Niwe naye wa nini?Bado upo naye ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwe naye wa nini?Bado upo naye ?
Si watu wa hali moja mnasogeza gurudumuNiwe naye wa nini?
Ah wee unadhani mtu akule ngoma utamuangalia the same way tena....unaweza muua kabisa.Si watu wa hali moja mnasogeza gurudumu
Au kashaolewa
Hili la ngozi huwa nishafanya utafiti kwa wagonjwa kadhaa kuna hali flani ngozi inakuwa nikiona tu najua hapa umeme umetaradadi. Unakuta binti mdogo ana ngozi kama ya bibi 😂Ukimwi hauonekani kwa macho. Japo ukiwa makini kutazama mwenye ukimwi utamjua tu
Ngozi huwa hufubaa haina nuru, na midomo huwa na rangi nyekundu na mpauko fulani.
Kwa mwili wengi siku hizi hula dawa hawakondi na wanajitahidi kula vizuri.
Mshukuru Mungu kama ukoo wenu hawajafa kwa ukimwi
Hili gonjwa lipo, watu wana siri zao na waambukiza sana.
Ukimwi unaharibu saikolojia hasa kwa wale ambao tulishawahi shuhudia zama za Umeme. Yani ile mambo isikie tu kwa mtu.Mi nina swali, ni kwa nini mtu anaanza kuugua pale tu anapopewa majibu kuwa ana UKIMWI?
Ni kwa nini mtu asipopima nadunda tu?
Daah kama una hasira za karibu unaweza muua kweliAh wee unadhani mtu akule ngoma utamuangalia the same way tena....unaweza muua kabisa.
Anyways pia mwenyewe sina mpango wakuoa.
Yeye hajaolewa mpaka sasa
Ulijuaje kiwa tigo ndio iliniponza?Daah kama una hasira za karibu unaweza muua kweli
Ajawahi kukuomba msamaha ? kukushawishi mujayenge ?
Hapo najua mwanangu tgo ndio ilikuponza[emoji16]
Ungepiga mbele usingepata
pia tunaogopa kuambiwa ,baby i have missed my periodKweli kabisa mwanaume ukishafika miaka 40 achana kabisa na mambo ya kula mbususu na condom. Maana hata ukiupata bado unaweza kufika miaka 60 bila wasiwasi.
Wee kwani mwanamke akikwambia hivyo unogopa nini kama hukumwambia kuwa unataka kuzaa nae?pia tunaogopa kuambiwa ,baby i have missed my period
tuendelee kutumia kinga,tusidanganyane
Dah, hii inasikitisha sana. Huu umeme tuombe upitie mbali japo hatukomi kula nyapu!!Hili la ngozi huwa nishafanya utafiti kwa wagonjwa kadhaa kuna hali flani ngozi inakuwa nikiona tu najua hapa umeme umetaradadi. Unakuta binti mdogo ana ngozi kama ya bibi 😂
Mara nyingi hio ndio huwaambukiza wengi kwa sababu kule kunakuwa na mchubukoUlijuaje kiwa tigo ndio iliniponza?
Ukimwi hauonekani kwa macho. Japo ukiwa makini kutazama mwenye ukimwi utamjua tu
Ngozi huwa hufubaa haina nuru, na midomo huwa na rangi nyekundu na mpauko fulani.
Kwa mwili wengi siku hizi hula dawa hawakondi na wanajitahidi kula vizuri.
Mshukuru Mungu kama ukoo wenu hawajafa kwa ukimwi
Hili gonjwa lipo, watu wana siri zao na waambukiza sana.
Vibibi vya bukoba noma kikikuangalia tu kinajua kuwa umeungua,wana uzoefu , waliuguza sana wagonjwa wangoma miaka hiyo.Hili la ngozi huwa nishafanya utafiti kwa wagonjwa kadhaa kuna hali flani ngozi inakuwa nikiona tu najua hapa umeme umetaradadi. Unakuta binti mdogo ana ngozi kama ya bibi 😂
Naamini humu wengi wetu tumeshagonga sana wenye ngoma na hatujaambukizwa Mungu yupoMara nyingi hio ndio huwaambukiza wengi kwa sababu kule kunakuwa na mchubuko
Lakini kwa njia ya kawaida mwanaume ni ngumu kupata maambukizi hata kama uki sex na muathirika mwanaume akipata kwa njia ya kawaida ndio wale wakamiaji mpka michubuano wapenda sifa binti kakauka bado unaendelea
Ila kwa case ya wanawake ni tofauti wao wapo vunerable sana wao ukimwi kupata kwao ni rahisi kama kugusa tu
Hahahahah hatari sana mzee. Ila huu ugonjwa hakuna familia haujagusa 😂😂😂 yani ni kilanga mzee kama haujaingia kwenu kwa bamdogo uko au kwa mashangazi umetia timu.Vibibi vya bukoba noma kikikuangalia tu kinajua kuwa umeungua,wana uzoefu , waliuguza sana wagonjwa wangoma miaka hiyo.
Mgonjwa anajulikana tu as long as dawa zishamkolea. Ukimuona unajua tu jinsi ambavyo amenyauka.Mgonjwa ambae unaweza kumgundua kwa kumtazama ni mwenye stage 4 ama stage 3. Ila akiwa na ukimwi stage 1 ama 2 huwezi kumjua. Na hata yeye mwenyewe kama hajapima hawezi kujijua kama ana moto
Hahahahah kwahio unataka kumaanisha muhuni alichakata washeli😂😂😂Daah kama una hasira za karibu unaweza muua kweli
Ajawahi kukuomba msamaha ? kukushawishi mujayenge ?
Hapo najua mwanangu tgo ndio ilikuponza[emoji16]
Ungepiga mbele usingepata
Mi ndio maana nimeamua nitulie zangu tu. Huu uchakataji wa mbunye kizembe unaweza kukulostishaDah, hii inasikitisha sana. Huu umeme tuombe upitie mbali japo hatukomi kula nyapu!!
Kila familia ina mtu kaungua awe mzima au mfu,ila bukoba na makete umefyeka sana mpaka wameuzoea masela wanakumbushana siku yakuchukua dawaHahahahah hatari sana mzee. Ila huu ugonjwa hakuna familia haujagusa 😂😂😂 yani ni kilanga mzee kama haujaingia kwenu kwa bamdogo uko au kwa mashangazi umetia timu.
Hahahahahah naskia makete kule ngoma ni kama mafua tu 😂😂😂 na uhayani nako si wanamaindisha kuchakatana hovyo kufyekwa ni mustKila familia ina mtu kaungua awe mzima au mfu,ila bukoba na makete umefyeka sana mpaka wameuzoea masela wanakumbushana siku yakuchukua dawa