Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Pumbavu,chama hayumo??Kocha anazingua amuingize kagere na chama fasta
Nisamehe tu mkuu nina hasira kichizi Hadi kwikwi!!!
Wchezaji wan..wannnaa..wanadevv..devera tu!! Hawaju.."hig"..jui.."hig"..hawajui kama "hig" Kama tunaoteseka "hig" teseka ni sisi "hig" washa "hig" shabiki!!