Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Kama una shida ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui

Ukishaona kanisa wanabatiza watoto ujue roho ya mpinga kristo imewafunika. Ambapo ni sawa na kanisa ambalo unalipa pesa kupata upako iwe mafuta, maji, keki hata kumuona mtumishi mkuu hapo ni toho ya ibilisi inaendesha huduma.hiyo

Hakuna Mungu hapo ndo maana wapo bize na miradi ya pesa.
Naona Wasabato mmefika. 😁😁😁Yaani mnaupeo mdogo sana nyie!
 
Mimi siyo msabato. Sifuati mapokeo bali mimi ni Mwanafunzi wa Yesu
Sasa petty issue kama kubatizwa mtoto au mtu mzima Ndio zinakusumbua...suala ni kuwa na Imani Kwa kristo..hao ndugu zenu Wasabato wanashika Sabato na kutokunywa pombe Halafu wananyanduana wao Kwa wao kwenye makambi!
 
Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.

Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.

Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.

Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.

Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu

Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Allah auongoze moyo wako uyaone mengi zaidi mazuri ya uislamu.
 
Ndo maana europe makanisa hayana watu sitakaa nimsahau yule mlinzi hivi unamfokeaje mtu mwenye shida
Nilijiuliza utu uko wapi

Tokea siku hiyo nikasema sitakaa nikanyage kanisani mpaka sahivi sina dini tena
Karibu kwenye dini inayoendana na umbile lako na mfumo wako wa maisha mkuu, tangu kuzaliwa mpaka kufa na baada ya hapo.
 
Sasa petty issue kama kubatizwa mtoto au mtu mzima Ndio zinakusumbua...suala ni kuwa na Imani Kwa kristo..hao ndugu zenu Wasabato wanashika Sabato na kutokunywa pombe Halafu wananyanduana wao Kwa wao kwenye makambi!
You said petty issue lakini nakuwekea andiko hapa uone how petty it is....

Ufunuo wa Yohana 22:18 - 19

Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.

Halafu soma hili...

Marko 16:16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Makanisa ya katoliki na kkkt ni mfano mzuri sana wa mfumo wa upepari hakuna cha bure menyeka kwanza ndio upate malipo yako..
 
Makanisa mengi ya wakristo kama huna hela na hawakujui utaonekana takataka tu
Nenda Bunju kanisa la Roma kila wiki wanatoa misaada kwa wasiojiweza Michele, mafuta n.k
Tena makanisa mengi tu yana huu utaratibu
 
Hapo mwenye shida ni mlinzi sio kanisa la KKKT. Siku nyingine unajaribu sabato pale pembeni japo wasabato wengi hawanaga hela, wanaweza kukugonga neno la faraja na kakitabu ka kujifariji (jipatie amani moyoni).
 
Ila twende mbele turudi nyuma, ndugu zetu wafilisti wana utu sana, unaweza kupata hifadhi ya kulala msikitini kuliko kanisani na huo ndo ukweli

Nimeshuhudia misikiti mingi watu wanalala asubuhi wanaenda kujitafuta ila sio makanisani
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
mimi sio KKKT, mimi ni mlokole. ila ukweli ni kwamba, kati ya watu wanaoweza kukusaidia kwa haraka kati ya madhehebu yote haya, ni KKKT. unaweza kufika kwa mchungaji wao, akakulaza, akakulisha, akakupa maji ya kuoga, akakuruhusu uondoke kesho yake bila hata kumpa kitu, na ukiondoka mgeni mwingine akaja akasaidiwa. speaking from experience. siongei kinafiki.
 
Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia


Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.

Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.

Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.

Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.

Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.

Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Siku nyingine anza kwa kutaja namba ya bahasha yako ya kanisa.
 
Yani kuna dini inajiona iko sahihi sana kwa kudharau dini zingine huku ikijisifu ni dini ya haki kuliko zingine zote.

Kwa akili za kuzaliwa mwenye hekima anapaswa kutoka nnje ya boksi ajiulize ni kweli dini zingine kama Hinduism, Rastafarians, Paganism, Buddhism na wengine wote wasioishi katika imani za kidini wataadhibiwa na Mungu kwa kutoabudu hiyo dini au kutotenda mema kwa kuuishi upendo kwa Binadamu wenzao?

Mara dini hii ina Wanawake wenye maadili bora sana kwenye ndoa, mara maandiko yake ni sahihi hayana kasoro zozote kuliko maandiko ya dini zingine, mara oooh waumini wake ni watakatifu sana kuliko waumini wa dini zingine, kwani ni malaika hadi wasiwe na kasoro?

Kwa upeo wa kawaida utaona kabisa hakuna kitu kama hicho la sivyo huyo Mungu atakuwa ni katili kuliko hata Shetani.

Wakoloni walituweza sana kutupumbaza na hizi dini za kuletewa, itatugharimu hata miaka 1000 Waafrika kutoka kwenye huu utumwa wa kidini.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wakoloni walitupa kila kitu bure makanisani, kuanzia tiba, elimu, mitumba na vyakula.
 
Back
Top Bottom