Siliza wewe ndiyo umeleta haya mambo ya Roho wakati kwenye Quran hakuna hicho kitu, na Allah ansema, waislamu hawana elimu ya Roho ila kiduchu tu. Al-Israa 85.
Biblia inasema hivi
Mungu Ni Roho, nao wamwabuduo, imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.
Yohana 4:24.
Wewe unasema Roho ndiyo iliyo kufa wakati Roho haifi. Kuliko upuyange tu bora uulize usaidiwe.
Allah hajawahi andika kitabu, waandishi wa vitabu ni maswahaba wa Muhammad ambao wanadai Allah aliwaambia.
Kumbuka huyo Allah hajawahi kuongea na Muhammad wala hao maswahaba
Siliza wewe ndiyo umeleta haya mambo ya Roho wakati kwenye Quran hakuna hicho kitu, na Allah ansema, waislamu hawana elimu ya Roho ila kiduchu tu. Al-Israa 85.
Biblia inasema hivi
Mungu Ni Roho, nao wamwabuduo, imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.
Yohana 4:24.
Wewe unasema Roho ndiyo iliyo kufa wakati Roho haifi. Kuliko upuyange tu bora uulize usaidiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.