Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao ni wachezaji wa timu ya taifa.bado tuna safari ndefu.Ona wachezaji wanavyo devera halafu timu ikipata matokeo mabaya lawama ziende kwa kocha
Na ndio maana nasema kuna mashabiki wasio jielewa humu ndani, hivi kwa umazafaka wanaofakisha kina muzamiru na kapombe utampa kocha lawama kwa kipi?
Mbona unalia sasa mkuu?Watu misiokuwa watetezi wa ubingwa kwa zaidi ya miaka minne mnawezaje kuzungumzia haya?
Haya maneno nyinyi mnatakiwa muongee baada ya LIGI kuisha na wakati huo muwe na kombe, au kombe tayari mshachukua na sisi hatujui?[emoji28]
Chukueni kwaza kombe ili muonyeshe utofauti, maana kama ni meneno yenu tunayasikia kwa misimu minne.
Angalia mpira aliokosa Mzamiru ,Ile cross ya chini ya morisonAu ni bocvo kavaa jezi ya kapombe ila kutokana na ubize wa ball hatujasanuka?
Kwamba alienda kulegezwa nut'sHuyu Chama naona Safari hii tumepigwa
ule mpira hata mwanaye hawezi kukosa maana pale ilikuwa ni kugusa tuuAngalia mpira aliokosa Mzamiru ,Ile cross ya chini ya morison