Kagera Sugar 1 - 0 Simba SC | Ligi kuu bara | Kaitaba
Ooh aisee Muzamiru maweee Mungu akupe nini tena !!
 
Kwa jinsi Simba tunavyocheza ni kujitoa ufahamu kuamini kuwa bingwa msimu huu ni Simba. Timu inachechea mpira muda mwingi kuliko kupambana kiume kutafuta matokeo kwa kulazimisha. Akina Bwalya na wenzake wanachezea nafasi huku wakichelewesha mipira kitu kinachopelekea timu pinzani kujipanga kikamilifu kuziba nafasi. Mwisho wa siku tunailamu TFF na GSM wakati timu inacheza kitoto muda mwingi. Tukiendelea hivi hata nafasi ya pili tutaipata kwa mbinde
Watu misiokuwa watetezi wa ubingwa kwa zaidi ya miaka minne mnawezaje kuzungumzia haya?

Haya maneno nyinyi mnatakiwa muongee baada ya LIGI kuisha na wakati huo muwe na kombe, au kombe tayari mshachukua na sisi hatujui?[emoji28]

Chukueni kwaza kombe ili muonyeshe utofauti, maana kama ni meneno yenu tunayasikia kwa misimu minne.
 
Bwalya hajawahi fanya kitu cha msingi toka afike Simba hata huyu Mzamiru naona kashazeeka
 
Ona wachezaji wanavyo devera halafu timu ikipata matokeo mabaya lawama ziende kwa kocha

Na ndio maana nasema kuna mashabiki wasio jielewa humu ndani, hivi kwa umazafaka wanaofakisha kina muzamiru na kapombe utampa kocha lawama kwa kipi?
 
Bora Ndemla arudishe kikosini kuliko huyu Mzamiru
 
NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC.

Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki?
Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF

UPDATE

Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba.

17” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

20” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

25” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

32” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
Mechi ya Kagere ,kocha naye muoga wa kufungwa kajaza viungo kibao.
 
Watu misiokuwa watetezi wa ubingwa kwa zaidi ya miaka minne mnawezaje kuzungumzia haya?

Haya maneno nyinyi mnatakiwa muongee baada ya LIGI kuisha na wakati huo muwe na kombe, au kombe tayari mshachukua na sisi hatujui?[emoji28]

Chukueni kwaza kombe ili muonyeshe utofauti, maana kama ni meneno yenu tunayasikia kwa misimu minne.
Kabisa hawajui kama kombe linaenda jangwani
 
hivi kocha ndiye amewaambia wacheze hivi au wao wenyewe wamejiambia hawa jamaa[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom