Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.Kumbuka Jimbo la mpumalanga ni kubwa mara mbili ya rwanda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Usichukulie Poa Rwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.Kumbuka Jimbo la mpumalanga ni kubwa mara mbili ya rwanda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Anaweza vizuri tuu,Jeshi la South Africa ni dhaifu ndio maana amekoromewa na Kagame 👇👇Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.
Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.
Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.
Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.
#KitengeUpdates
View attachment 3218375
Acha upuuzi wako,nani ana uzoefu wa kupigana vita kati ya Jeshi la Rwanda na South Africa?Majeshi ya Rwanda hayana uwezo wa kuyashinda Majeshi ya Afrika ya Kusini katika medani za kivita ubavu huo Rwanda haina.
Kwani jimbo ndio linapigana vita?!Kumbuka Jimbo la mpumalanga ni kubwa mara mbili ya rwanda
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ikiwa nchi kubwa kama uganda haikufikisha miezi 7 tukaweka hadi rais wetu sembuse hiyo wilaya.Wanawatoa jasho DRC kwa miaka zaidi ya 10 sasa.
Kwa nini hiyo teknolonia isizuie Wasouth 13 waliofyekwa ?Vita ni teknologia, Rwanda hana ubavu wa kupambana na South Africa. Rwanda hana Air defensive yeyote, ukirusha ata jiwe linaingia na kupiga popote pale. Ni mkwara mbuzi tu
Humu vijana wanaongozwa na ushabiki zaidi, wanafikri vita ni kurusha mabomu tu! Sasa sijui hao SA watarusha mabomu mangapi kwenye misitu ya Congo wawamalize Wanajeshi wote wa Rwanda maana hao wanajeshi wa SA wakiingia misitu ya Congo lazima wapoteane tu na kazi ya Rwanda itakuwa kuwaokota kama kuku wenye kideri.Experience muhimu kwenye uwanja wa mapambano. Rwanda ni kanchi kadogo lakini mtiti wake sio wa kitoto.
Naifananisha na Israel
Humu vijana wanaongozwa na ushabiki zaidi, wanafikri vita ni kurusha mabomu tu! Sasa sijui hao SA watarusha mabomu mangapi kwenye misitu ya Congo wawamalize Wanajeshi wote wa Rwanda maana hao wanajeshi wa SA wakiingia mistu ya Congo lazima wapoteane tu na kazi ya Rwanda itakuwa kuwaokota kama kuku wenye kideri.
Uganda ya Iddi Amin ilikuwa kituko, jeshi lake lilikuwa na mkusanyiko wa wahuni na jokers tu. Tanzania ikipigana na Uganda ya leo usifikiri itakuwa kama ilivyokuwa enzi za Iddi Amini, vita vinaweza kwenda hata miaka 20.Ikiwa nchi kubwa kama uganda haikufikisha miezi 7 tukaweka hadi rais wetu sembuse hiyo wilaya.
Hii account Sina hakika kama ni ya Traore mwenyewe ila ndio hivyo tena 👇👇Mwaka umechangamka sana huu.. Utadhani tupo August, kumbe bado January. Huku Trump Vs Wahamiaji
Lisu vs Wasira
Tsheked vs M23
USAID vs ARV's
Ramaphosa Vs PK
ChatGPT vs Deepseek
.....
Dakika 10 za maangamiziMeans misunderstanding
Mbona Saudi Arabia wameshindwa kuwatuliza Houthi wa Yemen?Vita ni teknologia, Rwanda hana ubavu wa kupambana na South Africa. Rwanda hana Air defensive yeyote, ukirusha ata jiwe linaingia na kupiga popote pale. Ni mkwara mbuzi tu
Mkuu nakushtaki kwenye uongozi wa jamii forums kwa kuuliza swali nililokuwa napanga kuuliza😂.Unahisi TZ haijapandikiza watu huko kwingine?
Tufafanulie yaani TZ na SA wana NATO yao?Kumbuka Rwanda akiingia vita ni na SA, atakuwa ameingia vitani na Tanzania. Kwa hiyo vita itaanzia Kagera na kuelekea Rwanda.
hahahaha.... samahani sana MkuuMkuu nakushtaki kwenye uongozi wa jamii forums kwa kuuliza swali nililokuwa napanga kuuliza😂.
Umeniwahi
Umepiga kwenye mshono, siku mabeberu yanayompanda nyuma yakimchoka na kumbwaga,.. atapigwa ashangae...maana kipigo kitaanzia ndani...🚮🚮Kagame ni yule dogo Fulani mtaani nunda ana mikwara na watu wanamgwaya kwa mikwara yake,ila siku Kuna mtu msiyemtarajia akamchoka na mikwara yake hapo kitaa akapiga kama Ngoma.
Huyo PAKA ni overrated sana,mikwara ndiyo mingi.
Utajiri wa madini Congo DRC.Kwa maslahi gani ya hao mabeberu?