ROBERT HERIEL kwanza mzee kama ungemjua mtume muhammad swalahu llahu alaih wasalam wala usingeandika upuuzi huu,Tatizo lenu nyie mshalishwa matango pori kuwa mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam alioa mtoto mdogo na uislamu ni kufuga majini, na ugaidi
Ndio maana kila kitu cha uislamu mnakiona hakipo sawa, yan Akili zenu hazitaki kufunguka kabisa,kama mmelishwa limbwata na wazungu ,ili msijue ukweli wa mambo yanavyoenda kuhusu dunia na maisha ya kesho akhera,
Nakupa homework soma historia ya mtume muhammad swalahullah alaih wasalamu kwa nia ya kumjua sio kwa nia ya kukosoa alichokua akifanya alafu utapima ulichokigundua na ulichokaririshwa kanisan na kwenye vijiwe vya injili,
Muhammad ni moja kati ya kiumbe bora kuwai kuumbwa duniani na ni mtume ambae alishasamehewa dhambi zake zilizopita na zitakazo kuja wakati yupo duniani anatembea,
Tatizo hawa vijana waangalia porno wakishajua viingireza tuvineno viwili wanaanza kuchambua dini wakati hawana wanachojua
Hadi mla nguruwe mwenzako michael h.hart anamjua mtume muhammad swalahullahu alaih wasalam ni nani alafu ww kajamba nani unaleta ushenzi