Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

upuuzi wake uko wapi hapo? hakumsifu magufuli, anajuwa chanzo cha utawala huu mbovu ni magufuli, lkn bila magufuli samia milele asingeweza kuwa rais tz.

yeye anasema kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi kwa sasa ni busara wabunge watumie katiba kumuondoa madaralani rais samia, kwa kuwa hana analoweza kulifanya likasaidi watanzania kuondokana na shida zinazowakabili..
Matatizo yapo nchi hii kabla hata Baba na Mama yake hawajafikiria kumleta duniani na yatakuwepo baada ya kifo chake na changu.

Yapo mengi sana ya maana yanayofanyika huyo hawezi kuyaona ni wale wale watiifu kwa awamu ya JPM.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Wabunge unaowazungumzia ni wapi? Maana kwa sasa tuna bunge linalotetea serikali na maovu yake, kama tungekua na bunge linalowakilisha wananchi hili lingewezekana
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Bunge lipi
 
Sasa mbona wananchi wanalia? Umeme hakuna, maji ya mgao, ufisadi na mikataba mibovu ...
Hii ni kwa sababu hatufatilii namna ya mokataba na asilimia kubwa ya watanzania mala nyingi huwa wanpenda kusikia lakin si kufatilia wanachoambiwa. Na watu ama media mbalimbali
 
Mpuuzi wewe, mlaumu kwanza hayati JPM kwa kuwapambania wabunge wasio na tofauti na stempu za benki.

Aliyefeli wa kwanza ni JPM aliyependa kusikia akipigiwa makofi muda wote bila ya kupenda kukosolewa.
Bunge gani la ngap ata kabla ya Magufuli liliwah ata kiweka nia ya kumwajibisha Rais?
 
We ni mjinga sn, kinyozi ananyolea sufuria kama umeme hakuna? maji hakuna unatumia haja ndogo?
Mpuuzi wewe, maisha siku zote yanaendelea. Kuna wale wafugaji wa Arusha na Singida mwaka mzima miti imekauka na bado mifugo yao inaishi, huwa wanawanywesha mikojo yao hao Ng'ombe?.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Bahati mbaya hatuna wabunge wa wananchi, tunao wa Magufuli
 
Kumwajibisha Rais unayajua madhara yake au ni maongezi tu ya humu jukwaani?.
Nchi itakumbwa na mafuliko? Au kimbunga? Acheni dhana potofu yote ni mchakato ya kikatiba tu! Tunataka uwajibikaji sio kuleana kwa kutuletea nadhalia zakufikirika hapa!
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Kwani tz kuna wabunge? I mean wawakilishi halali wa wananchi?.......Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom