goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kutafuta elimu tulikoambiwa siyo huku!Mimi sijaona hiyo clip ila naweza tu kukuelimisha kuwa, Kwenda kwenye mahubiri ya dini yoyote sio kuwa mtu amebadilisha dini; Watu wamehimizwa watafute Elimu!
Mm nimetoa taarifa upande wa Mwamposa. Na mwingine anaruhusiwa kutia upande mwinginehivyo ukiona upande mmoja bas uangalie na mwingine na utoe taarifa.
Mbona kwenye teuzi huwa hamsemi hivyo? Mkiona majina ya Kikristo mnasema ni wakristo mkiona ya Kiislamu mnasema ni Waislamu😂😂😂🤣🤣😂 Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Hawa wanapewa vifaa vya kiroho na kupigwa ishara ya msalaba vifuani kwao.Mimi sijaona hiyo clip ila naweza tu kukuelimisha kuwa, Kwenda kwenye mahubiri ya dini yoyote sio kuwa mtu amebadilisha dini; Watu wamehimizwa watafute Elimu!
Wapo sikatai hata mimi baadhi ninawajua ndio maana nikaweka condition kuwa atakuwa Jahil(mjinga) wa levo ya mwisho kuhusu dini yakeKama kuna muislamu anaweza kulowea kwa waganga ili mambo yaende seuze kwenda kukanyaga mafuta kwa mwamposa ili aepuke shida!!
Isitoshe mwamposa nasikia hakubadili dini wala dhehebu, pale ni huduma tu ndio maana anajipatia watu wengi
Watabarikiwa na watoto ama mke wa Mwamposa (kama anaye).Mungu?siku akifa itakuwaje!nani atakaewapa baraka hali ya kuwa kwenu siyo Mungu anaetoa baraka bali mwamposa ndiye mwenye jukumu hilo
Ipo siku utamjua mtume Muhamad saw. Na utatoa shahada na Inshaalah utakuja kuwa muislam mzuri.Mtume Mohamedi hadi analiwa na nguruwe hakuwa amefanya muujiza wowote ...hata tu kubeti tu na kupatia, hakuna!!!
Sasa unataka kumpangia maisha mbona kuna wakristo Wana slim kuwa waislamu unashangaa nin waislamu kubadilisha kuwa wakristo haya mambo ya Kuama upande yapo na yataendelea kuwepoHauna akili ,utajisalimashe kwa binadamu mwenzako na kujaalia mtu wa Kati baina ya wewe na Mwenyezi Mungu ? mtu ankufa na kufanya makosa Mwenyezi Mungu hafi wala hakosei !
Siku chache zilizopita palizuka mabishani kati ya Dr. Mwaka na Shekhe ubwabwa juu ya haki ya kiongozi wa dini kumuwekea mikono nakumuombea muumini wa dini nyingine. Shekhe ubwabwa alikuwa anapinga wakati dr. Mwaka alikuwa anaunga mkonoWe huwajui Waislamu, kwenye Uislamu hakuna huo uhuru unaousema
kama ni kweli anavyoeleza mtoa mada, hili litaleta bifu kubwa sana siku sio nyingi
Acha uongo na vitishohuyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kwa hiyo hao ndo miungu ya wanaosali kwa huyo mtu?huwa nacheka mtu mzima na ndevu zake anapokuja kunihadithia habari kama hizi.Watabarikiwa na watoto ama mke wa Mwamposa (kama anaye).
Kule Nigeria, kanisa la TB Joshua linaendeahwa na mkewe pwmoja na watoto wake
Mwaka akiambiwa atoke katikati ya watu atatoka?Siku chache zilizopita palizuka mabishani kati ya Dr. Mwaka na Shekhe ubwabwa juu ya haki ya kiongozi wa dini kumuwekea mikono nakumuombea muumini wa dini nyingine. Shekhe ubwabwa alikuwa anapinga wakati dr. Mwaka alikuwa anaunga mkono
TakbiiirWeka bando. Wanakuja.
Karibuni Madina na MakkaMbona kwenye teuzi huwa hamsemi hivyo? Mkiona majina ya Kikristo mnasema ni wakristo mkiona ya Kiislamu mnasema ni Waislamu