Mkuu,Tufanye nakubaliana na wewe...
Pia tukubaline moja ya athari za maandamano yeyote ni kutengeneza unsettlement... Kuna watu hawatofanya shughul za uchumi kupisha maandamano...
Na hapo Mkuu unazangumzia maandamano ya bila kikomo...
Indirectly unaishauri serikali itenge bajeti ya kumonitor maandamo ya bila kikomo?
The worst thing is, by being this paranoid, the state is actually undermining itself.
It is shooting itself in the foot.
I don't see how allowing peaceful demonstratiom would harm anyone. This is a constitutional freedom. Why are poople denied their cinstitutional rights?
The government is undermining its own good image - what little of it is left- by this Draconin stance that is straight from the Hammurabi Code.
I see this as the government panicking.
CCM not only stole the election, but it is now not even allowing people to demonstrate.
It's like someone stepping on your toes, and when you want to let him and the world know that he stepped on your toes, he is silencing you so you can't even talk!
Kwa hiyo polisi wameshindwa kuwasogezea mbele hayo maandamano?Sikiliza clip ya pili kabla ya maandamano unatakiwa uombe kibali masaa 48. Wao wametangaza maandamano within 38hrs wanataka waingie barabarani. Wao walikuwa Wabunge ndio wanafahamu hizi sheria sasa inakuwaje wao ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.
Lakini mkuu, hayo yote si hutekelezwa baada ya kibali cha kuandamana kutolewa?Ndo maana nikasema kuwa, wanaweza kupangiwa eneo au maeneo ya kuandamania ili wasilete kero au usumbufu kwa wengine.
Wanaweza hata kupangiwa siku na muda wa kuandamana.
Wanaweza hata kupangiwa ukomo wa maandamano yao.
Sasa dadanguWe huo ushahidi umeona ni hakimu wewe ujinga tu unaoongea Yaani hii nchi kuna watu wanadhani wana uhai kuliko wenzao hakuna mtu mwenye hati miliki ya nchi katiba sura ya 20 inatoa uhuru wa wananchi kuandamana kwa interest au sababu yoyote. Wewe ni nani wa kushabikia kukamatwa kwa viongozi kwa sababu wanataka kuandamana halafu wanasingiziwa sijui kulipua visima ili iweje. Kwanini vyombo vya dola vinapenda kuonea raia kila siku kuongeza asira kwa raia. Sababu ya nyie wajinga wachache kama msingekuwepo kusingekuwa na huu ujinga unaoendelea
Waombe maandamano within the required rules and regulations.Kwa hiyo polisi wameshindwa kuwasogezea mbele hayo maandamano?
kwa hiyo ishu ni kibali cha maandamano?Sikiliza clip ya pili kabla ya maandamano unatakiwa uombe kibali masaa 48. Wao wametangaza maandamano within 38hrs wanataka waingie barabarani. Wao walikuwa Wabunge ndio wanafahamu hizi sheria sasa inakuwaje wao ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.
Ni haki kabisa ya kikatiba.Mkuu,
Unaelewa maandamano ni haki ya kikatiba?
Unataka kuwanyima watu haki ya kikatiba kwa sababu wengine watapoteza nafasi za kufanya shughuli za uchumi?
Yani polisi wameshindwa kuwapangua hao wapinzani njia ya kufanya maandamano na kutangaza ili watu wajioange kufanya shughuli zao vizuri?
That is a fact.Nimaoni yako.
Okay. Sawa.Lakini mkuu, hayo yote si hutekelezwa baada ya kibali cha kuandamana kutolewa?
Inatakiwa kibali cha maandamano kiombwe ndani ya masaa 48
Sasa haijulikani kama hawa jamaa wamefuata utaratibu huu.
Sasa kwa nini issue inakuwa kukataza maandamano badala ya kuelekezana kuomba kibali?Ni haki kabisa ya kikatiba.
Lakini sheria yataka uombe kibali cha kuandamana ndani ya masaa 48
Je, wao wameomba kibali muda upi tangu Ijumaa?
Kwasababu polisi walijua kwamba mipango si kuomba kibali bali ni kuingia tu barabarani kienyeji.Sasa kwa nini issue inakuwa kukataza maandamano badala ya kuelekezana kuomba kibali?
Hapana.So far, wameshapanga kuandamana bila kikomo...
Hata maeneo watakayo andamania wameshajipangia...
Sasa si wawaambie tu kwamba wanapaswa kufanya hivi na vile...Kwasababu polisi walijua kwamba mipango si kuomba kibali bali ni kuingia tu barabarani kienyeji.
Kibali hawajaomba tokea Ijumaa na hawakuwa na mpango huo wa kuomba kibali.Okay. Sawa.
Mimi sina tatizo na muda wa kuomba kibali.
Waombe tu ndani ya muda unaotakiwa.
Lakini siyo kuleta visingizio vya eti wanataka kuchoma moto vituo vya mafuta.
Mbowe na Lema wanafahamu taratibu zote kwani wao si mara ya kwanza kufanya maandamano.Sasa si wawaambie tu kwamba wanapaswa kufanya hivi na vile...
Kuliko kuwakamata na kuwaweka ndani.
Come on now...
Watunga sheria Bungeni waliokaa miaka 15 hawafahamu sheria kweli? Au basi tu kujifanya wao hii ni nchi yao na sheria haziwahusu?Sasa kwa nini issue inakuwa kukataza maandamano badala ya kuelekezana kuomba kibali?
That is irrelevant and debatable.Watunga sheria Bungeni waliokaa miaka 15 hawafahamu sheria kweli? Au basi tu kujifanya wao hii ni nchi yao na sheria haziwahusu?