Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Hiyo pesa nyingi sana sema waafrica hatujui ku save. Hiyo milioni 5 watoto wataenda shule Kwa mabasi ya njiani na mlo utakuwa wa uhakika. Ukisave kila mwezi 1.6 Kwa mwaka una 20M tusemd watoto uwalipie ada 9M unabaki na chechi kama 11M hivi😂. Save hiyo 11M Kwa miaka 10 utakuwa na shilingi ngapi? 😂Kipato kwa mwezi Milioni 5 ila una watoto 6, wewe pia niii?
Hana kazi ya maana ya kufanya,analipwa zake laki 7 na kwao ndo anaitwa tajiri,kwahiyo ukimwambia chini ya milioni tano ni masikini anakuona kama unamuonea wivu tuMwanangu mpka umesaka picha ya jamaa ,kweli umaskini ni laana , ngoja niamke nikapambane asee.
Amani Na Salama.Haswaaaa!
Unaweza ukawa maskini wa kawaida yaani kipato chako kinarange 400k mpaka 1m ukaenjoi maisha kuliko mwenye bilioni moja.
In short umeamua kuishi na umaskini.Nadunda na laki 5 yangu kwa mwezi na sijawahi kukopa.
Kipato cha milioni mbili per month ni life la kawaida sana lenye financial limitation kibaoKwa mwezi million 2 ,mim Ni Tajiri mtaa mzima nikipita wanasalimia shikamoo ,.....
Kiufupi naweza kulisha mtaaa weekend ,Kwa Tz million 2 Kwa mwezi unakuwa umetoboa maisha ...tembea kifua mbele kabisa [emoji23]
Kuumwa,kufa na changamoto zingine za maisha isitufanye turidhike na maisha ya chini. Hivyo vyote vipo ili kutufanya tupambane ipasavyo.Hakuna utajiri mkubwa kama kua na afya njema na kuwa ni mtu mwenye kushukuru, haya maisha ya show off unaweza ingaza hata zaidi ya milioni 10 na ukawa ni mtu wa stress tu.
Ndugu zangu mara moja moja mkipata nafasi muwe mnatembelea mahospitalini kuwajulia hali wagonjwa msisubiri mpaka nyinyi wenyewe muugue ndio muende hospital.
Kuna rafiki yangu alitaka kujiua kisa duka lake limeungua, alijifungia ndani wiki nzima hataki hata chakula, baada kupata hizo habari nikaenda kwake nikaforce twende tukatembee apunguze stress, alinikatalia katakata baada ya kumlazimisha sana ndio akakubali, ilikua ni jumapili nilinunua vizawadi kidogo halafu moja kwa moja nikampeleka Ocean Road kwenda kuwajulia hali wagonjwa wa Cancer.
Baada ya kurudi tu home kitu cha kwanza jamaa aliomba ugali, baada ya kula na kushiba akipiga goti kumshukuru Mungu kwa neema kubwa ya afya aliyonayo.
Hamna akili ndogo inayokaa na helaUmasikini ni AKILI ya MTU hii haijalishi unamiliki kiasi GANI bank.
Maana kuna watu wapo well financially Ila AKILI ndogo na mwisho MAISHA yamepoteza ladha.
Hata mwenye shilingi mia humwabudu mwenye buku lakini hiyo haiondoi uhalisia kwamba wote ni maskiniHuo ujinga wako peleka huko oysterbay na Masaki.Mimi nashi kijijini nalima na kufuga na nina mapato ya tsh milioni tatu kila mwezi naabudiwa hapa kuliko mfalme.BEFORE YOU WRITE ANY THING FERIFY WHAT KIND OF AUDIENCE ARE YOU AIM AT.
Ni kweli kaka, tunapambana kuchomoka kwenye umaskini.In short umeamua kuishi na umaskini.
Ni kweli pesa ni makaratasi yaliyopewa nguvu na akili, Lakini kili ndo running machine ya mfumo wa maisha ya watu. Ukisema kwamba hayo makaratasi si kitu ili hali akili imeyapitisha kuwa ni kitu cha maana na wewe unashughulika kila siku uyapate ili ulete balance kwenye life yako unakua unaukana ukweli.Umaskini au utajiri ni vile unavoyaona mambo kwa mtazamo wako binafsi!!
Vipimo vingi vya umaskin sio halisi ni vya kutengeneza kutokana na malezi na makuzi ya mtu au elimu feki ambayo haisadifu uhalisia!!
fedha sio chakula Wala afya SEMA Kuna watu wachache sana walizifanya hizI karatasi zionekane za maana kumbe ni ujinga mtupu!!
kwangu mimi simuoni mtu tajiri Sana eti kisa ana makaratasi meeengi kwenye nyumba iitwayo Benki!!
Umaskini was kumiliki fedha au kuthaminisha kitu kwa fedha ni WA kutengeneza na elites fulani na kutuaminisha eti hizo karatasi ndio thamani ya status ya mtu kwenye jamii!!
Wamesomea kazi ili kudhibiti njaa waliyonayo,lakini infact si wasomi.Khahahahahahaha.
Mawazo ya maskini bhana[emoji23]
Na ukae ukijua,kama unaishi kwenye Nchi ambayo Ina deni zaidi ya trillion 70 wewe ni mfugo uliokwisha uzwa.
Kwa maana,Kuna uwezekano wa mishahara yote watumishi wanalipwa Kwa fedha za mikopo kutoka IMF.
Nchi inakuwa Maskini,Takataka,Fukara iliyojaa watu wajinga kupitiliza wasiojielewa,kwao Bora Uzima[emoji24][emoji24][emoji24].
Wasomi wasiojua ni Kwa nn wamesoma.
Deni la nchi, mtu yoyote atake asitake linamuhusu na kumgusa unless yupo anaishi nchi ambayo ni free debtKitu cha kuvutia ni kuwa wew pia ni takataka,
Kingine, madeni ya nchi hayatuhusu, wew kuwa na pesa nying zako zinatosha, usiamze kuleta maneno mingi,
Kujifariji ni kukomaza tatizoSema kujifariji ni vizuri
Utajiri ni life materials na yanapimwa kwenye pesa, utajiri usiopimika kwenye fedha katika dunia ya leo si utajiri.Kwani tafsiri ya umasikini ni nini? Mshahara? Unadhani utajiri ni pesa pekee?
Uko sahihi mkuu ndomana huwaga sitaki kutaka kumiliki gari wakati mm ni maskini...kipato cha kuwa gari atleast uwe unapiga 10ml per month hapo gar halitokusumbua...jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana[emoji23]
Wenye hela hawawezi weka avatar kama aliyoweka yeye.. hizo editing za picha zinapatikana infinix sijui [emoji1787]
Ni maskini mwenzetu, aje tupeleke CV kwa Boss la DP World
Kutopata kipato husika haimanishi kukubaliana na kipato kinachoishia kwa mama ntilieMala nyingi mtu mwenye kauli kama hii ni mtu ambaye hata laki8 Kwa mwezi huionagi
Hakuna kitu kinaitwa anasa, Anasa ni kauli za kimaskini.Kila pesa ni ndogo kutegemeana na hali ya maisha yako. Ikiwa unaishi kwa anasa hata 10 million kwa mwezi itakuwa haitoshi
Afya ya mwili si utajiri bali hali ya mifumo ya mwili. Utajiri ama umaskini ni hali ya uchumi.Katika utajiri unatakiwa kumshukuru Mungu basi ni Afya, huyu kijana akakae pale Mwaisela au Sewa Haji kwa masaa kumi na mbili atabadili kauli yake
Sasa kama kila weekend unaangamiza million 2 kwenye starehe tu unadhani hio 10M itakutosha kwa lipi?Hakuna kitu kinaitwa anasa, Anasa ni kauli za kimaskini.