Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Yaani wewe jamaa hua kichwa chako kimejaa dillusions na vitu vya kufirika sana

Nikajua makala itakua imejaa takwimu na definitions zinazokubalika kwenye economics na standards za world bank kumbe tuko hapa unatuletea unachofikiri wewe kichwani mwako with no stats to back up your nonsense whatsoever!

Upunguze rarerareee mzee

Toa scholarly work watu tusome tupate elimu,kumbe blah blah za uswahilini
 
Kujipata ni perception ya mtu na si fact, Afya na mungu hawalipi ya international school
 
Utajiri ni utajiri na unahusisha matireal things, hizo zingine ulizozisema ni changamoto za kiafya bila kujali wewe ni maskini ama tajiri.
 
Furaha kwenye umaskini ni mental illness
 
What is Poverty? Is a failure or unable to meet Basic needs, eg, Food, clothes and shelter.

Kwa definition Yako ya umaskini unachanganya needs vs wants.

Utakuwa Bado uko Kwa dada ukianza maisha utajua ukweli.
Hiyo definition ya poverty ni ya dark age, leo ukishindwa kumlipia mtoto wako elimu bora ni sehemu ya umaskini.
 
Wingi wa changamoto haimanishi kidogo kionwe kikubwa
 
Propaganda za kisiasa hazina uhalisia, Tanzania watu wake ni hohehahe na haijawaitoka daraja hilo.
 
[emoji2][emoji2]
Elimu ya kukariri mbaya Sana.

Nchi yetu itachukua miaka mia mbili kuondoka kwenye nchi maskini.
Sasa hivi tupo kwenye level ya poorest countries hatujafikia kweney Umaskini wa kawaida.
Kipi hauelewi ndugu
Unabishana na mtu aliekariri notisi za form three C
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…