Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Hivi unatumia google translator ama? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yeah huo ndio ukweli, imagine huko makazini wanashinda wote kuanzia asubuhi Hadi jioni kwa mwaka mzima kwanini wasifanye hivyo? Mtu anaka nurse kwanini vijana wasichape?
 
Hakuwahi kuwa wake huyo..
Na inaweza ikawa ndo wale sogea tuishi, most likely hata mahari alikuwa hajatoa.

Mwanamke anaye cheat na anafanya juhudi ujue anakucheat sio wako.

Alifanya maamuzi murua kabisa kujiondokea.
 
Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Kucheat hakuna formula ni tabia ya mtu binafsi unaweza kumgonga vizuri na still hakakucheat
 
Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Sawa sawa, usicheat tu
 
Wafanyakaz wanakulwa asubuhi anvyoenda kazin au mchana Wakat wa lunch au kwenye kusafir kikaz.
 
Muwe munawala wake zenu vizuri .kiwasoma na kujua pakuwakalisha chali.. hata aondoke mwaka mzima hautachapiwa. Kuna video calls fanyeni yenu huko muweke muwe marafiki wa michezo bila kuwa kama mapolisi kwa wake zenu.
Niliwahi kula mke wa mtu fulani,, baadae nikamuuliza kwann una cheat,?

Akanambiya hajuwi kwann ana mcheat mumewe,,

Wanawake huwa wana cheat bila sababu ya msingi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…