Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
Nje ya mada , nakuona picha upo kwenye ibada ya jiwe😂😂😂Jibu lip? Unataka na qur an imekuja kusadifu yalikuja na kuleta mapya katika ile series ya vitabu vya mungu ..vyote ni vitabu vya mungu
Haya uyahudi ,he nyie kwa nn dini makao makuu ni uingereza na Italy na sio Israel?
Nakusubiria Masai fanya kujibu!!
Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwaKubuniwa
Zaidi ya nusu ya Wakristo wote duniani ni Wakatoliki.
Toleo lao la Biblia lilichapishwa mwaka 1582 kutoka kwa Jerome`s Latin Vulgate, na kutengenezwa tena huko Douay mwaka 1609.
Agano Jipya la RCV (Roman Catholic Version) lina vitabu saba zaidi kuliko lile la King Jams Version linalotambuliwa na Ulimwengu wa Wapotestanti.
Hivyo vitabu vya ziada vinazingatiwa kuwa ni vya kubuniwa (yaani kuna shaka juu ya mtunzi wake) na vimeondolewa kutoka katika Biblia mwaka 1611 na wasomi wa Biblia wa Kipotestanti.
Nakulazimisha nn kama huelewi ..kasome surarul ilitambulisha qur an kwanza ,then uje kwamba inasadifu yaliyopita ikiwa ni vitabu vya torati ,zaburi vyote vya mungu ambazo vilieleza mambo ya mayahudi ,mpaka nabii wa kwanza adamu.Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
Soma post number 1 Kuna hoja zipo pangua moja moja tena Zina number , tunaelekea kufika page 100 hakuna muislamu kathubutu kujibu , mnaleta mambo mengine mpotezee
Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwaNakulazimisha nn kama huelewi ..kasome surarul ilitambulisha qur an kwanza ,then uje kwamba inasadifu yaliyopita ikiwa ni vitabu vya torati ,zaburi vyote vya mungu ambazo vilieleza mambo ya mayahudi ,mpaka nabii wa kwanza adamu.
Kama huelewi basi au kiswahili chenga hata neno "kusadifu" hujui ? Basi njoo pwani ujifunze kiswahili ...mtu ushazoea kuongeleshana na ng'ombe mda wote sidhani Kama utanielewa.
Picha ipi ni ile ni sehemu ya kihistoria .. fuatilia ile sehemu nyie yenu ni is real ila nashangaa tours zenu ni Italy na uingereza ebu onyeshe collocation kati ya ukristo na uingereza na Italy instead ya ukristo na Israel.Nje ya mada , nakuona picha upo kwenye ibada ya jiwe
SawaInjili Kiarama ilikuwa ndio lugha inayozungumzwa na Wayahudi wa Palestina.
Kwa hiyo, inaaminika kuwa Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakizungumza na kufundisha kwa Kiarama.
Mapokeo ya mdomo kwa mdomo ya mwanzo kabisa ya matendo na maneno ya Yesu bila shaka yalikuwa katika Kiarama.
Hata hivyo, Injili nne zimeandikwa kwa kauli tofauti kabisa, Kigiriki, lugha ya ustaarabu wa ulimwengu wa eneo la bahari ya kimediterania, ilihudumia makanisa mengi, na kuyafanya yawe ya Kigiriki (Yanatumia Kigiriki) badala ya Kipalestina (Kiarama).
Alama za Kiarama bado zipo katika Injili za Kigiriki.
Kwa mfano, katika Marko 5:41, “Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.” na Marko 15:34 “Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani?
Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
Apo kwenye jiwe pedophile Muhammad alikuwa anaenda kuangalia pisi zikizunguka zikiwa uchi, 😂😂, aka improve kidogo akasema mvae sanda bila nguo za ndaniPicha ipi ni ile ni sehemu ya kihistoria .. fuatilia ile sehemu nyie yenu ni is real ila nashangaa tours zenu ni Italy na uingereza ebu onyeshe collocation kati ya ukristo na uingereza na Italy instead ya ukristo na Israel.
Hitimisho ni kwamba waislamu wameshindwa kujibu hoja iliyoletwa mezani.Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
Sawa
Sasa Rudi jibu post number 1
Tupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwaIngawa, Injili ya Marko katika Agano Jipya, Wasomi wa Kanisa wanaizingatia kuwa ndio Injili ya kale zaidi, haijaandikwa na mwanafunzi wa Yesu.
Wasomi wa Biblia kwa kutegemea ushahidi uliopo katika Injili hiyo, wanahitimisha kuwa Marko mwenyewe hakuwa mwanafunzi wa Yesu.
Zaidi ya hayo, kwa mujibu wa wasomi hao, hawana yakini juu ya huyo Marko alikuwa ni nani hasa.
Mtunzi wa kale wa Kikristo, Eusebius (325 C.E.) ameripoti kuwa Mtunzi wa kale mwingine, Papias (130 C.E.), alikuwa wa mwanzo kuihusisha Injili ya Marko kwa John Mark, mfuasi wa Paulo.
Wengine wanaonelea kuwa huyo mwandishi wa Marko huenda alikuwa mwanafunzi wa Peter, pia wengine wanang`ang`ania kuwa huenda alikuwa ni mtu mwingine kabisa.
SawaHali hiyo hiyo kwa Injili nyinginezo, ingawa Mathayo, Luka na Yohana ni majina ya wanafunzi wa Yesu, watunzi wa Injili zinazobeba majina yao hawakuwa hao wanafunzi mashuhuri wa Yesu, isipokuwa ni watu wengine waliotumia majina ya wanafunzi wa Yesu ili kuyafanya maelezo yao yasadikike.
Kwa hakika, Injili zote kiasili zinaduru katika mzigo wa kutotajwa jina la mtunzi.
Majina ya watunzi yamepewa vitabu hivyo na watu wasiojulikana wa kanisa la mwanzo
Mathayo Hajulikani
Injili ya Marko Hajulikani
Injili ya Luka Hajulikani
Injili ya Yohana Hajulikani
Matendo ya Mitume Mtunzi wa Luka
I, II, II, Yohana Mtunzi wa Yohana
WameshindwaTupo page karibia ya 100 hakuna muislamu amejibu post number 1, embu jibuni au mkiri mmeshindwa
WameshindwaSawa
Sasa Rudi kwenye post number 1 ujibu
Sawa
Sasa Rudi jibu post number 1
Waislamu mmeangukia puaJ.B. Phillips, kasisi wa kulipwa wa Kanisa kuu la Chichester, Kanisa la Kianglikana la Uingereza, ameandika utangulizi ufuatao katika tafsiri yake ya Injili kwa mujibu wa Mtakatifu Mathayo:
“Mapokeo ya mwanzo yanaipachika Injili hii kwa mwanafunzi wa Yesu aitwaye Mathayo, lakini wasomi wa kisasa karibu wote wanapinga mtazamo huo.
Mtunzi tunayeweza kumwita Mathayo bila shaka, kwa uwazi kabisa ameshaandikwa katika fumbo lisiloelezeka “Q”, kitu ambacho kinaweza kuwa ni mkusanyo wa mapokeo ya simulizi za mdomo kwa mdomo.
Alitumia Injili ya Marko kwa uhuru, ingawa alipanga upya mpangilio wa matukio vilevile katika mifano kadhaa alitumia maneno tofauti tofauti kwa kile ambacho kwa uwazi kabisa ni kisa kile kile.”
Injili ya nne (Yohana) ilipingwa ikichukuliwa kuwa ni uasi katka kanisa la kwanza, na Injili hiyo haijui habari zozote zinazohusiana na Yohana, mwana wa Zebedayo.
Katika uamuzi wa wasomi wengi, Injili hiyo iliundwa na “shule” ya wanafunzi wa Yesu, huenda ni huko Syria katika muongo wa mwisho wa karne ya kwanza.
Waislamu mmeangukia pua
Waislamu mmeangukia pua