Tetesi: Kama hili ni kweli, basi nakubaliana na Lissu kuhusu Dkt. Slaa

Mkuu hapa ulipo comment nahisi umepotea, maana ulichoandika kipo nje ya hoja inayojadiliwa hapa.

Mada ni kuhusu jinsi Lisu alivyozuia Dr Slaa kurudi Chadema kutokana na kukisaliti chama chao, na pia kufurahia jinsi Lisu alivyopigwa risasi na baadae Mbowe kuwekwa ndani kwa uhaini.

Sasa hayo uliyoandika hapa hayaendani na kinachojadiliwa.

Ni bora ungeyaanzishia uzi wake watu wacomment.
 
Hivi Josephine,ndiye aliyesababisha Slaa wachane na Rose!?
Inasemekana babu baada ya kuchovya ndo akaingia mazima na matokeo yake ndoa chali.

Sasa anatamani siku zirudi nyuma, ila ndo basi tena hilo haliwezekani.
 
Yani Dr Slaa sio tu msaliti, bali ni katili kabisa aisee.
 
Hata Lissu na Mbowe wakisoma hili andiko na wenyewe watashangaa sana, hakika umejua kuwabunia maneno kwa kiwango cha juu mno😂😂😂😂😂
 
Si tu ni uongo Mr p but hakuna kitu kama hicho kuwepo kwa senior kama Dr slaa, unaweza kuniokota mm kwa ignorance yangu ya uhaba wa elimu ya technology but kwa Dr? A big No. Aje na hoja mpya
Moyo wa mtu msitu ndugu yangu. Muda mungine vile umdhaniavyo mwenzako sivyo vile alivyokuwa.

Ndomaana kuna msemo unaosema "usiusemee moyo wa mwenzako".

I hope umenielewa.
 
Hata Lissu na Mbowe wakisoma hili andiko na wenyewe watashangaa sana, hakika umejua kuwabunia maneno kwa kiwango cha juu mno😂😂😂😂😂
Amna sikubuni mkuu. Nimeandika uhalisia wa kile kilichopewa 🤣🤣🤣
 
Huyo fisadi yupo wapi kwa Sasa? Na mtoto wake kapewa ubunge. Wewe ndio mnafiki
 
Nadhani amepewa likes kutokana na jinsi alivyo Tunga hadithi inayoakaisi ukweli. Yani hata Kama ametunga ila scenario inafanana na ukweli asilimia 90%
 
Dr Slaa ni project 101, CCM wanamtumia kuwasambaratisha wapinzani, walimtumia mwanzo na hawasiti kumtumia sasa. Mambo yote kuhusu Dr ni maigizo mpaka huko TEC yanaingia.
Huwa mnapenda kuipa sifa CCM kwa mambo ambayo haina uwezo nayo. Eti project 101. Kiburi Cha CCM kipo kwenye Dola basi. Hizi zingine porojo.
 
Huu upumbavu ulioleta hapa jukwaani ni mafala wenzako ndio watakupongeza

Slaa ninaemjua mimi hawezi fanya huo ujinga,kawa balozi bila kadi ya CCM,haiitaji chadema tena,yeye ni mwanaharakati huru kabisa
Slaa anaihitaji CHADEMA kuliko kitu chochote.
 
Shida Dr Slaa aliongea mengi Sana kiasi Cha kutokuaminika Tena.
Alijua ataendelea kuwa katika nafasi aliyokuwa nayo milele 😂😂
Sasa jumba limemuangukia, hana pakukwepea mvua 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…