Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Bora ya wazungu wanatumia kipimo, ila wewe unatumia hisia zako alafu unataka watu wakuamini maisha sio marahis hivyo
Unasafari ndefu sana kifikra sababu unaishi kwenye fantasy world

Hao wazuñgu waliokufundisha gdp waliposema chini ya dola moja ni Umaskini walitumia kipimo gani kama sio mtazamo wao. Ili ujue umekariri
 
Milioni tano kwa mwezi ni kama 160,000 kwa siku, huwezi kumudu milo mitatu Serena Hotel, bado ni masikini wa kutupwa
Huo ni ukweli mtupu. Una 5M kwa mwezi halafu unaishi kwenye hotel ya nyota tano kwa maana unakula, unalala na unakunywa katika hoteli hiyo. Hapo unautafuta umasikini kwa kuishi maisha ambayo yapo juu ya kipato chako. Lakini kwa wale ambao wanaishi maisha ya kawaida hutwo tuela tunatosha kwa kubadilisha mboga, malazi na kinywaji bila wasiwasi.
 
Serena hotel sio SI unit ya mlo, pale unalipia na majengo, ila kwa 160K unaweza nunua vitu ukapika home milo mitatu mizuri sana, + kuajiri mpish special wa familia mwenye cheti kabisa hahaha
Tena na chenji inabaki kabisa
 
Wew ndio hujui, lini tumeshuka ? Latest gdp per Capital ya Tz ni ngapi ?
 

Muelekezechuyo ndugu yako tofauti ya Umaskini na ufukara huenda hata haelewi nini kinazungumziwa hapa
chaneee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…