Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #281
Hali kama hizi sioView attachment 2922223
😃😆
Tunasubiri hali yako sasa.
Wewe kama unaamini milioni tano ni tajiri sijui utakuwa kwenye hali ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali kama hizi sioView attachment 2922223
Picha yake nimeichukua huku huku kwenye uzi kuna mtu kaipostMwanangu mpka umesaka picha ya jamaa ,kweli umaskini ni laana , ngoja niamke nikapambane asee.
Ogopa mtu anayekaa na kujitungia kitu ili ajifariji kwa kupata support ya watu ilahali hali haiko hivyo
Huwezi niambia mtu analipwa mshahara wa million 1, 2,3 nimuite maskini ilo ni tatizo kubwa sana la akili
Wewe unayelipwa million tano ukiwa kwenye pozi moja matata la kitajiri😃😆
Tunasubiri hali yako sasa.
Wewe kama unaamini milioni tano ni tajiri sijui utakuwa kwenye hali ipi
Hiyo ni ya 2023 Eti
Mimi hata uniite maskini siwezi kasirika sababu nauhakika hunijuiMaskini aliyechangamka.
Wewe unayelipwa million tano ukiwa kwenye pozi moja matata la kitajiriView attachment 2922240
Mimi hata uniite maskini siwezi kasirika sababu nauhakika hunijui
Kwa hiyo endelea kuniita maskini
Poverty line Kwa sasa ni $ 2.15 per day sio dollar Moja.Wazuñgu wanapotaja neno Maskini huku Afrika inamanisha fukara, yaani ile iliyoptiliza.
Mfano kwao maskini ni mtu anayeishi chini ya dola moja ambayo kwa sasa ni Tsh 2500
Sasa hiyo 2500 mtu akiishi chini ya hiyo huyo sio tuu ni maskini bali ni maskini aliyepitiliza(Fukara)
Umeelewa Mr. Gdp
Inabidi uwe makini sana sababu watu wanafake sana maisha huku mtandaoniUkisoma na kubeba kila kinachoandikwa na watu usiowafahamu huku mitandaoni unaweza kukata moto kwa shinikizo la damu. Mtu ataamka tu na kujiandiki, huwezi kujua aliamkaje siku hiyo, nawe unalibeba kama lilivyo.
Know your purpose on earth and enjoy life.
Wewe umeniita maskini aliyechangamkaNani kakuita maskini?
Mbona una inferiority, hoja uliyotoa kuhusu hizo pesa ndio nimeitoa maskini aliyechangamka naona unajiingiza wewe😃
Wewe umeniita maskini aliyechangamka
Hapa umeniita maskini na nina kuhakikishia siwezi kasirikaMaskini aliyechangamka.
Inabidi uwe makini sana sababu watu wanafake sana maisha huku mtandaoni
Yaani mtu anataka kukuaminisha mtu anayelipwa million 2 au 3 kwa mwezi ni maskini
Kijana kama huyu aniniita maskini 🤣🤣🤣🤣🤣Ni maskini kwani uongo
Hapa umeniita maskini na nina kuhakikishia siwezi kasirika
Mtu kama huyu kwenye picha aniite maskini alafu nikasirike kweliView attachment 2922242
Kabisa mkuu,Inabidi uwe makini sana sababu watu wanafake sana maisha huku mtandaoni
Yaani mtu anataka kukuaminisha mtu anayelipwa million 2 au 3 kwa mwezi ni maskini
Kijana kama huyu aniniita maskini 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2922243