Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wachina ndio wanaongoza kuchukua madini ya Congo sasa hiviUtajiri wa madini Congo DRC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina ndio wanaongoza kuchukua madini ya Congo sasa hiviUtajiri wa madini Congo DRC.
Hakuna mabeberu wowote wanaomsaidia Kagame kwenye hizi mishe zake, ni kwamba hawajali tu hizo vurugu za Congo.Umepiga kwenye mshono, siku mabeberu yanayompanda nyuma yakimchoka na kumbwaga,.. atapigwa ashangae...maana kipigo kitaanzia ndani...🚮🚮
Population matterKwani jimbo ndio linapigana vita?!
Israel au Iran..!?Experience muhimu kwenye uwanja wa mapambano. Rwanda ni kanchi kadogo lakini mtiti wake sio wa kitoto.
Naifananisha na Israel
Wawaulize wapalestinaRwanda wanajitutumua sana. Wakipelekewa moto wa kweli wasianze kulialia habari za mauaji ya kimbari.
Kwamba majeshi mengine haya siri za rwanda sababu wanafanya nao mazoezi?SA ndiyo wanao fanya mazoez ya kivita na russia, china.. Kagame ana siri nying za kijasus kuhusu jesh la SA.. ISRAEL alimkalisha Iran
Umetumia kigezo gani?Majeshi ya Rwanda hayana uwezo wa kuyashinda Majeshi ya Afrika ya Kusini katika medani za kivita ubavu huo Rwanda haina.
Uko sahihi, Drc nchi kubwa sana lakini inahangaishwa na Rwanda kanchi kadogo sana kweli kagame ni Netanyahu wa Kanda hiiExperience muhimu kwenye uwanja wa mapambano. Rwanda ni kanchi kadogo lakini mtiti wake sio wa kitoto.
Naifananisha na Israel
SA itaivamia Rwanda kupitia wapi ifanikiwe?? SA akiwa anasogeza hata wanajeshi buku tu kupeleka DRC au Burundi kuvamia Rwanda, Kagame anaanza na hao watakaoutumika kama base.Come on, if SA kwa uzoefu na ukubwa wake wa jeshi akiamua serious ku invade rwanda they can.
Kwanini tusikatekeDakika 10 za maangamizi
Rwanda inafutwa chap
NYie madogo hamjui kitu. Vita ni pamoja na nidhamu ya wanajeshi. SA hawana jeshi la maana. Kagame ana watu wana nidhamu. Usione SA kubwa lakini inaweza kuwa kubwa Jinga. Angalia Israel na Iran au maadui zake utaelewa. South Africa inauza silaha gani nchi zilizoendelea kwa wingi? Unadhani Kagame kuongea hivyo ameropoka au hajui athari yake? Wanajeshi wa SA. wanaweka silaha chini wanaondoka. Hawana nidhamu kabisa.Punguzeni kula ugolo vijana.
Wewe ukimjua mwakinyo anapigana orthodox na udhaifu wake ni upande wa kushoto ndiyo utafanya uanze kumchimba mikwara kisa unajua udhaifu wake wakati kiuhalisia hauna uwezo wowote wa kusimama na mwakinyo kwenye ring.au ubovu wa Manchester united ndiyo coastal union aanze mikwara na kumkazia kwamba wakikutana man u atakula nyingi?
Rwanda amazie South Africa ambae anatengeneza silaha zake za kivita na anaziuza hadi nchi zilizoendelea huko mambele. Nyie watu asee!!
Wabongo hivi mmekuwaje?
Hawa madogo hawaelewi mbinu za Kivita. Kagame anaifahamu vizuri Congo hao wa South ni wageniSA itaivamia Rwanda kupitia wapi ifanikiwe?? SA akiwa anasogeza hata wanajeshi buku tu kupeleka DRC au Burundi kuvamia Rwanda, Kagame anaanza na hao watakaoutumika kama base.
Ndio... Kagame anaweza kufanya hayo aliyotishia.Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.
Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.
Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.
Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.
#KitengeUpdates
View attachment 3218375
Kuwa muelewa mkuu vita ya msituni saivi hazina nafasi tena.....saivi ni Drone na Ndege .....Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.
Huwezi kukamata eneo kwa kurusha drones na ndege, wanaokamata maeneo katika vita ni askari wa miguu(infantry).Kuwa muelewa mkuu vita ya msituni saivi hazina nafasi tena.....saivi ni Drone na Ndege .....
Hakuna mabadiliko makubwa sana ni kawaida tu na sisi pia tumebadilika maana tz na jeshi la 1980 sio la sasa bwashee..Uganda ya Iddi Amin ilikuwa kituko, jeshi lake lilikuwa na mkusanyiko wa wahuni na jokers tu. Tanzania ikipigana na Uganda ya leo usifikiri itakuwa kama ilivyokuwa enzi za Iddi Amini, vita vinaweza kwenda hata miaka 20.