Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira midle east tu ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Mkuu ulichoelezea ndio uhalisia wenyewe
 
QURAN 2:23-24
23."Na ikiwa mna shaka kwa haya tuliyo mteremshia mja wetu; basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha. "


Haya nyie mnaosema Quran ni maneno ya uongo hebu tuleteeni japo sura moja tu inayofana na Quran; fanyeni hilo tu wajameni ndio tuwaamini!!! jibu ni hamuwezi na wala hamtaweza kamwe
 
Mimi nachoamini ni kwamba Mungu hatawaadhibu waje wake kisa sio muislam au mkristo. Nachoamini ni matendo tu na kila upande kutokashifu upande mwingine basi.

Ifike wakati mada za hivi watu muachane nazo. Kuna mambo ya msingi ya kujadili kama 'taifa la jamiiforums'
 
QURAN 22:72
"Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi utaona chuki katika nyuso za walio kufuru. Hukaribia kuwavamia wale wanao wasomea hizo Aya zetu. Sema: Je! Nikwambieni yaliyo mabaya zaidi kuliko haya? Ni Moto. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio kufuru, na ni marudio mabaya hayo. “


 
Unaandika meengii halafu ni uharo tu,hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako,sababu kwenye bible haionekani hivyo)..yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?

Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na yesu alipokua hai!?

Hujui chochote kuhusu Qur'an...unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?

Ibrahim alikua dini gani!?..maana najua alikua muhamiaji pale yerusalem, alikua mwarabu wa iraq!?

Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya yesu ni ilahi Ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy
Mfia dini umepanik pole sana..kurwani ni mawazo ya muhamad ya kuunga unga ili kujitengenezea dini yake.

Ndio mana leo hii hakuna mkristo ambaye anaifahamu kurwani wala kuiihitaji kuisoma..ila hakuna mwislamu ambaye hajasoma biblia ili kupata rejea ya visa na matukio ya kuunga unga yaliyosimuliwa na mudi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Quran na uisilamu ni mfumo wa maisha na ni katiba na sheria unapoipeleka mahakamani unatumia Quran kuijudge ama man made laws?

kuna Nchi kibao zinafuata mfumo wa Quran japo si 100% ila zina mafanikio makubwa sana. Kuanzia Nchi za Gulf mpaka Asia ya mashariki kama Kina Brunei na Malyasia, ila sijaona Nchi ama hata wakristo wanaofuata Bible, kwa Wengi Bible ni Spiritual book na sio way Of life, Hakuna uchumi wa Biblia, Mahakama za Biblia, mabenki ya Biblia etc ila utakuta Mahakama za Uisilamu, mabenki ya Uisilamu, Mabucha, uchumi kwa ujumla etc vyote hivi vinabase na Quran.

So Quran imeprove practically inachosema, na sio kuongelea kwenye makaratasi tu.
ROBERT HERIEL km hutoelewa hii komenti aisee wewe lazima utakuwa na dosari kichwani...


Uislamu Ni mfumo kamili wa maisha...yaan uislamu haujaacha kitu...

Uchumi wa kiislamu
Mabenki ya kiislamu
Serikali za kiislamu
Hospital za kiislamu(sio hizi za kiswahili mke wa mtu anachezea mkuyenge wangu Bila staha mwisho wa siku analiwa kimasihara)😂😂
Michezo ya kiislamu
Sanaa za kiislamu
Ndoa za kiislamu
Maisha ya kiislamu..nk...

Haya njoo kwa Wakristo Sasa na Bibilia Yenu ....atakayenionesha benki ya Kikristo na uchumi wa kikristo ..NABATIZWA LEO..

Ndio maana tunawaambia usilamu ndio dini ya Kweli...
 
QURAN 22: 46-47
46. "Je! Hawatembei katika ardhi ili wapate kuwa na nyoyo zao za kuzingatia, au masikio ya kusikilia? Kwani hakika si macho yanayo pofuka, lakini zinazo pofuka ni nyoyo ziliomo vifuani. 46

47. Na wanakuhimiza ulete adhabu (sasa hivi), lakini Mwenyezi Mungu hatakwenda kinyume na ahadi yake kabisa.(ameweka siku maalumu ya hukumu). Na hakika siku moja kwa Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu mnavyo hisabu nyinyi. (kwa hivyo adhabu haipo mbali)"
 
Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira midle east tu ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment
Heshima kwako mkuu
 
Tambua hamna biblia iliyosushiwa yesu kama unayo leta iyo imechukua vitabu vya torat na zaburi..na qur an ipo kweny series ya vitabu vya mungu lazima isadifu yaliyopita na kuendeleza taratibu za imma huu.
Ebu elezea vizri bila kufunikwa na illusions za udini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Utata ni mwingi sana.
Mungu wa kweli kama yupo na anapatikana kwenye vitabu hivi vya dini kwanini aliruhusu kitabu kingine kije ambacho ni cha uongo mfano kama bible ni ya kweli kwanini aliruhusu Quran ije ambayo inapotosha au kama Quran ni kweli Mungu kwa nini alishindwa kuiteketeza bible ambayo ni uongo!?
Licha ya hayo Mtu pekee anayeeeza kukwambia Mungu wangu ni wa kweli ni mwanadamu ambaye naye anasoma kitabu kinacho jieleza kuwa kimetokana na Mungu wa kweli iwe bible au Quran nje ya vitabu hivyo sina hakika kama kunasehemu unaweza kuthibitisha kuwa vitabu hivo ni kweli.
Ajabu nyingine pia katika vitabu vyote huwa kuna inaibuka makundi(watu) ambayo yana tafasri kwa hivyo vitabu kwa mtazamo tofauti na ule wa wengine na makundi hayo yakipata wafuasi yanakuwa madhehebu iwe kwenye ukristo au uislam ni maajabu.
Nacho fikiri kwa sasa huenda watu walionyuma ya hizi dini ambao ndio waanzilishi wa hizi dini wakirudi leo hii pengine kunavitu vingi wangebadilisha au ķuvipinga kwan vitakuwa tofauti na mitazamo yao au mitazamo yao itakuwa imebadilika.
Pia wafuasi wengi wa hizi dini hawajui hata misingi ya imani zao naona dini ni silaha hatari zaidi kuwahi kutokea.
Nime fuatilia kwanini afrika tuko tulivo hasa Tanzania sababu ni dini waislam wanawakaririsha Quran watoto wakristi wanawakaririsha biblia watoto na mwisho wa siku watoto waanamini sehemu pekee yenye umuhim ni mbinguni huko kuna raha zote na dunia ni sehemu sawa tu kwa chochote kitakachotokea.
Kwa wenzetu wanasayansi wakubwa wote tunaowasoma waliofanya makubwa ni watu waliokuwa wanashinda maabara au pengine kusoma kwao ndio ilikuwa tumaini lao la kwanza.
Naahangaa sana watu ambao wanaona kuwekeza katika sayansi ni kama kumkana Mungu wakati huo huo wanatumia technologia zilizo tengenezwa kwa kiasi kikubwa na wanasansi ambao wengi wao hawaamini katika hizi dini.
Pale unapomfikiria mungu kam binadamu
 
Mkuu binafsi huwa naheshimu sana maandiko yko mengi ila hili nimekushusha thamani mpk kwenye 0 kiukweli,yan mpk nimerud tena juu nihakiki kma ni kweli ndo wewe uliyeandika hv,sijaamini kma ndo wewe unaweza kuandika nonsense kma hv.
Hv unaijua Quran sawasawa mkuu?
Ulishawahi kuisoma vzr ukaielewa?
Unajua Quran ni nini na ni maneno ya nani?
Unajua Muhammad yale si maneno yake?
Unawafahamu walioiandaa hiyo bible?Unaelewa makusudio yao?
Yan leo umeandika kama mtoto wa std7 aisee.....Kaa chini usome Quran uelewe sio unakurupuka tu
Brain washed
 
Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana.

Mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume.

(Ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba Marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu (kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira midle east tu ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment

Tufanye unayosema ni kweli but hiyo bibble yako inasema uwongo kuhusu kifo cha Yuda kasome matendo na matayo utaona mchanganyo wa roho mtakatifu
 
Back
Top Bottom