Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Utata ni mwingi sana.
Mungu wa kweli kama yupo na anapatikana kwenye vitabu hivi vya dini kwanini aliruhusu kitabu kingine kije ambacho ni cha uongo mfano kama bible ni ya kweli kwanini aliruhusu Quran ije ambayo inapotosha au kama Quran ni kweli Mungu kwa nini alishindwa kuiteketeza bible ambayo ni uongo!?
Licha ya hayo Mtu pekee anayeeeza kukwambia Mungu wangu ni wa kweli ni mwanadamu ambaye naye anasoma kitabu kinacho jieleza kuwa kimetokana na Mungu wa kweli iwe bible au Quran nje ya vitabu hivyo sina hakika kama kunasehemu unaweza kuthibitisha kuwa vitabu hivo ni kweli.
Ajabu nyingine pia katika vitabu vyote huwa kuna inaibuka makundi(watu) ambayo yana tafasri kwa hivyo vitabu kwa mtazamo tofauti na ule wa wengine na makundi hayo yakipata wafuasi yanakuwa madhehebu iwe kwenye ukristo au uislam ni maajabu.
Nacho fikiri kwa sasa huenda watu walionyuma ya hizi dini ambao ndio waanzilishi wa hizi dini wakirudi leo hii pengine kunavitu vingi wangebadilisha au ķuvipinga kwan vitakuwa tofauti na mitazamo yao au mitazamo yao itakuwa imebadilika.
Pia wafuasi wengi wa hizi dini hawajui hata misingi ya imani zao naona dini ni silaha hatari zaidi kuwahi kutokea.
Nime fuatilia kwanini afrika tuko tulivo hasa Tanzania sababu ni dini waislam wanawakaririsha Quran watoto wakristi wanawakaririsha biblia watoto na mwisho wa siku watoto waanamini sehemu pekee yenye umuhim ni mbinguni huko kuna raha zote na dunia ni sehemu sawa tu kwa chochote kitakachotokea.
Kwa wenzetu wanasayansi wakubwa wote tunaowasoma waliofanya makubwa ni watu waliokuwa wanashinda maabara au pengine kusoma kwao ndio ilikuwa tumaini lao la kwanza.
Naahangaa sana watu ambao wanaona kuwekeza katika sayansi ni kama kumkana Mungu wakati huo huo wanatumia technologia zilizo tengenezwa kwa kiasi kikubwa na wanasansi ambao wengi wao hawaamini katika hizi dini.
kaka ni chaguo lako tu UIPENDE DUNIA UIACHE AKHERA AU UIPENDE AKHERA UIACHE DUNIA
 
Usijiaibishe mkuu lugha zote kongwe "we" inaweza isimaanishe wingi bali utukufu

Na haipo exclusive kwa waarabu hebu pitia hapa ujielimishe zaidi

Hawa watu bhana!

Allah akulipe kheri kwa kujaribu kumuelimisha.

Huenda ataelewa humo akikutana na kauli kama "Now, We, Edward, by the grace of God, King of the United Kingdom of Great Britain and Ireland and of the British Dominions beyond the Seas King, Defender of the Faith, Emperor of India, etc., etc., have arrived at the following decisions upon the questions in dispute, which have been referred to Our arbitration, ..."

Au kauli ya Magreth Thatcher "We have become a grandmother". Hahahahahaha.

Sijui ule u "great thinker" wa watu wa Jf uko wapi!
 
Nafuatilia huu uzi kwa karibu sana, mbaka sasahivi hapa naona mawakili upande wa utetezi kutoka uajemi wanaitana chemba mara ya 3 kujaribu kupangua nondo za mashahidi walioshuhudia kwa macho na kusikia kwa masikio yao, lakini mambo bado magumu sana.

Wazee wote wa baraza kutoka majukwaa mengine kule wamekaa kwenye mabenchi tu wanaangaliana.
 
Kwamba Yesu alizaliwa nje si ndio maana yake.
Biblia ipo wazi kuwa Yesu kazaliwa kwenye Zizi la ng'ombe na imetoa sababu ya Kwa nini Jambo Hilo limetokea.

Lakini Quran haijatoa sababu kwanini huyo Issa anayenasibishwa na Yesu alizaliwa chini ya mtende
Haya ukasome hapa,
Biblia ni kitabu kikubwa Kama jina lake lilivyo.
Usiseme kitu hakipo kabla hujauliza,

Haya soma;
Mathayo 2:1
Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,

Mathayo 2:2
Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

Mathayo 2:3
Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye.

Mathayo 2:5
Nao wakamwambia, Katika Bethlehemu ya Uyahudi; kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii,

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda,
Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda;
Kwa kuwa kwako atatoka mtawala
Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 2:7
Kisha Herode akawaita wale mamajusi faraghani, akapata kwao hakika ya muda tangu ilipoonekana ile nyota.

Mathayo 2:8
Akawapeleka Bethlehemu, akasema, Shikeni njia, mkaulize sana mambo ya mtoto; na mkiisha kumwona, nileteeni habari, ili mimi nami niende nimsujudie.

Mathayo 2:9
Nao waliposikia maneno ya mfalme, walishika njia; na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, hata ikaenda ikasimama juu ya mahali alipokuwapo mtoto.

Mathayo 2:11
Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu na uvumba na manemane.

Umejua ni wapi Yesu amezaliwa?
Na alizaliwa katika utawala upi? Na Mfalme alikuwa Nani?
Msimuliaji hapo ni mathayo mwanafunzi WA Yesu MWENYEWE.

Haya Quran anayesimulia ni Nani? Anamahusiano na Yesu Kwa namna ipi?
Je aliwahi kuonana na Yesu au kuonana na watu walioishi na Yesu?
Je aliwahi kufika nchi na eneo alilozaliwa Yesu ili ahoji watu waeneo Hilo?
Jibu ni hakuna mahusiano yoyote baina ya Muhammad na Yesu.
Hivyo Stori yoyote atakayoitoa haiwezi kutiliwa maanani.
YESU AMEZALIWA WAPI?

Hakuna andiko lolote katika Bibilia lililotaja sehemu alipozaliwa Yesu Yani (Lebor ya Yesu)

Luka 2 (KJV)
6 Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,
7 akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Hili andiko halisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la ngombo linasema amevikwa nguo akalazwa katika hori tena amelazwa hapo baada ya Mariam kukosa nafasi nyumba ya wageni inamaana wangepata nafasi nyumba ya wageni hapo katika hori la ngombo wasingefika

Yani kama hospital hapo katika hori ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kupumzika na watoto wao baada ya kutoka Labor

Sasa je Lebor ya Yesu ili kuwa wapi ? Kwa mujibu wa Quran Lebor ya Yesu ni chini ya Shina la mtende

Quran 19:23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

25.
Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.


Usitoe mandiko kama magarazeti
nenda katika point ya msingi

Mungu muumba mbingu na aridhi (Allah) anasema Yesu amezaliwa chini ya Shina mtende wewe wewe unabisha Sasa toa uthibitisho unao onyesha sehemu alipozaliwa Yesu ( Lebor ya Yesu) ili tujue kuwa Quran imeandika uongo hata ikipelekwa Mahakamani itashindwa
 
ROBERT HERIEL kwanza mzee kama ungemjua mtume muhammad swalahu llahu alaih wasalam wala usingeandika upuuzi huu,Tatizo lenu nyie mshalishwa matango pori kuwa mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam alioa mtoto mdogo na uislamu ni kufuga majini, na ugaidi

Ndio maana kila kitu cha uislamu mnakiona hakipo sawa, yan Akili zenu hazitaki kufunguka kabisa,kama mmelishwa limbwata na wazungu ,ili msijue ukweli wa mambo yanavyoenda kuhusu dunia na maisha ya kesho akhera,

Nakupa homework soma historia ya mtume muhammad swalahullah alaih wasalamu kwa nia ya kumjua sio kwa nia ya kukosoa alichokua akifanya alafu utapima ulichokigundua na ulichokaririshwa kanisan na kwenye vijiwe vya injili,


Muhammad ni moja kati ya kiumbe bora kuwai kuumbwa duniani na ni mtume ambae alishasamehewa dhambi zake zilizopita na zitakazo kuja wakati yupo duniani anatembea,

Tatizo hawa vijana waangalia porno wakishajua viingireza tuvineno viwili wanaanza kuchambua dini wakati hawana wanachojua

Hadi mla nguruwe mwenzako michael h.hart anamjua mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam ni nani alafu ww kajamba nani unaleta ushenzi
Wewe ni kipi unachokijua zaidi ya kukaririsha madrasa na bakora juu...so pathetic.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawa watu bhana!

Allah akulipe kheri kwa kujaribu kumuelimisha.

Huenda ataelewa humo akikutana na kauli kama "Now, We, Edward, by the grace of God, King of the United Kingdom of Great Britain and Ireland and of the British Dominions beyond the Seas King, Defender of the Faith, Emperor of India, etc., etc., have arrived at the following decisions upon the questions in dispute, which have been referred to Our arbitration, ..."

Au kauli ya Magreth Thatcher "We have become a grandmother". Hahahahahaha.

Sijui ule u "great thinker" wa watu wa Jf uko wapi!
Hata kwenye Biblia imetumika Royal We,

“Then God said, ‘Let us make man in our image, in our likeness, and let them rule over the fish of the sea and the birds of the air, over the livestock, over all the earth, and over all the creatures that move along the ground.’” Genesis 1:26

Ila hawaisomi hio Biblia wanatumia tu Utashi wao
 
Akitokea muislam anayejibu kwa Hoja na kupangilia hoja zake kisomi nishtueni...Maana mpaka hapa ni kama waliokuja wote wameishia elimu ya madrassa tu.
Madrasa yenyewe wamekaririshwa huku wakila mboko..unadhani wana uwezo wa kujibu hoja za mleta uzi zaidi ya kupigania mtume wao muongo muongo mzeee wa hearsays.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kupitia hili bandiko na likes ulizopata nimefahamu ya kuwa wakristo muna uelewa mdogo sana dhidi ya uislamu na Qur'an
(Qur'an sio maneno ya Muhammad)

Tafuteni maarifa kwanza sio mnaruka juu juu tu

Halafu ukiwa unajifunza weka chuki kwanza pembeni ili upate maarifa alafu ndo uje na hoja za uhakika
 
Akitokea muislam anayejibu kwa Hoja na kupangilia hoja zake kisomi nishtueni...Maana mpaka hapa ni kama waliokuja wote wameishia elimu ya madrassa tu.
Madrasa yenyewe wamekaririshwa huku wakila mboko..unadhani wana uwezo wa kujibu hoja za mleta uzi zaidi ya kupigania mtume wao muongo muongo mzeee wa hearsays.

#MaendeleoHayanaChama
 
Anakimbilia hapo usipate tabu [emoji23][emoji23][emoji23]maana kwao uchagani Wana nabii Tesha,huko mbeya Wana nabii mwamposa wanadhani iko cheo eti nabiii Paulo kwamba yesu alikuwa mungu na Simon, yudah sijui nani ndo manabii [emoji23][emoji23]

Hapa nachek sana kwamba elimu watu haijwai kuwasaidia.
Nadhani uhafidhina unakusumbua..wapi iliwekwa limit kuwepo kwa mitume na manabii..kwahiyo akitokea mtu mwingine mwema mwenye kutenda mayendo makuu ya ajabu hauwezi mpokea wala kumkubali kwasababu hajaandikwe kwenye vitabu vya waarabu na wayahudi??

Jitahidi kuwa na flexible mind utaishi kwa amani na uhuru zaidi kuliko hivi unavyoishi.

#MaendeleoHayanaChama
 
kaka ni chaguo lako tu UIPENDE DUNIA UIACHE AKHERA AU UIPENDE AKHERA UIACHE DUNIA
Issue ni wapi pa kweli au pote ni uongo.
Wakati mwingine naona kama vitu vya kusadikika.

Waislam nawakubali wana utamaduni mzuri hicho ndio kinaweza kunifanya kuingia huko.

Wanahubiri wanachokitenda na wanatenda wanchokihubiri ila sijui kama nitakuwa mfuasi mtiifu wa hizi dini nw niko sabath kujaribu kitafta hyo kweli nimetoka Roma, na kwa walokole
 
Nadhani uhafidhina unakusumbua..wapi iliwekwa limit kuwepo kwa mitume na manabii..kwahiyo akitokea mtu mwingine mwema mwenye kutenda mayendo makuu ya ajabu hauwezi mpokea wala kumkubali kwasababu hajaandikwe kwenye vitabu vya waarabu na wayahudi??

Jitahidi kuwa na flexible mind utaishi kwa amani na uhuru zaidi kuliko hivi unavyoishi.

#MaendeleoHayanaChama
Unajua hata mitume ni wakina nan ? Nenda ukalewe😂😂😂
 
Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu aliandika torati au zaburi au Injili au hiyo Quran? Ndio akili yako inavyoelewa hivyo?

Kwa kukusaidia tuu. Nenda kasome Historia vizuri ya Religious figures na nyakati walizokuwa nazo Enzi hizo. Alafu ndio uje Hapa.

mungu wa Muhammad kabla hajapewa utume alikuwa akiitwa Nani?
Yaani Muhammad akiwa na miaka 39 Kurudi chini alikuwa anaabudu mungu yupi?

Je mungu aliyekuwa anaabudiwa na kabila la Muhammad kabla ya Muhammad hajapewa utume anaitwa Nani?
Fuatilia hiyo,
Kabla ya Muhammad hajawa Mtume ni Nabii gani katika kabila au taifa Lao alikuwepo kama reference ya Ibada zao?

Ni ipi dini ya Muhammad kabla hajaanzisha uislam?
Hapo ndipo Ulipo msingi wa Quran
kabla nabii Muhammad hajapewa utume alikuwa akiabudu kama vile alivokuwa akiabudu Babu yake Nabii IBRAHIMU

2. Kabla nabii Muhammad hajapewa utume kitabu Cha nabii ISSA yaan YESU ndio kilikuwa kipo kinatumika kile Cha asili ila Kwa kuwa kilichezewa na wakati huo kabila la watu MAKKA walikuwa wamepindukia katika kuabudu masanamu kitendo ambacho kilimfanya nabii Muhammad kabla hajappewa utume kujiweka mbali na watu wa pale Makka na kwenda mbali kweny MAPANGO kuabudu yaan kupinga kuabudu MASANAMU
 
Kubishana kwenye huu uzi ni jambo ambalo linatakiwa kwenda kutazamwa yani mtoa mada kaingiza vitu ambavyo kiuhalisia havimake sense na huwezi pata hoja zenye mashiko unapotaka vitabu vya imani vijadiliwe kwa mtazamo wa kimahakama huu ni upuuzi wakuleta mzozo

Bible ni jumla ya vitabu vya Mungu ikiwemo Torat, injili na zaburi ambavyo vimesimuliwa na watu mbalimbali ambao waliamini kwaiyo ukiingia kwenye bible zimejaa hadithi za tangu kuumbwa kwa Adamu - Nuhu - na watu wengine maarufu waliosimuliwa katika maswala ya kiimani

Kwa uwelewa wa kawaida kipindi kirefu sana kimepita tokea kuumbwa kwa Adam hadi Nuhu apa hakuna kitabu kimetajwa wala kutelemshwa ilikua ni vizazi kurithishana simulizi na dini zilikua nyingi mixer wapagani kwaiyo kuna walioamini kuumbwa kwa Adam na wengine waliamini imani zingine

Kila kitabu kinabeba simulizi ya kitabu kilichopita anaye amini katika torati hatakiwi kuipinga zaburi na anaeamini zaburi hatakiwi kuipinga injili hizi update zilikua zinafanyika kutokana na aina ya generation na hao manabii wote waliokuwa wanapita huwezi kuwatenganisha wote walionekana kutoka kwa Mungu mmoja na walipashwa habari za waliotangulia kuna walioongea na God moja kwa moja na kunawaliotumiwa malaika lakini lengo lao linaonekana kabisa lilikua ni moja ila vizazi tofauti tofauti

Inapokuja kwenye kitabu cha quran hiki historia yake kwa ufupi ni maneno Mungu ambayo ameshushiwa Muhammad kupitia malaika na ukifatilia maandishi yake utagundua kuwa kuna ukumbusho unafanywa yani baadhi ya Aya Mungu anamwambia muhammed awaambie watu jambo la fulani lakini anampa historia labda ya manufaa au madhara waliyopata watu vizazi vilivyopita kabla ya generation yake, alikuwa akimuelezea kuwa kuna manabii waliopita kabla yake na historia zao sasa iki kitabu kiuhalisia ni chepesi sana kwa wale waliokiamini na hapa kuna maswali mengi yakujiuliza kwa ambao hawajakiamini..

Je itakuaje kama hiki kitabu ni cha kweli ?

Je itakuaje kama ni kitabu kinachofuata baada ya injili?
Apa tunaona ni kawaida ya Mungu kuleta manabii mbali mbali na vitabu tofauti tofauti

Je kila nabii anatumwa na Mungu wake ?

Lakini ukifatisha historia za hivi vitabu unaona mambo yao yanaendana

Swala lingine la kujiuliza ni je kama muhammad alitelemshiwa na God quran na simulizi mbali mbali za manabii waliopita itakuaje kama ni ya kweli aliyokuja nayo? Je tutaingia kweny kundi la jamaa wanyuma waliopinga injili, torat na zaburi kwa kuipinga qurani?

Mwisho wa yote hii thread yakiwaki huwezi peleka vitabu vya Mungu ukavikosoe mahakamani kwa sheria na mitazamo waliyotunga binadamu alafu upate majibu yakueleweka haiwezekani kuna vitu vimekaa kiimani tu


Ngoja niwaulize swali ndugu zangu.. ivi ikitokea sir God amemleta nabii mwingine izi zama zetu mwenye sifa kama za manabii waliyopita ivi tutamkubali kweli? Na izi akili zetu zilivochanganyikiwa[emoji28]



::JAMBO LA MSINGI KILA MTU AAMINI ANACHOAMINI KWA IMANI YAKE BILA KUMVUNJIA MWENZAKO HESHIMA AU KUMTUKANIA IMANI YAKE NA TUPEANI ELIMU KWA WEMA [emoji1666]peace
 
Kwa hiyo Kwa akili yako Mungu aliandika torati au zaburi au Injili au hiyo Quran? Ndio akili yako inavyoelewa hivyo?

Kwa kukusaidia tuu. Nenda kasome Historia vizuri ya Religious figures na nyakati walizokuwa nazo Enzi hizo. Alafu ndio uje Hapa.

mungu wa Muhammad kabla hajapewa utume alikuwa akiitwa Nani?
Yaani Muhammad akiwa na miaka 39 Kurudi chini alikuwa anaabudu mungu yupi?

Je mungu aliyekuwa anaabudiwa na kabila la Muhammad kabla ya Muhammad hajapewa utume anaitwa Nani?
Fuatilia hiyo,
Kabla ya Muhammad hajawa Mtume ni Nabii gani katika kabila au taifa Lao alikuwepo kama reference ya Ibada zao?

Ni ipi dini ya Muhammad kabla hajaanzisha uislam?
Hapo ndipo Ulipo msingi wa Quran
Jua kuwa dini ya uislamu hajaanzisha nabii Muhammad la hasha dini hii ni ya Mungu na ndio dini hii hii aliyomuusia BABA YETU ADAMU , IBRAHIMU ,NUHU DAUD na manabii wengine huko wotewalinyenyekea KIISLAMU
 
Injili nne za kina Luka, Marko, Matayo na Yohana. Zimeandikwa na nani ? Thibitisha kama hao wanaonasibishwa nazo ndiyo waandishi ?

Marko alimuona Yesu ? Aliishi zama za Yesu ? Aliwaona wanafunzi wa Yesu ? Hizi habari alizipata wapi ?
We jamaa ni mjinga Marko ni mwanafunzi wa YESU
 
Jua kuwa dini ya uislamu hajaanzisha nabii Muhammad la hasha dini hii ni ya Mungu na ndio dini hii hii aliyomuusia BABA YETU ADAMU , IBRAHIMU ,NUHU DAUD na manabii wengine huko wotewalinyenyekea KIISLAMU
Acha uongo kabla ya Muhammad kulikua hakuna dini inayoitwa uislamu, ndo maana hadija ndo mtu wa pili kuwa muislamu

Kabla Muhammad hajawa muislamu pale Maka walikua wanaabudu wachawi na Kaba kulikua na sanamu lao na kila mwaka jamii za kiarabu zilikua zinakutana kufanya ibada a k.a kuhiji
 
Hii Mitume ipo mingi Sana mingine inakaanga korosho huku mtambaswala ha haahaa ...

Tumeshawaambia uislamu Ni mfumo kamili wa maisha uliotimia ndio maana Kuna nchi zinaongozwa kiislamu na maisha yako poa. Yaani Kuna mifumo yote ...
Benki za kiislamu
Uchumi wa kiislamu
Michezo ya kiislamu
Siasa za kiislamu
Na maisha ya kiislamu kiujumla...

Swali ..Tutajieni nchi inayoongozwa kwa mifumo ya kikristo yaan Biblia inatumika kwa kila nyanja?? Mkinitajia mnanibatiza hapahapa....Tuanzie kule kwa Martin Luther King (Genius Wenu) wa Biblia(UK)...mpk kule Italy kwa Papa francwa'a..

Yoda nimekaa hapa nakunywa uji...
Kwa hiyo jamiiforum nayo inaongozwa ki-islamu we jamaa ni mjinga
 
Sijasema huyo ni Yesu hio ni picha imechorwa na wakristo kuonesha Vazi la Yesu.

Na pia waisilamu hawavai vipedo wanavaa kanzu hivyo hivyo ila wanaitwa vipedo ndio maana na mimi nikaleta hii hoja.

Na ni Vazi la kiimani, waisilamu wanavaa kanzu ama nguo zisizozidi ankle ili kuondoa kiburi, na ni exactly sababu hio hio yesu alivaa nguo fupi, wakati huo matajiri walivaa nguo ndefu na kujitamba, Yesu alivaa nguo fupi kama masikini wengine ili kujishusha.

Mark 12:38

Soma hapo.
Acha kudanganya watu hata akili ya kuhoji huna..hayo mavazi yalivaliwa huko middle east kwasababu ya hali ya hewa ya joto na jangwa..hivyo nguo kama kanzu zilikuwa zinavaliwa ili kupunguza kuweka mwili cool..sasa wewe mmatumbi wa dubai kavae kipendo chako njombe kama utatoboa na vazi lako la imani.

Mavazi ni tamaduni husika na wala sio imani...jitambue wewe usikaririshwe kila kitu ukabeba kama kilivyo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huu upuuzi wa wajinga kuijadili Quran tukufu sijui utakoma lini. Yaani mpumbavu tu mmoja anajifanya anaijua Quran. Damn u. Clumsy fool
Na wewe unachokijua nini zaidi ya kukaririshwa huko madrasa huku ukila mboko...huna ukijuacho kaa ujifunze..hivi vitabu ni historia kama historia zingine.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom