Kama upo mtaani muda mrefu bila kazi, tatizo ni wewe!

Pole mzee... unataka kulala ndani ukisubiri kudra au riziki?
Nyie ndio wazee wa kumlaumu Mungu na kumuona mbaguzi kumbe ni uzembe wako tu.

Ushaambiwa dunia ya kibepari endelea kutia huruma kama hujaona kila mtu mbaya machoni kwako
 
Hongera sana kwa sumu unayomwagia hawa wavivu
 
Jamaa anashindwa kuelewa kila mtu ana muda wake wa kutoboa hapa duniani! Kila mtu mungu kampangia wakati wake wa kupeta kama haujafika huo wakati utapiga sarakasi zote ila hutafua dafu!
Achana na haya mawazo bana!!🙄🙄 Kwa hiyo wasiofanikiwa kabisa mungu kawabagua? Wasiomwamini mungu nao mafanikio wantoa wap?

Nakuheshimu sana ila haya mawazo yako sikubaliani nayo kabisa. Huku ni kuchelewesha watu. Ww ingia vitani swala la kupata na kukosa ni la kimkakati tu na mapungufu ya binadamu ila Mungu hausiki hat tone msimpe lawama bure
 
Pole mzee... unataka kulala ndani ukisubiri kudra au riziki?
Nyie ndio wazee wa kumlaumu Mungu na kumuona mbaguzi kumbe ni uzembe wako tu.

Ushaambiwa dunia ya kibepari endelea kutia huruma kama hujaona kila mtu mbaya machoni kwako
Unaandika kama unanifahamu vile[emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nature ya maisha.

Mtu akitoboa, huwaona ambao hawajatoboa ni uzembe wao.

Kikazi cha ubank teller apo tpb bank ushaanza kukashifu watu.

Aya bhana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] take hm 500k
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] anajificha kwenye msingi sio
 
Mr game changer , charismatic fella .. Kumbe unampata huyu jamaa anauejimwambafai kinyabe hapa ..anatuletea upopoma wake [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Trueth has been said , moyo mweupe kiroho safi we need to set up mind and change accordingly.

Mwamba umeandika frsh na kwakweli haina haja ya kulaumu lets push till the last drop.

Big up kaka, no matter what ukweli ni mchungu mzee baba

Bless up !
 
Endelea kutegemea kudra katika ulimwengu huu wa kibepari....siku unakuja kujua kuwa sheria zipo ili zivunjwe, umezeeka kwa kulaumu wengine baadala ujilaumu mwenyewe
 
Acha niwapelekee moto wazembe wazembe wanadeka kama yatima.

Dunia hii ukileta unyonge unanyooshwa tu hahahahaha.
I like ur spirit, kwel hata Mungu mwenyewe hapend vinyonge,maisha ni kupambana ya hela yote,endelea kuwakamua majipu bila ngaz watafta excuse😂,no matter what vijana tusimame imara.
 
Hapa Kuna harufu ya Tunguli. Ngoja na Mimi nitafuta maboxi ya Tunguli na kila kitu naweza saidika
 
[emoji851][emoji851][emoji851] mpaka ndumba, njia chafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…