Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Ombeni vibali rasmi vya eneo la kanis muone kama mtakataliwa. Kwanini mkajenge makanisa uswahilini? Kwani hamna akili?
 
Na nyie wenye dini muache kuleta vurugu za kila namna kwenye makazi ya watu.

Mlipata eneo linalofaa, kisha mkaomba kibali cha ujenzi wa kanisa mkakataliwa?

Muache kufanya ujinga ujinga wa kumdhalilisha Mungu kwa vurugu zenu. Mungu ni wa kumheshimu, siyo unachukua mabati chakavu unasema kanisa.
 
Zanzibar ni nchi ya waislam kama hawataki mueneze ukristo huko Zanzibar sawa tuu nchi yao maamuzi yao.
 

Wewe Bwege, mbona unasema maneno ya kibwege sana. Unafikiri kila mmoja ni bwege kama wewe. Embu acha huo ubwege
 
Ukiishi Roma,
behave Kama waroma.

Uhuru kwa mgeni ni ruksa,
Ila Uhuru wako unapohatarisha usalama wa Mila,desturi,utamaduni na ustaarabu wa wenyeji husika unakua HAUFAI.

Zanzibar haijawai kua ya makanisa.
Mtoa mada huna hoja Hapa.

Nb: Mimi Ni mkristo na mtanzania bara[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada,
Unapaswa ujue kua zanzibar Wana katiba yao.

Na katiba Yao haina mahali pamendikwa habar za makanisa, parokia, shemasi Wala askofu.

Katiba Yao iko Islamic based,
Kwaiyo unaponukuu vifungu vya katiba yao, usiifananishe na ya huku bara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante umeandika vema sana
 
Sahii kabisa,
Ndo Maana zbc Ni televisheni ya taifa.

ila kamwe hawawezi kurusha mahubiri ya kilokole Wala wakristo.

Utaona wanarusha wamawaidha ya kiislamu TU

Watanganyika tumeridhika na tunaheshimu maamuz yao.

Mtoa mada hana Nia nzur na mila na desturi za wanzibar, na yeye ndio anayeanzisha hizi chokochoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada anatafuta TU chokochoko kwny mila,desturi na tamaduni za watu,

Wee umewahi kuskia wapi mzanzibar mkristo, achilia mbali mlokole wa TAG?[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar msikiti wanachukulia kama bar kupata kibali jasho litakutoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…