Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kabla hajala Kofi[emoji23]Ni kawaida ya Mbu kuwa na kelele.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hajala Kofi[emoji23]Ni kawaida ya Mbu kuwa na kelele.
Mabeberu.
So tutarajie Kongo kuendelea kuwa failed stateRwanda Iko ni dhaifu ikiwa Tanzania na Uganda wataamua kufunga mipaka kwa muda kumpa onyo.
Lakini vita na utajiri wa Congo una maslahi kwa wengi ndalni na .nje ya congo ndio maana Hilo eneo Lina matatizo kila siku
Nlisikia mdau humu jf kuwa Rwanda Wana iron domeVita ni teknologia, Rwanda hana ubavu wa kupambana na South Africa. Rwanda hana Air defensive yeyote, ukirusha ata jiwe linaingia na kupiga popote pale. Ni mkwara mbuzi tu
Inategemea umekimbilia nchi gani.South wangefanyaje? Usiombe serikali idhamirie kukusaka.
Kasema Rwanda ipo teyari muda wowote kwa mapambano.Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.
Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.
Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.
Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.
#KitengeUpdates
View attachment 3218375
Umemsahau mapema kiduku, mpaka trump ikabid afunge safari kwenda kwa kiduku wayajengeembu amtunishie misuli Trump namna hiyo
Lkn kipigwa ....pisi zote za Rwanda ni zanguPAKA bwana anataka battle na big boyz [emoji81]
Watampiga km ngoma we muache avimbe bichwa.!!
SOuthafrica anamtandika rwanda vizuri sana maana ndio most advanced jeshi kwa africa ila kwa kilichotokea congo sandf hawapo equiped kwakuwa lengo siyo ku attaack bali kulinda na kutetea maslahi ya congo ,ndio maana wananchi wa southafrica wanaishinikiza serikali yao iwape silaha wanajeshi wao waliowapelwka congo kwakuwa adui yani m23 na rwanda wamekuwa wakiwa target makusudi ,Anaweza kuwapiga vizuri sana, wanajeshi wa South Africa hawewezi kupigana kwenye hiyo terrain kuwazidi Wanyaruwanda.
Kwani Rwanda itaenda kupigania vita huko Africa Kusini??Kuilinganisha South Africa na Rwanda ni sawa na Kulinganisha Landcruiser na Passo
Rwanda haina uwezo wowote wa kuipiga South Africa labda uwezo wa kuotea na kurusha bomu kama alshabab. Mji mmoja tu kama Cape town au Johannesburg au hata Durban, una nguvu ya uchumi kuliko nchi nzima ya Rwanda
Ulicho sema ndio usahihi wenyewe; Rwanda inahurumiwa tu kutokana na matukio ya mauaji ambayo dunia iliwatelekeza bila kuwasaidia. Hata USA siyo kwamba wanawapenda Rwanda au wanafaidika na kitu chochote bali ni huruma tu kwa nchi ndogo ambayo huko nyuma watu wake waliuana mchana kweupe bila kusaidiwa na dunia.Nadhani Rwanda watu wanamuacha kutokana na machafuko yaliyotokea pale, ushajiuliza leo Kagame akitoka pale ile nchi itakuwaje? Sasa leo Msouth aamue vita na Rwanda unategemea nini kitatokea pale?
South Africa hawawezi kupigana katika hiyo misitu ya Congo kuwashinda Rwanda, SA hawewezi kupigana na jeshi la Rwanda DRC au Rwanda yenyewe wakatoboa bila kupata msaada wa Tanzania na Uganda kufunga mipaka yake na Rwanda.SOuthafrica anamtandika rwanda vizuri sana maana ndio most advanced jeshi kwa africa ila kwa kilichotokea congo sandf hawapo equiped kwakuwa lengo siyo ku attaack bali kulinda na kutetea maslahi ya congo ,ndio maana wananchi wa southafrica wanaishinikiza serikali yao iwape silaha wanajeshi wao waliowapelwka congo kwakuwa adui yani m23 na rwanda wamekuwa wakiwa target makusudi ,
Rwanda uwezo wake ni mdogo sana ukilinganisha na nchi kama tanzania, nigeria au southafrica, sema wana asili ya ukorofi
Wewe mtoto wa mwaka 2000 unaijuwa second CONGO WAR.Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.
Wanawatoa jasho DRC kwa miaka zaidi ya 10 sasa.Huyo hatutoi jasho hata miezi 3
Experience muhimu kwenye uwanja wa mapambano. Rwanda ni kanchi kadogo lakini mtiti wake sio wa kitoto.Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.
Watu mna siri sana hapa jukwaani.ISRAEL alimkalisha Iran