Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
يَا أُخْتَ هَارُونَ مَا كَانَ أَبُوكِ امْرَأَ سَوْءٍ وَمَا كَانَتْ أُمُّكِ بَغِيًّاYohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu
Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi
Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.
Hapa mzee wa kukopi NA kupesti aliwadanganya waislam kuwa mariam ni Dada yake haruni NA hii ni kutokana na kukosa elimu hata ya darasa la saba