Kama umeoa Mfanyakazi hizi ni mbinu wanazotumia wakienda ku-cheat

Yaani jitu limalaya halafu unaogopa kuwaambia kwao? Sasa yeye utamuumiza vipi bila kuyamwaga kwao wajue wana litoto malaya?
Ukiwaambia kwao kuwa binti yao ni malaya wewe unaona utakua umekoa nini, mpe vitasa aende kwao watayatatua wenyewe huko
 
Wanaume nao wana matatizo sana. Ukiwa naye pekeeake anakuona una mikosi hutongozwi. Ukitongozwa anakuona malaya.
Sasa sijui wanatakaga nini?
Poleni sana mahangaiko tu ya walimwengu hayana formula
 
""BINADAMU WANA VISA KAMA BUNDI UNAWEZA KUOGELEA ALAFU UKA AMBIWA UNA TIMUA VUMBI""
 
Ukiwaambia kwao kuwa binti yao ni malaya wewe unaona utakua umekoa nini, mpe vitasa aende kwao watayatatua wenyewe huko
Vitasa unaweza ukauwa mzee. Lakini maneno yakifika kwao ataumia balaa. Wanawake wanaumia sana na maneno
 
tofautisha kuoa askari na kuoa mfanyakazi. very different.
 
Kama ww unachepuka amini amini na kwambia na mkeo anachepuka!
Na lazima kuna siku utajua hata kama ndo siku ya mwisho unapelekwa kaburini.
Kifupi malipo ni hapa hapa!!!.
Badilika ili abadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…