Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wema wa Magufuli? HaayKasha kiri wema wa Magufuli ndug yako bado wewe kimoyoyo unajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema wa Magufuli? HaayKasha kiri wema wa Magufuli ndug yako bado wewe kimoyoyo unajua.
Na Mimi nimemwambia hivyo hivyo....Sidhani kama umeelewa!.
Wewe ukisikia eneo alilofanya vyema ni uthubutu unaelewa nini?Sidhani kama umeelewa!.
Hata Lissu alikiswa kuuawaAliua watu wangapi?
Your blinded with your own ego!Na Mimi nimemwambia hivyo hivyo....
Walimu walipokuwa wanapima listening skills hii ndio maana yake.Jana nimetazama kipindi chote cha big agenda cha Mr Nyanda na Dr. Bagonza.
Kuhusu Magufuli alisema kuwa magufuli kwa miaka 6 ya uongozi wake alionyesha jinsi system ilivyooza.
Wewe ukisikia eneo alilofanya vyema ni uthubutu unaelewa nini?
Kwa makisudi kabisa au uelewa chini ya "pimamaji" umeamua kumuwekea Askofu maneno mdomoni!?Wewe ukisikia eneo alilofanya vyema ni uthubutu unaelewa nini?
Kuna fumbo gani hapo ambalo linahitaji speculation?Mleta uzi umekwama kuelewa ujumbe mzito wa baba Askofu!
Rudia tena utamuelewa kama kweli pimamaji yako Ina majiKuna fumbo gani hapo ambalo linahitaji speculation?
"Kwenye eneo ambalo alifanya vyema ni uhtubutu".
Ukiendelea kusoma ameeleza kwenye eneo ambalo lilikuwa linavuja ni uhuru.Uthubutu wa matendo mabaya ?.
wewe unajua aliua watu wangapi?Aliua watu wangapi?
Ndio kesha sema hayo na wewe sema yako.Rudia tena utamuelewa kama kweli pimamaji yako Ina maji
Kama wamempokonya uhai hawaitakii mema hii nchi,kundi lililopo ni hatari kwa maendeleo ya nchi na muhimu kwao ni mtoto wa nani anakula wapi.Màgufool alikuwa na ujasiri wa kiwendawazimu ndio maana ikabidi wenye CCM yao wampokonye uhai
Nimekueleza,upende kuelewa unachoelezwa na wala si kutunga ya kwako!Ndio kesha sema hayo na wewe sema yako.
Jitafakari sana unapoambia umefanya vizuri kuthubutu kutokuvaa nguo; tumejua na mengineyo mengi.Kwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740
Màgufool alikuwa na ujasiri wa kiwendawazimu ndio maana ikabidi wenye CCM yao wampokonye uhai