Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Nimekumbuka Wimbo wa Bonta, kahama kuna madini lakini vumbi mpaka........
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .

Alisema Ulimwengu baada ya muda si mrefu tutasikia atake au asitake.

Inawezekana Ulimwengu naye kama Lema akawa nabii.

Tuwasikie wabeba maono hawa wanaweza kuwa wanayo mengi ya kututabiria.
 
View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .

Unasoma hizi kama 23B kwa wilaya nzima kama si manispaa kama kumbukumbu zinavyokuja tokea enzi za mwendazake.

Kwani soko la kariakoo kwa soko tu si zimetolewa 28B?

RC Makalla: Rais Samia atoa Tsh bilioni 28 kukarabati soko la Kariakoo

Kazi ipo.
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Hangaya mjanja Sana anamwaga mihela sukumagang,maana anajua huo ndo mtaji wa kuingia Ikulu.

Ukijitenga na sukumagang,
Ukijitenga na JPM.
Unaangukia pua asubuhi siyo jioni.

Au nasema uongo ndugu zangu!
Mama huyu hana upendeleo kabisa?
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Izi kauli za atawale milele huwa zinakela sana ata zama za JPM watu waliwai toa izi kauli.
So mahaba yenu manataka wavunje katiba ya inchi?
 
Duh mleta mada atakuwa yupo nchi nyingine tofauti na hii nayoishi mimi.
 
Makusanyo ya kodi za manispaa, shuru wa mashine za Malunga na Kagongwa kwa siku inazidi 15m. Kwa siku malori zinatoka lori zaidi ya 15 zenye mchele ambapo lori moja ushuru ni 420,000sh.

Bado fuso zenye kubeba mchele wa kwenda mikoani nazo kwa siku zinaweza kutoka 10.. Nimewekeza Kahama kwenye mazao kwahiyo najua mzunguko ulivyo
Labda Fusso, semi trailer ni 1,050,000/-.
 
View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Uvivu wa kufikiria. Dkt Magufuli kazi yake tuliiona kwa zaidi ya miaka 20, tukamuamini na akaja kuwa rais na akatutendea yaliyo mema sembuse Mama yaani hana rekodi yeyote mnampamba eti kafanya kazi, muacheni kumdanganya danganya kwa uongo wenu
 
Back
Top Bottom