Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Unaaminije anapoteza Muda!?

Ki ccm ccm na kibongo bongo huyu mama Anaweza peta akawa tena !

Sema kama wale jamaa 0101 ndio pekee wanaweza mwambia Bas kaa pembeni awamu yenu na hayati imeisha Acha next stage ifanikishwe na Mwingine co z tunamwelekeo mpya wa Mabadiliko!!

Ni Hao jamaa pekee tu!!

Mi Nadhani waliomharibu kichwa na mama kuungua kwenye vita na kutangaza mapema ni wahuni FULANI HIVI wanaotaka achoke mapema kisiasa
kwa kuhujumiwa Ili akose mvuto kabisa kadri muda unavoenda na kweli wamefanikiwa Sana!

Hadi Sasa anajitutumua lakini haonekani kama anafanya kitu cha maana!shaka anajitahidi lakini sioni anaemwelewa KABISA!!

Hasa pale alipowaondoa mawaziri wa mwendazake!WATU walitaka moto uke iendelee kuwaka ile wa tumbua mafisadi,leo wamepeleka MAHAKAMANI mafisadi walitaka hayo!sasa hawaoni!

Wanasukuma tu mara kodi hailipwi mara CAG karipoti UPIGAJI ule mara Huu!Halafu HAMNA kinachofanyika !!

Kazi ipo ngoja Tuone!
Mkuu Amin nakwambia Habari ya CCM ilishakwisha, ila si ni watu wakulazimisha A kuwa B, this time watashangaa Sana wakilazimisha, dhoruba itakua kali Sana, nyoyo zao zitakua Kama udongo wa mfinyazi plus laana ya Ugonjwa wa ukoma kwa KILA mshiriki, naongea hili kwa ujasiri mkubwa tu Mkuu,twende tu mda ni mwalimu
 
Mkuu Amin nakwambia Habari ya CCM ilishakwisha, ila si ni watu wakulazimisha A kuwa B, this time watashangaa Sana wakilazimisha, dhoruba itakua kali Sana, nyoyo zao zitakua Kama udongo wa mfinyazi plus laana ya Ugonjwa wa ukoma kwa KILA mshiriki, naongea hili kwa ujasiri mkubwa tu Mkuu,twende tu mda ni mwalimu
Umechungulia!?

Kuna unabii Mwingi Sana Safari HII yaani kuanzia kanisani KWA manabii hadi KWA waganga na wazee wa jadi !!

Juzi nilienda KWA mzee FULANI wa kisukuma ni rafiki yangu Sana!Huwa naenda kupiga nae story za KILA mara mara yeye ni tabibu wa jadi na mpiga ramli!

Akaniambia "kijana mbona naota moto mkubwa unalipuka lipuka Halafu watu wanakimbia Sana,tena hii ndoto inajirudia mara nyingi HIVI Huu moto ni nini!?

Nikamwambia mabomu hayo mzee Wangu!

Anaongeza pia "naona watu wanachoma wenzao mishale yaani KILA mtu kabeba upinde na mishale"nikamwambia vita vya wananchi wao KWA wao"yaani kuna uwezekano wa wizi sana kutokea na watu kuuana!!

Nilimshangaa sana,kuna kipindi alimwambia kuwa anaota Mabaka Mabaka wakitokea ukanda wa ziwa wakiwakataa Wenye mamlaka nikamwambia mzee kuwa makini usije Leta taharuki!!

Na Wewe unayaona hayo!!?

KILA mtu ni nabii siku HIZI!!
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Mama anachapa kazi. Kazi iendelee. Jiuzulu wewe kwanza ambaye uongozi wa familia yako unalegalega.
 
JPM alifanya vizuri sana kwa haya yafuatayo:
1. Social welfare
2. Nation Security
3. National and individual income for lower and middle-class citizens was at least promising and sufficing the basic needs
4. He walked the talk on nonsense
5. He defended the middle and lower-class citizens at all costs
6. He was passionately listening to the middle and lower-class citizens' constructive ideas and worked on it
7. He was borrowing financial resources and investing in a number of projects whereas value and quality were still an ongoing visible benefit for the country to prevail for the next couple of decades memoir
8. Inflation of all sorts was physically monitored and controlled
9. He vividly fought the corrupt practices with action
10. He identified the ghost and fake certificate holders employed in the civil servant and took severe action
11. He fortified the tax collection
12. Uanzishwaji wa miundo mbinu yenye manufaa kwa taifa na wananchi moja kwa moja kama bwawa la Nyerere,, ununuzi wa rada kadhaa hivyo kuepusha kuendelea kuweka rehani anga la nchi kuongoza na nchi jirani, barabara, ujenzi meli mpya kwenye maziwa makubwa yote, sheria ya madini, kudhibiti utoroshaji wa Tanzanite na kuanzisha soko nchini baada ya madini hayo kuongezwa thamani, umeme vijijini bei 27,000 huku serikali ikitoa ruzuku kwa matazamio ya kurejesha gharama pindi mirzdi mikubwa ya nishati ikikamilika, ujenzi SGR, ununuzi ndege ATCL nk

JPM hakufanya vizuri kwa haya yafuatayo
1. Kutowapa nafasi Wasaliti wa taifa
2. Kutovumilia Wanasiasa wanafiki
3. Kutotii Demokrasia iliyoanzishwa na wazungu ambayo haichuji mabaya na mazuri kwa kulingana mazingira na tamaduni za taifa husika ambayo hufanya taifa lisitawalike
4. Kutotishwa na mataifa makubwa kupitia vibaraka (mercenaries/traitors) hivyo kusemekana mahusiano ya nje kuparanganyika ijapokuwa haikuwa kweli
5. Kuendeleza mchakato wa katiba mpya uliovunjika mwaka 2014 katika hatua ya katiba pendekezwa
6. Kutocheka na waharifu, wezi, wabadhirifu, mafisadi na waonezi wa wananchi
7. Kutoyumbishwa na wastaafu au wanachama wenzie ndani ya CCM wenye maslahi binafsi kwa ajili ya madaraka na kwenye rasilimali za nchi
Ungeandika kiswahili tu hiyo lugha hujaimudu vizuri maana hata sielewi umeandika nini. Andika upya kwa kiswahili.
 
Umechungulia!?

Kuna unabii Mwingi Sana Safari HII yaani kuanzia kanisani KWA manabii hadi KWA wahanga na wazee wa jadi !!

Juzi nilienda KWA mzee FULANI wa kisukuma ni rafiki yangu Sana!Huwa naenda kupiga nae story za KILA mara mara yeye ni tabibu wa jadi na mpiga ramli!

Akaniambia "kijana mbona naota moto mkubwa unalipuka lipuka Halafu watu wanakimbia Sana,tena hii ndoto inajirudia mara nyingi HIVI Huu moto ni nini!?

Nikamwambia mabomu hayo mzee Wangu!

Anaongeza pia "naona watu wanachoma wenzao mishale yaani KILA mtu kabeba upinde na mishale"nikamwambia vita vya wananchi wao KWA wao"yaani kuna uwezekano wa wizi sana kutokea na watu kuuana!!

Nilimshangaa sana,kuna kipindi alimwambia kuwa anaota Mabaka Mabaka wakitokea ukanda wa ziwa wakiwakataa Wenye mamlaka nikamwambia mzee kuwa makini usije Leta taharuki!!

Na Wewe unayaona hayo!!?

KILA mtu ni nabii siku HIZI!!
Uyo na maono yake nami na maono yangu, chamsingi Mungu atupe afya tu,
Umechungulia!?

Kuna unabii Mwingi Sana Safari HII yaani kuanzia kanisani KWA manabii hadi KWA wahanga na wazee wa jadi !!

Juzi nilienda KWA mzee FULANI wa kisukuma ni rafiki yangu Sana!Huwa naenda kupiga nae story za KILA mara mara yeye ni tabibu wa jadi na mpiga ramli!

Akaniambia "kijana mbona naota moto mkubwa unalipuka lipuka Halafu watu wanakimbia Sana,tena hii ndoto inajirudia mara nyingi HIVI Huu moto ni nini!?

Nikamwambia mabomu hayo mzee Wangu!

Anaongeza pia "naona watu wanachoma wenzao mishale yaani KILA mtu kabeba upinde na mishale"nikamwambia vita vya wananchi wao KWA wao"yaani kuna uwezekano wa wizi sana kutokea na watu kuuana!!

Nilimshangaa sana,kuna kipindi alimwambia kuwa anaota Mabaka Mabaka wakitokea ukanda wa ziwa wakiwakataa Wenye mamlaka nikamwambia mzee kuwa makini usije Leta taharuki!!

Na Wewe unayaona hayo!!?

KILA mtu ni nabii siku HIZI!!
 
Nimeziona land cruiser LC 300 za shirika la reli na moja ya jeshi la mali asili/JU mpaka roho imeniuma,hawa viongozi wa shirka la reli na wizara ya fedha wanafuatilia matumizi ya nchi au wameacha wakuu wa idara wajiamulie tu.
 
JPM alifanya vizuri sana kwa haya yafuatayo:
1. Social welfare
2. Nation Security
3. National and individual income for lower and middle-class citizens was at least promising and sufficing the basic needs
4. He walked the talk on nonsense
5. He defended the middle and lower-class citizens at all costs
6. He was passionately listening to the middle and lower-class citizens' constructive ideas and worked on it
7. He was borrowing financial resources and investing in a number of projects whereas value and quality were still an ongoing visible benefit for the country to prevail for the next couple of decades memoir
8. Inflation of all sorts was physically monitored and controlled
9. He vividly fought the corrupt practices with action
10. He identified the ghost and fake certificate holders employed in the civil servant and took severe action
11. He fortified the tax collection
12. Uanzishwaji wa miundo mbinu yenye manufaa kwa taifa na wananchi moja kwa moja kama bwawa la Nyerere,, ununuzi wa rada kadhaa hivyo kuepusha kuendelea kuweka rehani anga la nchi kuongoza na nchi jirani, barabara, ujenzi meli mpya kwenye maziwa makubwa yote, sheria ya madini, kudhibiti utoroshaji wa Tanzanite na kuanzisha soko nchini baada ya madini hayo kuongezwa thamani, umeme vijijini bei 27,000 huku serikali ikitoa ruzuku kwa matazamio ya kurejesha gharama pindi mirzdi mikubwa ya nishati ikikamilika, ujenzi SGR, ununuzi ndege ATCL nk

JPM hakufanya vizuri kwa haya yafuatayo
1. Kutowapa nafasi Wasaliti wa taifa
2. Kutovumilia Wanasiasa wanafiki
3. Kutotii Demokrasia iliyoanzishwa na wazungu ambayo haichuji mabaya na mazuri kwa kulingana mazingira na tamaduni za taifa husika ambayo hufanya taifa lisitawalike
4. Kutotishwa na mataifa makubwa kupitia vibaraka (mercenaries/traitors) hivyo kusemekana mahusiano ya nje kuparanganyika ijapokuwa haikuwa kweli
5. Kuendeleza mchakato wa katiba mpya uliovunjika mwaka 2014 katika hatua ya katiba pendekezwa
6. Kutocheka na waharifu, wezi, wabadhirifu, mafisadi na waonezi wa wananchi
7. Kutoyumbishwa na wastaafu au wanachama wenzie ndani ya CCM wenye maslahi binafsi kwa ajili ya madaraka na kwenye rasilimali za nchi
Tatizo kuu "Alijenga nchi badala ya Taifa" de'levis!

Jamaa alijificha KWA kabila kubwa Ili kupitisha ajenda zake!hasa Asili take ije kuwa dominant Baadae angelisaliti hata hilo kabila kubwa KWA kuwapa Asili take kipaumbele zaidi!

Inasemekana Asili yake ni mpakani na kigoma!ndio Hiyo Inge take over Halafu kabila kubwa wangetaharuki!!

Mzee chenge alishtuka NASIKIA alisikika "hakuna msukuma wa HIVI" ikala kwake na ubunge ikawa tamati!!

Cha msingi katiba mpya ipatikane Ili ajaye asiharibu!!
Hata Asili yake ikiwa ya ethiopia hatoharibu coz DOLA itatumia katiba kumuingilia na kumuondoa KWA maslahi mapana ya Taifa!
 
JPM alifanya vizuri sana kwa haya yafuatayo:
1. Social welfare
2. Nation Security
3. National and individual income for lower and middle-class citizens was at least promising and sufficing the basic needs
4. He walked the talk on nonsense
5. He defended the middle and lower-class citizens at all costs
6. He was passionately listening to the middle and lower-class citizens' constructive ideas and worked on it
7. He was borrowing financial resources and investing in a number of projects whereas value and quality were still an ongoing visible benefit for the country to prevail for the next couple of decades memoir
8. Inflation of all sorts was physically monitored and controlled
9. He vividly fought the corrupt practices with action
10. He identified the ghost and fake certificate holders employed in the civil servant and took severe action
11. He fortified the tax collection
12. Uanzishwaji wa miundo mbinu yenye manufaa kwa taifa na wananchi moja kwa moja kama bwawa la Nyerere,, ununuzi wa rada kadhaa hivyo kuepusha kuendelea kuweka rehani anga la nchi kuongoza na nchi jirani, barabara, ujenzi meli mpya kwenye maziwa makubwa yote, sheria ya madini, kudhibiti utoroshaji wa Tanzanite na kuanzisha soko nchini baada ya madini hayo kuongezwa thamani, umeme vijijini bei 27,000 huku serikali ikitoa ruzuku kwa matazamio ya kurejesha gharama pindi mirzdi mikubwa ya nishati ikikamilika, ujenzi SGR, ununuzi ndege ATCL nk

JPM hakufanya vizuri kwa haya yafuatayo
1. Kutowapa nafasi Wasaliti wa taifa
2. Kutovumilia Wanasiasa wanafiki
3. Kutotii Demokrasia iliyoanzishwa na wazungu ambayo haichuji mabaya na mazuri kwa kulingana mazingira na tamaduni za taifa husika ambayo hufanya taifa lisitawalike
4. Kutotishwa na mataifa makubwa kupitia vibaraka (mercenaries/traitors) hivyo kusemekana mahusiano ya nje kuparanganyika ijapokuwa haikuwa kweli
5. Kuendeleza mchakato wa katiba mpya uliovunjika mwaka 2014 katika hatua ya katiba pendekezwa
6. Kutocheka na waharifu, wezi, wabadhirifu, mafisadi na waonezi wa wananchi
7. Kutoyumbishwa na wastaafu au wanachama wenzie ndani ya CCM wenye maslahi binafsi kwa ajili ya madaraka na kwenye rasilimali za nchi
sukuma gang kumbe bado mpo
 
Dah wewe jamaa nakumbuka miaka ya nyuma ulikuwa kichwa ngumu unatetea serikali hata pale wananchi wanapoumia.

Nini kimebadilika sasa?

Nikukumbushe; siku zote chagua upande wa wananchi, hata kama ni masikini na wanaonekana wajinga. Wananchi ndiyo sauti ya Mungu.
suuma gang huyo
 
Back
Top Bottom