Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya


Wakulima wa Tanzania kwa umoja wao wameikataa serikali goigoi.

Wanasema serikali ya Samia na genge lake haina tija kwao.

Sasa hivi kila mkulima anafanya kazi kwa bidii, wengi wanatunza pesa Ili wachimbe visima, wanunue sola lakini pia wanashirikiana kwa umoja wao kupata masoko ya mazao bila kutengemea serikali.

Asilimia 100% ya wakulima wameikataa serikali ya Samia. Kifupi hawana time nayo.
 
Wanadai vifurushi ni ofa za biashara wakitaka wataviondoa
 
Mtanikumbuka
 
Anaboresha nn wakati anaharibu kila alichotengenezewa? Na jibu mnalo mana anahangaika km Anataka kutaga kila mahali hapashikiki na bado kantre haipoi haiboi mpka atasanda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongeza kukosefu wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu! Itasababisha dada zetu wengi kujiuza wakiwa vyuoni! Huyu mama kashafeli tokea anaanza alikuwa na mihemko sana kana kwamba anaenda kuongoza Saccos!
Ongeza hapo , kuwachagua akina Mulamula wengi wadogo na uwezo wa kufikiri na kuchapa kazi
 
Ongeza hapo, kwenda kwenye mikutano ya wananchi ( hadhara)bila kutoa nafadi ya kusikiliza kero moja kwa moja kutoka kwa wananchi.
 
Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia tulipo na kutembea kifua mbele, kwa namna alivyofanya kazi Anastahili kuungwa mkono na kila mtanzania
Hv wewe ni mwanaume na una mke kabisa nyumbani anajisifia nae kaolewa??? Frankly akili yako Inawezekana ina matatizo mana hata uchawa huu ni ukunguni khaa
 
Hakuna awamu iliyofanya mabaya ya kutisha kama awamu ya tano.
Amesahau ile awamu mpaka ukaibuka usemi wa vyuma vimekaza ,mi kwangu ccm ninaona kama maruhani tu ,ccm ni ile ile na mentality yao ni ile ile ,hamna nafuu
 
Kipindi hicho hakukuwa na haja ya kufanya maandamano.Awamu hiyo ilifanya mazuri yaliyowasaidia wananchi kupata mahitaji yao kiurahisi tofauti na sasa kila kitu bei juu
Ule usemi wa vyuma vimekaza ulianzia awamu ipi ?
 
Ona limsukule hili ,Yaani akili za hivi ni nyingi nchi hii ndio maana ccm inazidi kutawala aiseee ,Dah !
Kwa hiyo umasikini na poor living conditions ni sifa sasa hivi au sio ?
 
Nyinyi haiwezekani kuandamana bila kikomo, sababu ni kwamba - mlo wa siku lazima utafutwe siku hiyo hiyo (daiwaka)! Ukienda maandamanoni, ujuwe siku hiyo huli.
Maana wengi wetu ni vibarua. Wachache wenye kazi za kudumu wanamsaporti huyo mtawala!
Taifa hili linasikitisha sana , taifa la vibarua na machinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…