Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua na amani,tena kama ni mtu wa kubeti weka hela yako ya kulipa kodi ya nyumba,pesa ya bili ya maji,luku,changanya na ada ya mtoto shule.
kisha agiza Mo Cola usubiri dk 90 ziishe uvune mi Dangote yako.
Mzamiru kadaka wazi kabisaSijaona sababu yeyote ya refa kupiga filimbi kwenye shambulizi ambalo walikuwa wanalifanya simba
Naona kocha kaamua kukubali kuwa team yetu haina forward wa maana, kaamua kujaza viungo washambuliaji ili watumie zile mafasi ambazo huwa wanazitengeneza kisha zinaharibiwa na strikers.Ungetuwekea yule marasta leo pale mbele tusingekuelewa kabisa
lakini baadaye atamuingiza hata mmojaNaona kocha kaamua kukubali kuwa team yetu haina forward wa maana, kaamua kujaza viungo washambuliaji ili watumie zile mafasi ambazo huwa wanazitengeneza kisha zinaharibiwa na strikers.
Naam pira linachezwa na nilitarajia hivo kutokana na kujaa viungo wengiTunacheza kwenye box la kagera
Cross zote nzuri zinatakiwa zipigwe nje ya ule mstari wa ndani ya 18 na isivuke nje pia.Halafu kapompe leo jitahidi mzee kwenye cross mara nyingi unapigaga cross nyingi ambazo hazina madhara
kabisa kinachotakiwa ni goli pigeni kwanza goli biriani baadaye biriani bila goli halinogi kabisaSimba inabidi wacheze direct mara nyingi.
Hizi kampa kampa tena kwenye nusu yao haitakuwa na madhara