Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu

Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi

Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
يَا أُخْتَ هَارُونَ مَا كَانَ أَبُوكِ امْرَأَ سَوْءٍ وَمَا كَانَتْ أُمُّكِ بَغِيًّا
Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.


Hapa mzee wa kukopi NA kupesti aliwadanganya waislam kuwa mariam ni Dada yake haruni NA hii ni kutokana na kukosa elimu hata ya darasa la saba
 
Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Yesu alikuwa Muislam na hapo anatoa shahada na wewe siku utayo liamini hilo andiko hapo utakuwa Muislam kama Yesu

Ila kwa kuwa Sasa ni dhama za mtume Muhammad utasema hivi

Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Muhammad uliyemtuma
Yesu na Uislamu uliokuja miaka 500 Baada yakupaa ,wapi na wapi, tumieni akili na muwe na aibu Basi

Hata Kama mnapaswa kutetea dini sio kihivyo,

YAANI Nyeupe mnasema Nyeusi


FB_IMG_1667457805266.jpg
 
Yesu na Uislamu uliokuja miaka 500 Baada yakupaa ,wapi na wapi, tumieni akili na muwe na aibu Basi

Hata Kama mnapaswa kutetea dini sio kihivyo,

YAANI Nyeupe mnasema Nyeusi


View attachment 2405606
Ni nani aliyekuambia kuwa uislam umekuja miaka 500 baada ya Yesu?

Hata nabii Ibrahim na kizazi chake walikuwa waislam

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.


Manabii wote wa Mungu unaowajua wewe walikuwa waislam

Kama unao ushahidi kuwa walikuwa na dini tofauti na uislam toa Hilo andiko tulione
 
Yesu ni Muislam na hu ndio ushahidi kuwa Yesu ni Muislam

Yohana 17:3 (KJV)
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Mtu yoyote anayeamini kuwa Mungu ni wa pekee na huyo Mungu wa pekee ndio amewatuma manabii kama Yesu na wengine huyo ni Muislam

Kama wewe unao ushahidi unasema Yesu alikuwa dini nyingine tofauti na uislam weka hilo andiko tulione

Bibilia ni faile lililokusanya vitabu vya maneno ya manabii na maneno ya watu Mungu hajaleta kitabu kinachoitwa Bibilia

Hilo andiko katika kitabu Cha Yohana ni maneno ya Yesu na maneno ya Yesu ni Injili na Injili ni kitabu cha Mungu alicho mfunulia Yesu

Quran 3:3
Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili

Wewe ndio umechanganyikiwa kabisa.

Kwa mujibu wa Quran na Hadithi za kiislam, unaweza nambia Muislam wa Kwanza ni Nani?
Maana Quran imechanganyana katika hilo
Mimi huwa nasema ukweli siku zote, nilimkosoa kwenye ile mada ya talaka kwa wakristo maana niliona anaandika mambo yasiyokuwa sahihi.

Kwenye mada hii ROBERT HERIEL amejenga hoja vizuri nadhani waislam mjipange na kuzijibu badala ya kutukana na kubisha.

Sikuzote Mimi ninajenga hoja Kwa kuangalia uhalisia na ukweli.
Ila wengi WA ninaojadiliana nao(ukiwemo wewe) mnatumia ushabiki pale ninapogusa maslahi yenu Kama ya Kidini au Kisiasa au kiutamaduni.
 
Acha uongo kabla ya Muhammad kulikua hakuna dini inayoitwa uislamu, ndo maana hadija ndo mtu wa pili kuwa muislamu

Kabla Muhammad hajawa muislamu pale Maka walikua wanaabudu wachawi na Kaba kulikua na sanamu lao na kila mwaka jamii za kiarabu zilikua zinakutana kufanya ibada a k.a kuhiji
kama haujui Kuanzia Adam mpaka nabii Muhammad wote walikuwa kitu kimoja
 
Ni nani aliyekuambia kuwa uislam umekuja miaka 500 baada ya Yesu?

Hata nabii Ibrahim na kizazi chake walikuwa waislam

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.


Manabii wote wa Mungu unaowajua wewe walikuwa waislam

Kama unao ushahidi kuwa walikuwa na dini tofauti na uislam toa Hilo andiko tulione

Waisrael dini Yao ni ipi na Mungu wao ni yupi?

Kumbuka hoja zangu katika andiko zinazofanya Quran ikose uhalali WA kuwa kitabu cha rejea kwani inaandika mambo ambayo mwandishi wake hakuwepo, Hana asili na watu anaowaelezea, hayajui mazingira na Maeneo anayoyasimulia.

Pia Quran hiyohiyo inamtaja Muhammad kama Muislam wakwanza,
Na kimsingi Muhammad ndiye kaleta Quran na uislam,
 
kama haujui Kuanzia Adam mpaka nabii Muhammad wote walikuwa kitu kimoja


Embu nitajie nguzo kuu za uislam alafu eleza katika nguzo kuu ni zipi manabii kama Ibrahim, Musa, Suleiman, Yesu n.k walizifuata?


Eleza Musa aliswali swala tano?
Elena Musa aliwahi kufunga Ramadan?
Eleza Musa na kina Adamu waliwahi kutoa shahada mbili?
Elena Musa aliwahi kuhiji? N.k

Alafu ukijibu uje na ushahidi wa kutosha,
Alafu utuambie ni Kwa kivipi Manabii wengine walikuwa kitu kimoja na Muhammad (yaani walikuwa waislam?

Karibu
 
Embu nitajie nguzo kuu za uislam alafu eleza katika nguzo kuu ni zipi manabii kama Ibrahim, Musa, Suleiman, Yesu n.k walizifuata?


Eleza Musa aliswali swala tano?
Elena Musa aliwahi kufunga Ramadan?
Eleza Musa na kina Adamu waliwahi kutoa shahada mbili?
Elena Musa aliwahi kuhiji? N.k

Alafu ukijibu uje na ushahidi wa kutosha,
Alafu utuambie ni Kwa kivipi Manabii wengine walikuwa kitu kimoja na Muhammad (yaani walikuwa waislam?

Karibu
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَٰكِنْ كَانَ حَنِيفًا مُسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
surat bakarah
 
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَٰكِنْ كَانَ حَنِيفًا مُسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
surat bakarah

Mungu WA Ibrahimu unamjua anaitwa Nani?
 
مَا كَانَ إِبْرَاهِيمُ يَهُودِيًّا وَلَا نَصْرَانِيًّا وَلَٰكِنْ كَانَ حَنِيفًا مُسْلِمًا وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ
Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina.
surat bakarah

Ibrahim ni Babu wa Wayahudi
 
Embu nitajie nguzo kuu za uislam alafu eleza katika nguzo kuu ni zipi manabii kama Ibrahim, Musa, Suleiman, Yesu n.k walizifuata?


Eleza Musa aliswali swala tano?
Elena Musa aliwahi kufunga Ramadan?
Eleza Musa na kina Adamu waliwahi kutoa shahada mbili?
Elena Musa aliwahi kuhiji? N.k

Alafu ukijibu uje na ushahidi wa kutosha,
Alafu utuambie ni Kwa kivipi Manabii wengine walikuwa kitu kimoja na Muhammad (yaani walikuwa waislam?

Karibu
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنْزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنْزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِنْ رَبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

mm naweka ushahidi wa maandiko naww weka ushahidi was maandishi kuthibitisha waliopita walikuwa WAKRISTO
 
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنْزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنْزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِنْ رَبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

mm naweka ushahidi wa maandiko naww weka ushahidi was maandishi kuthibitisha waliopita walikuwa WAKRISTO

Umeelewa swali uliloulizwa Hapo juu?
 
قُلْ آمَنَّا بِاللَّهِ وَمَا أُنْزِلَ عَلَيْنَا وَمَا أُنْزِلَ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَمَا أُوتِيَ مُوسَىٰ وَعِيسَىٰ وَالنَّبِيُّونَ مِنْ رَبِّهِمْ لَا نُفَرِّقُ بَيْنَ أَحَدٍ مِنْهُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُسْلِمُونَ
Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

mm naweka ushahidi wa maandiko naww weka ushahidi was maandishi kuthibitisha waliopita walikuwa WAKRISTO


Hakuna sehemu nimesema waliopita walikuwa Wakristo. Ninachojua Waliopita Wengi wao walikuwa Wayahudi
 
MUNGU WA IBRAHIMU NI MUNGU MMOJA TU AMBAE NI ALLAH HUYU NDIO MUNGU WANGU PIA MUNGU WA NABII ISA (YESU) na pia ndio mungu wako huyuhuyu

Allah ni mungu wa waarabu wewe,
Kabla ya Muhammad Allah alikuwa anaabudiwa na waarabu wa kabila la wakurdi siku ya ijumaa .

Mungu wa Musa anaitwa Nani?
 
Embu nitajie nguzo kuu za uislam alafu eleza katika nguzo kuu ni zipi manabii kama Ibrahim, Musa, Suleiman, Yesu n.k walizifuata?


Eleza Musa aliswali swala tano?
Elena Musa aliwahi kufunga Ramadan?
Eleza Musa na kina Adamu waliwahi kutoa shahada mbili?
Elena Musa aliwahi kuhiji? N.k

Alafu ukijibu uje na ushahidi wa kutosha,
Alafu utuambie ni Kwa kivipi Manabii wengine walikuwa kitu kimoja na Muhammad (yaani walikuwa waislam?

Karibu
Allah ni mungu wa waarabu wewe,
Kabla ya Muhammad Allah alikuwa anaabudiwa na waarabu wa kabila la wakurdi siku ya ijumaa .

Mungu wa Musa anaitwa Nani?
Sijui unamiaka mingapi ila upeo wako ni mdogo sana ALLAH ni lugha ya kiarabu ELOI ni lugha ya kiyunani Mungu ni lugha ya kiswahili God ni kizungu
 
Allah ni mungu wa waarabu wewe,
Kabla ya Muhammad Allah alikuwa anaabudiwa na waarabu wa kabila la wakurdi siku ya ijumaa .

Mungu wa Musa anaitwa Nani?
Unauliza Mungu wa MUSA anaitwa Nan
MUNGU ni mmoja TU Mungu wa Musa ndio Mungu wa Ibrahim ndio Mungu wa Nuhu na Yesu huyohuyo
 
MUNGU WA IBRAHIMU NI MUNGU MMOJA TU AMBAE NI ALLAH HUYU NDIO MUNGU WANGU PIA MUNGU WA NABII ISA (YESU) na pia ndio mungu wako huyuhuyu

Ukitoka hapa nenda kamuulize mwalimu wako WA dini maswali haya;

1. Je mitume wa kiyahudi walikuwa waislam? Je walikuwaje Waislam wakati hawakuwahi kushika nguzo za uislam?

2. Je Yehova/Yahwe ni Nani?
Alafu msomee hii
Kutoka 6:2
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
Kutoka 6:3
nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Muulize kuwa mbona aliyemtokea Ibrahimu, Isaka na yakobo ni Yahwe/Jehova na sio Allah?
Swali hili tayari sehemu ya majibu yake yatakuwa kwenye majibu ya swali la Kwanza hapo juu.

Zingatia, jina Mungu sio personal name Bali ni jina la Cheo Kama vile Rais, Mfalme, n.k.
Ndio maana Mungu akajitambulisha Kwa jina na kuacha kutumia Cheo chake "Mungu" akajiita Jehova/Yahwe.

3. Muulize Mwalimu wako Kwa kiarabu Neno Mungu ni linaitwaje,
Mfano kingereza neno Mungu ni God,
Je Kwa kiarabu neno Mungu inaitwaje?
Kama ndio Hilo Allah mwambie personal name ya Allah ni Nani?
Japo kimsingi Allah ndio personal name ya mungu wa waarabu.

Alafu utaelewa wapo unakakwama
 
Back
Top Bottom