TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kubembelezana kunaelekea kufika ukomo!!!Hili tulilitarajiani ila wanazidi kuharibu.Hakuna watachowafanya zaidi ya kuja kuwaachia tu lengo likiwa ni kuvuruga maandamano ya kesho kwani hayo mashitaka hata wakiambiwa watoe ushahidi kuyathibitisha watakuwa hawa hawana...
Mnataka kuandamana mnaanza ngonjera nyiiingi! Acheni kelele zenu nyinyi ingieni barabarani mgeuzwe walemavu.Hili tulilitarajiani ila wanazidi kuharibu.Hakuna watachowafanya zaidi ya kuja kuwaachia tu lengo likiwa ni kuvuruga maandamano ya kesho kwani hayo mashitaka hata wakiambiwa watoe ushahidi kuyathibitisha watakuwa hawa hawana....
Sasa Kwan hujui Libya ni vijana wavuta bangi ndio walio iangamiza nchi unafikir wangekua watu wenye busara zao nchi Ile ingeangamiaEti vijana wavuta bangi! Imenikumbushia Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Ukiangalia hali ilivyo Libya kwa sasa, je! Huamini maneno ya Ghadafi aliyosema!Eti vijana wavuta bangi! Imenikumbushia Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Yaani kwa huu ujinga ulioongea kuanzia sasa jiandae kuwa na ulinzi kama Jiwe 24/7. Hiyo kichwa yako yenye kamasi ndani ni ya kukata na kuipasua kabisa!Hao wanatukera sana, nadhani siyo kuwashikilia tu hata mkiamua muondoke nao moja kwa moja. Watanzania zaidi ya milioni 50 ni muhimu kuliko watu hao watatu. Kwa sababu kuchoma vituo vya mafuta ni zaidi ya siasa, ni ugaidi. Kama wapo mashekhe ambao wapo ndani kwa tuhuma tu za ugaidi na wakati hawa ushahidi wao unaanza kutolewa waziwazi, basi isiwe shida nao hao kusukumwa wapotelee huko au vinginevyo...
Kwahiyo unatishia watu? Wewe ni nani haswa mpaka utishe watu?Yaani kwa huu ujinga ulioongea kuanzia sasa jiandae kuwa na ulinzi kama Jiwe 24/7. Hiyo kichwa yako yenye kamasi ndani ni ya kukata na kuipasua kabisa!
Tanzania is a police state.
Mnaenda NEC wakati NEC na ofisi nyingi za serikali zipo Dodoma?Nitarusha selfie za kufa mtu. Nyimbo za ukombozi kama zote.
Mambosasa anaamini ni bangi tu ndio inaweza kumshawishi mtu. Hajui kwamba Bangi imehalalisha katika mataifa na hakuna tatizo. Hivi kwanini iwe bangi na siyo vilevi vingine vikiwemo pombe na madawa?Eti vijana wavuta bangi! Imenikumbushia Gaddafi ndivyo alivyokuwa akisema wakati Libya inaanza kuanguka! Alisema ni vijana wamepewa madawa ya kulevya wafanye fujo na maandamano!
Heeeee bibie upoooo vipi habari za uchaguzi mkuu mbona ulikuwa kimya vipi mlikuwa mnapanga baraza la mawaziri?Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa .
Taarifa zaidi zitaendelea kutiririka.