Kagera Sugar 1 - 0 Simba SC | Ligi kuu bara | Kaitaba
Nilichokuja gundua ni kwamba hawa wachezaji ambao wanalipwa kufanya hiyo kazi ya kuwapatia matokeo mashabiki wala hawaumii kama wanavyoumia mashabiki ambao hata kumi hawalipwi haiwezekan game ambayo mnahitaji matokeo mnacheza show show halafu dakika za mwisho ndiyo wanajifanya wanaharaka
Yaani tunaumia sisi mashabiki huku wachezaji wakifurahia mpunga. Baadae utasikia viongozi wanatuhadaa na kutudanganya kwa maneno ya kipuuzi ya kusingizia viwanja vibovu, referees, TFF na GSM, wakati tunaona kinachofanyika uwanjani ni utoto mtupu unaofanywa na Simba.
 
ila hii game ilitakiwa kipindi cha kwanza Simba iwe hata na goli moja
 
Watu misiokuwa watetezi wa ubingwa kwa zaidi ya miaka minne mnawezaje kuzungumzia haya?

Haya maneno nyinyi mnatakiwa muongee baada ya LIGI kuisha na wakati huo muwe na kombe, au kombe tayari mshachukua na sisi hatujui?[emoji28]

Chukueni kwaza kombe ili muonyeshe utofauti, maana kama ni meneno yenu tunayasikia kwa misimu minne.
Sio kila anayetoa mawazo mbadala usidhani ni mshabiki wa Yanga, wengine tunaongea uhalisia sio ushabiki. Mpira ni mchezo wa wazi kila kitu kinaonekana. Simba haipambani kiume kama ilivyokuwa kwa misimu minne iliyopita na huo ndo ukweli
 
Ona wachezaji wanavyo devera halafu timu ikipata matokeo mabaya lawama ziende kwa kocha

Na ndio maana nasema kuna mashabiki wasio jielewa humu ndani, hivi kwa umazafaka wanaofakisha kina muzamiru na kapombe utampa kocha lawama kwa kipi?
Ambangile akisema huwa tunakua wakal kapombe is finished

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kona ya kwanza kwa simba na kona ya kwanza kwa mchezo
 
Back
Top Bottom