Kama wewe ni mchawi usije Kigoma kipindi hiki, Kuna operesheni kubwa sana inaendelea

Masikini Zitto, kwa hiyo mnamshauri vipi huyu jamaa, asije huko kwa sasa kuwa atakamatwa au?
 
Tangu lemutuz afariki umepoa sana mkuu
 
Uchawi haumalizwi kwa uchawi, huko ni kuutuliza/kuupooza tu kwa muda Ila baadae hali hujirudia au kuwa mbaya zaidi.

Kiboko ya wachawi ni kumkiri na kumpokea Yesu kristo.
Kweli, huwezi kuondoa giza kwa kutumia gizΓ  yaani uchawi kwa uchawi.
Ukitaka kuondoa gizΓ  lete nuru (Yesu), giza (uchawi) lazima liondoke.
 
Mze wa singeli (MSAGA SUMU) una utani na Bi Sndra (mama yake Diamond)? Haya, akikamatwa?
 
Embu muache kwanza Leejay49
Kwanza hajakutukana.

Kasema it's non of her business, hajakuweka wewe hapo, kwenye ile sentensi haupo, sasa kwanini unataka kuleta sababu zisizokuwa na kichwa wala miguu?
mkuu huyu Binti kanitusi.kikwetu hio sentensi ni tusi languoni.

nataka aje pm tuyamalize kwaamani sawa mkuuπŸ˜•

halafu usijifanye Kuwa wewe niwakili wake tutakosana mkuu☹️
leejay njoo pm mwaya uniombe msamaha.
 
Sumbawanga imekuwa Leo Nigeria?[emoji55]‍[emoji2418]
 
"Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.''

Mkuu Msagasumu,vipi Mshana hakuona hii tenda?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna mganga aliyetoka Kongo wala Nigeria. Hao matapeli wametoka Sumbawanga, Mbozi na Njombe. Nashangaa vyombo vya usalama vinaendekeza huo ushenzi wa Lambalamba na Kamchape.
 
Hakuna mganga aliyetoka Kongo wala Nigeria. Hao matapeli wametoka Sumbawanga, Mbozi na Njombe. Nashangaa vyombo vya usalama vinaendekeza huo ushenzi wa Lambalamba na Kamchape.
Mkuu mganga hawezi kutoka Mbozi aende Kigoma kufanya manjonjo
 
Sa wote hao si wafanyakazi Wa shetani shetani atawateteaje Sasa apo na kwanini wasingemwalika mwamposa tuone ingekuaje ?na wale wazee Wa fursa wakae mguu sawa kwenda kufungua makanisa huko baada ya Hali kua shwari Ili watu wasirudi tena kwenye ulozi
 
Wakati India juzi wamefika mwezini, sisi tupo bize na mambo ya uchawi na uganga! Katika ubora wetu
Kila mtu yupo bize na mambo yake na taaluma yake ndio maana hata huko India pamoja na kufika huko mwezini ila wengine bado wako bize kuimba masongi, sasa hawa wataalamu wetu sie hadi sasa wamefanya nini au ndio wanazuiwa na hao wenye kujishughlisha na uchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…