Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kipato kwa mwezi Milioni 5 ila una watoto 6, wewe pia niii?
Hiyo pesa nyingi sana sema waafrica hatujui ku save. Hiyo milioni 5 watoto wataenda shule Kwa mabasi ya njiani na mlo utakuwa wa uhakika. Ukisave kila mwezi 1.6 Kwa mwaka una 20M tusemd watoto uwalipie ada 9M unabaki na chechi kama 11M hivi😂. Save hiyo 11M Kwa miaka 10 utakuwa na shilingi ngapi? 😂
 
Kwa mwezi million 2 ,mim Ni Tajiri mtaa mzima nikipita wanasalimia shikamoo ,.....

Kiufupi naweza kulisha mtaaa weekend ,Kwa Tz million 2 Kwa mwezi unakuwa umetoboa maisha ...tembea kifua mbele kabisa [emoji23]
Kipato cha milioni mbili per month ni life la kawaida sana lenye financial limitation kibao
 
Hakuna utajiri mkubwa kama kua na afya njema na kuwa ni mtu mwenye kushukuru, haya maisha ya show off unaweza ingaza hata zaidi ya milioni 10 na ukawa ni mtu wa stress tu.
Ndugu zangu mara moja moja mkipata nafasi muwe mnatembelea mahospitalini kuwajulia hali wagonjwa msisubiri mpaka nyinyi wenyewe muugue ndio muende hospital.
Kuna rafiki yangu alitaka kujiua kisa duka lake limeungua, alijifungia ndani wiki nzima hataki hata chakula, baada kupata hizo habari nikaenda kwake nikaforce twende tukatembee apunguze stress, alinikatalia katakata baada ya kumlazimisha sana ndio akakubali, ilikua ni jumapili nilinunua vizawadi kidogo halafu moja kwa moja nikampeleka Ocean Road kwenda kuwajulia hali wagonjwa wa Cancer.
Baada ya kurudi tu home kitu cha kwanza jamaa aliomba ugali, baada ya kula na kushiba akipiga goti kumshukuru Mungu kwa neema kubwa ya afya aliyonayo.
Kuumwa,kufa na changamoto zingine za maisha isitufanye turidhike na maisha ya chini. Hivyo vyote vipo ili kutufanya tupambane ipasavyo.
 
Huo ujinga wako peleka huko oysterbay na Masaki.Mimi nashi kijijini nalima na kufuga na nina mapato ya tsh milioni tatu kila mwezi naabudiwa hapa kuliko mfalme.BEFORE YOU WRITE ANY THING FERIFY WHAT KIND OF AUDIENCE ARE YOU AIM AT.
Hata mwenye shilingi mia humwabudu mwenye buku lakini hiyo haiondoi uhalisia kwamba wote ni maskini
 
Umaskini au utajiri ni vile unavoyaona mambo kwa mtazamo wako binafsi!!

Vipimo vingi vya umaskin sio halisi ni vya kutengeneza kutokana na malezi na makuzi ya mtu au elimu feki ambayo haisadifu uhalisia!!

fedha sio chakula Wala afya SEMA Kuna watu wachache sana walizifanya hizI karatasi zionekane za maana kumbe ni ujinga mtupu!!

kwangu mimi simuoni mtu tajiri Sana eti kisa ana makaratasi meeengi kwenye nyumba iitwayo Benki!!


Umaskini was kumiliki fedha au kuthaminisha kitu kwa fedha ni WA kutengeneza na elites fulani na kutuaminisha eti hizo karatasi ndio thamani ya status ya mtu kwenye jamii!!
Ni kweli pesa ni makaratasi yaliyopewa nguvu na akili, Lakini kili ndo running machine ya mfumo wa maisha ya watu. Ukisema kwamba hayo makaratasi si kitu ili hali akili imeyapitisha kuwa ni kitu cha maana na wewe unashughulika kila siku uyapate ili ulete balance kwenye life yako unakua unaukana ukweli.
 
Khahahahahahaha.
Mawazo ya maskini bhana[emoji23]

Na ukae ukijua,kama unaishi kwenye Nchi ambayo Ina deni zaidi ya trillion 70 wewe ni mfugo uliokwisha uzwa.

Kwa maana,Kuna uwezekano wa mishahara yote watumishi wanalipwa Kwa fedha za mikopo kutoka IMF.

Nchi inakuwa Maskini,Takataka,Fukara iliyojaa watu wajinga kupitiliza wasiojielewa,kwao Bora Uzima[emoji24][emoji24][emoji24].

Wasomi wasiojua ni Kwa nn wamesoma.
Wamesomea kazi ili kudhibiti njaa waliyonayo,lakini infact si wasomi.
 
Kitu cha kuvutia ni kuwa wew pia ni takataka,

Kingine, madeni ya nchi hayatuhusu, wew kuwa na pesa nying zako zinatosha, usiamze kuleta maneno mingi,
Deni la nchi, mtu yoyote atake asitake linamuhusu na kumgusa unless yupo anaishi nchi ambayo ni free debt
 
Uko sahihi mkuu ndomana huwaga sitaki kutaka kumiliki gari wakati mm ni maskini...kipato cha kuwa gari atleast uwe unapiga 10ml per month hapo gar halitokusumbua...jamaa yangu analipwa 800k kwa mwezi halafu ana gari la mkopo huwa namuonea huruma sana[emoji23]

Tanzania ndo nchi pekee gari ni kipimo cha utajiri[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom