Kama mwanaume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi na yeye kumkimbia akifukuzwa kazi bila huruma

Ww mtoto wa LUCIFER inaelekea ndo zako hizo kutelekeza watoto Ndio maana imekuuma kukimbiwa ukikosa hela πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
 
Yeah ni kweli boss wake hana kosa, maana ukizingatia alishamwambia kua ana mchumba anatarajia kuoa lakini hakusikia..
Nimejaribu tu kumliwaza kwa namna tofautiπŸ˜ƒ
Mkuu umefukua kaburi kiustadi mnoπŸ˜‚
 
Kichwan hauko sawa kuna mtu kakwambia umefanana na unique flower ila unique flower ana hafadhali
 
So idadi ya watoto wote waliokataliwa duniani nzima wote sio wa kweli eh?
Ngoja yamkute binti yako mtarajiwa Ndio tutaelewana vizuri
Kuna Jamaa alikutia mimba akaikataa nini? Sasa hayo ni matatizo yenu labda aliona hujatulia na hata wewe pengine huna uhakika kama huyo jamaa mtoto ni wake kweli pengine ulitaka umpe mtoto asie wake kwasababu ana uhafadhali kiuchumi tofauti na wale wengine ulio wafolenisha.

Hasira zako usimalizie kwa wanaume wote acha kuwapa ushauri mbaya mabinti waliotulia maana tutawaoa na tutalea nao watoto pamoja katika shida na raha.
 
Mwanamke kama alikuwa kahaba au jamvi la wageni lazma mwanaume atamkataa mtoto maana lazma anaweza kuwa siyo wake, kumkimbia mwanaume akifilisika ni UJAMBAZI na USALITI, matokeo yake ni mauwaji ya kinachoitwa wivu wa mapenzi.
Pia ni ujambazi mwanaume kumkimbia mwanamke aliyemvumilia wakati wa dhiki na alipopata tu akaona mwanamke aliyemvumilia si wa hadhi yake,shame on you
 
Imekaa Kishangingi sana ipo kimatumizi na siyo kutengeneza nayo familia
Kama ww picha unavoiba picha za watu na kuziweka na kutamani kuwa wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Una safari ndefu sana
 
Mbona mm sijakuelewa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…