Kama ulianza kutumia Internet mapema miaka ya 1990 na 2000 njoo hapa tukumbushane Internet Cafe tulizoenda, Vimbwanga, Kero na Kumbukumbu

Phonerotica ndio ilikuwa mwalimu wangu wa ngono, piga sana nyeto kupitia humo. Ilinisaidia sana kujicontrol na madem wa enzi hizo.
 
Pale kinondoni manyanya, nililipia lisaa limoja nikashangaa mbona natumia mda mwingi simalizi muda , nimechoka zangu nataka nisepe yule muhudumu akaniambia, muda uliisha ila alishindwa kunizimia kwasababu nilikua bizee sana na monitor.

Ingine ilikua Same mjini, nililipia dada akaja kunisetia nikaona password anayotumia nikajiongezea dkk kadhaa!
 
wakati leo hii vijana wanapata mademu instagram, twitter, tiktok, etc

Enzi hizo bikra zilikuwa marafiki.com na mig 33.

Mara ya mwisho kupata demu marafiki.com ni mwaka 2009. Sikumbuki kuiyumia tena. Ila mig33 ilikuwa habari nyingine, nadhani michezo ya leo ya shoot the shot huko Clubhouse ndio ilikuwa michezo ya enzi hizo mig33, kwenye chatrooms mnakutana kutoka nchi mbali mbali based on your interest, kuchat ujinga, sex chats, na kuamia private chat.

Popote ulipo Vanessa kutoka Malaysia, bado nakukumbuka.
 
Ila kule ukipata mwenzako mara nyingi alikuwa ni msomi na kwao pesa zipo zipo.

Kama hujui misamiati ya kawaida kama asl ilikuwa ngumu kutoboa
 
Ila kule ukipata mwenzako mara nyingi alikuwa ni msomi na kwao pesa zipo zipo.

Kama hujui misamiati ya kawaida kama asl ilikuwa ngumu kutoboa
Mambo ya ASL (Age, Sex, Location) ndio salamu enzi hizo. Sikuwa najitambulisha mimi, kazi yangu ilikuwa ni poaching for sex chat. Wahindi, Arabs, etc ndio walikuwa wengi sana. Wazungu wachache sana.

Bila kusahau mtandao wa students of the world, huko napo nilipata penpals toka Europa.
 
Nilianza 2001

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
RAM 512 MB sahivi simu ya RAM 2 GB vijana hawanunui.
 
Enzi hizo darhitwire na marafiki zilikuwa zinavuma sana. Tulishafanya party ya darhotwire nadhani ni mwaka 2005 msasani beach club. Namkumbuka dada maya sijui yuko wapi saahi. Kongoli kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…