa jangwa la sahara. Na ni wataala wa bush wars. Popular vita ni border war 1966 - 1989, ziko nyingine walizoshiriki before hapo. Lakin pia kuna mission under kofia ya UN

So kusema hawana uzeofu, maybe hufaham historia
Hiyo border war ya SA na Namibia ilikuwa vita vya jeshi la makaburu halafu ni bush war(vita vya vichakani) sio vita vya msituni kama msitu wa Ikweta mashariki ya DRC. Wanajeshi wa SA wakiingia mashariki ya Congo wakipigwa mvua moja tu wanaugua homa wanaanza kutetemeka kama kuku wenye mdondo/kideri.
 
Jibu ni ndio. Ila ulipokosea, kuhusu matokeo. Nani ataibuka mashindi?!
 
NYie madogo hamjui kitu. Vita ni pamoja na nidhamu ya wanajeshi. SA hawana jeshi la maana. Kagame ana watu wana nidhamu. Usione SA kubwa lakini inaweza kuwa kubwa Jinga. Angalia Israel na Iran au maadui zake utaelewa. South Africa inauza silaha gani nchi zilizoendelea kwa wingi? Unadhani Kagame kuongea hivyo ameropoka au hajui athari yake? Wanajeshi wa SA. wanaweka silaha chini wanaondoka. Hawana nidhamu kabisa.
Kuhusu kuuza silaha;

South Africa kuna kiwanda cha makombora yatumikayo kwenye mizinga ya masafa marefu na mafupi, ardhini na majini. Rheinmetall Denel Munition.

Kiwanda kinauza bidhaa zake duniani kote, hasa nchi za umoja wa NATO.

Pia Wana tengeneza na kuuza general purpose machine gun, inatumika na Kenya pamoja na nchi za Amerika ya kusini.

Pia ni watengenezaji na wauzaji wa Armoured personnel carriers (APC), zinazotumika nchi nyingi barani Africa na nje, mfano: Uganda, DRC, Nigeria, Egypt, UK, Sweden etc.
 
Naomba kuuliza.., Hivi wa Tutsi wa Congo ni watu wa Rwanda au ni Watu wa Congo ?; Nadhani Congo ikae na watu wao wote (ikiwemo hao Watusi na nchi nyingine ziache kuwaingilia Congo na kuiba rasilimali zao ikiwemo Uganda, Rwanda na Mataifa ya nje.
Hiyo ndio loophole anayoitumia PK kuingiza jeshi lake huko wanajichanganya na Tutsi wa Kongo,akiulizwa anadai M23 ni raia wa Kongo kumbe sasa ni mixer(Congolese Tutsi + Rwandese Tutsi = M23).

Watutsi hawaachani kamwe.

PK anadhani watu ni wapumbavu kumbe wanamchora tu,kitamlamba muda si mob.
 
Hiyo ndio loophole anayoitumia PK kuingiza jeshi lake huko wanajichanganya na Tutsi wa Kongo,akiulizwa anadai M23 ni raia wa Kongo kumbe sasa ni mixer(Congolese Tutsi + Rwandese Tutsi = M23).

Watutsi hawaachani kamwe.

PK anadhani watu ni wapumbavu kumbe wanamchora tu,kitamlamba muda si mob.
Okay PK ana makosa (kama walivyo Waganda na Mataifa yote ya nje yanayoingia na kuiba) ila swali langu bado lipo palepale Watutsi wa Congo ni wa Congo au Wanyarwanda ?

 
Mungu akitaka kukupa anguko anakutia kwanza kiburi
 
Okay PK ana makosa (kama walivyo Waganda na Mataifa yote ya nje yanayoingia na kuiba) ila swali langu bado lipo palepale Watutsi wa Congo ni wa Congo au Wanyarwanda ?

Ni wa Kongo mkuu.
 
Jinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana
Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa.

Hii ni kutoka X (Twitter)

I held two conversations this week with President Ramaphosa on the situation in Eastern DRC, including earlier today. What has been said about these conversations in the media by South African officials and President Ramaphosa himself contains a lot of distortion, deliberate attacks, and even lies. If words can change so much from a conversation to a public statement, it says a lot about how these very important issues are being managed. A few important clarifications for the record:

1. The Rwanda Defence Force is an army, not a militia.

2. SAMIDRC is not a peacekeeping force, and it has no place in this situation. It was authorized by SADC as a belligerent force engaging in offensive combat operations to help the DRC Government fight against its own people, working alongside genocidal armed groups like FDLR which target Rwanda, while also threatening to take the war to Rwanda itself.

3. SAMIDRC displaced a true peacekeeping force, the East African Community Regional Force, and this contributed to the failure of the negotiation processes.

4. President Ramaphosa has never given a "warning" of any kind, unless it was delivered in his local language which I do not understand. He did ask for support to ensure the South African force has adequate electricity, food and water, which we shall help communicate.

5. President Ramaphosa confirmed to me that M23 did not kill the soldiers from South Africa, FARDC did.

6. If South Africa wants to contribute to peaceful solutions, that is well and good, but South Africa is in no position to take on the role of a peacemaker or mediator. And if South Africa prefers confrontation, Rwanda will deal with the matter in that context any day.

Lakini Ramaphosa hakusema vibaya kwa maoni yangu​

Fellow South Africans,

Following the recent intensification of fighting in the eastern Democratic Republic of the Congo, South Africa has lost 13 brave soldiers who were dedicated to their mission and committed to peace. The fighting is the result of an escalation by the rebel group M23 and Rwanda Defence Force (RDF) militia engaging the Armed Forces of the DRC (FARDC) and attacking peacekeepers from the SADC Mission in the Democratic Republic of Congo (SAMIDRC).

On behalf of the government and the people of our country, I express our sincerest condolences to their families, their loved ones and colleagues. We bow our heads in honor of their heroic and gallant fight for peace. We honour and mourn them.All necessary support is being provided to the families of the deceased and the families of the injured. The process to repatriate the remains of the deceased is underway.

The attacks on peacekeepers resulted in the deaths of SAMIDRC members from other troop contributing countries, namely, Malawi and Tanzania, as well members of the UN Organisation Stabilisation Mission in the DRC (MONUSCO) brigade. We honour all the lives that were lost and pass our condolences to their families, governments and citizens. The situation in Goma and Sake, where our troops and their counterparts are stationed, remains very tense, volatile and unpredictable. The Minister of Defence and Military Veterans Ms Angie Motshekga and the Chief of the SANDF Gen Rudzani Maphwanya and SAMIDRC Force Commander Maj Gen Monwabisi Dyakopu are working to ensure that the SAMIDRC forces remain well equipped and sufficiently supported during this critical mission. We are concerned about the speculation about the state of our troops and the battle conditions.

All South Africans must rally behind our brave men and women who have dedicated their lives to bringing peace in our continent. South Africa’s military presence in the eastern DRC is not a declaration of war against any country or state. The members of the South African National Defence Force that are in the DRC are part of both SADC and United Nations efforts to bring peace and protect thousands of lives that are constantly threatened by the conflict in the DRC. The presence of the SAMIDRC forces demonstrates a commitment of SADC member states to supporting the DRC in its efforts to achieve lasting peace and stability and ultimately, create an enabling environment for sustainable development and prosperity.

We welcome the position that was recently adopted by the United Nations Security Council during its special sitting on the situation in the DRC, which calls for an immediate end to hostilities, the reversal of territorial expansion by the M23, the exit of external forces from the DRC and the resumption of peace talks under the Nairobi Process. The territorial integrity of the DRC must be respected in accordance with the United Nations Charter on the respect of sovereignty, territorial integrity and political independence of other states. We call on all parties to this conflict to fully embrace the current diplomatic efforts that are aimed at finding a peaceful resolution, including honoring the Luanda Process agreements. We must silence the guns on our continent for the attainment of inclusive development and prosperity.

I thank you.​

View: https://www.instagram.com/reel/DFcfQU-T000/?igsh=MXQ3N2g1eDZxM25ycA==
 
Rwanda ni kama glass ilivunjika ika unganishwa na gundi mkigusa tu wana vunjana ndani wao kwa wao ..Too bad na Tz wapo wakati CDF ana toa warning kuhusu mamluki chura kiziwi alikua ana tabasamu tu ana waza atarudi lini Tunguu Zanzibar
 
Nakuunga mkono asilimia 1000 kwani madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi. Kagame akumbushe kilichompata nduli Idi Amin alipoichokoza na kuichokonoa Tanzania. Awaulize wareno kilichowapata Angola na Msumbiji.Kagame

Nakuunga mkono asilimia 1000 kwani madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi. Kagame akumbushe kilichompata nduli Idi Amin alipoichokoza na kuichokonoa Tanzania. Awaulize wareno kilichowapata Angola na Msumbiji.
KAGAME anaugonjwa, psych condition inaitwa MEGALOMANIA (Megalomaniac is someone who has an unnaturally strong wish for power and control, or thinks that they are much more important and powerful than they really are), SADF wanauwezo wa ku obliterate Rwanda kwa wiki moja bila boots kugusa arithi.
 
Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.

Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.

Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.

Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.
 
Ukweli tu esemwe rwanda si Ile sababu ni kua na uongoz Bora.
 
Back
Top Bottom