Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaconderTUNAOMBA tuwekee chanzo cha taarifa hapa
Kuna dhambi ama jinai imefanyika kwa kujiuzulu!!?Haya mambo ya Mtendaji Mkuu kujiuzulu ghafla tulizoea kuyaona Chadema kwa Dr Slaa na baadae Dr Mashinji
Sasa yametokea CCM na nafasi hiyo itakaimiwa na Naibu Katibu mkuu kama wanavyofanya Chadema
Siasa za Tanzania zimefika mahali ambapo Uvumilivu wa ziada unapaswa Kuwa kigezo cha Uteuzi hasa zama hizi za utandawazi na Kuzushiana
Mlale Unono [emoji3]
Wagombea wa nafasi za uongozi ndani ya Chama kwa ngazi ya Mkoa
Sixbert Jichagu Mwenyekiti CCM MwanzaHivi alikuwa serious Kweli?Jaribio la SSH kumfanya Makonda Katibu Mkuu CCM limekwama kwa kura nyingi, imebidi aombe akajifikirie upya aje na mtu mwingine
Hayupo wa kumtoa HP!!Majaliwa is next
Siasa za mtaroni tu hizo, Ccm wanawatowa kwenye reli, hawana majibu na shida za wananchi, ukali wa maisha, hakuna umeme, mafuta bei juu, nauli bei juu, purchasing capacity ya raia iko very poor.Nyeti zimesambaa mitandaoni huko!
Vichaa wako ccm wewe acha ushamba...nchi hii inaongozwa na vichaa wehu na majambazi kwa msaada wa TISSHivi yule Kichaa Mnyika kaishia wap!??
Kapona ule ukichaa?
Mbona unamuandama sana huyo jamaa kama ni kichaa kamtengee kijambio chako uone kama atakosea pa kuingiziaHivi yule Kichaa Mnyika kaishia wap!??
Kapona ule ukichaa?
Bila shaka yo yote alikupakua kinyesi kimasihara bila kukulipa!Hivi yule Kichaa Mnyika kaishia wap!??
Kapona ule ukichaa?
Alifanya nini hadi apewe "hadhi" ya ukichaa?Hivi yule Kichaa Mnyika kaishia wap!??
Kapona ule ukichaa?
Mbona unamuandama sana huyo jamaa kama ni kichaa kamtengee kijambio chako uone kama atakosea pa kuingizia
Subhanallah!@Gilbert alale mahala penye giza totoro!Aimiin 🙏Bila shaka yo yote alikupakua kinyesi kimasihara bila kukulipa!
Pole sana kamtafute Ufipa atapunguza deni!
wapi katibu mkuu kajiuzulu,hizo ninpropaganda za kijingaHaya mambo ya Mtendaji Mkuu kujiuzulu ghafla tulizoea kuyaona Chadema kwa Dr Slaa na baadae Dr Mashinji
Sasa yametokea CCM na nafasi hiyo itakaimiwa na Naibu Katibu mkuu kama wanavyofanya Chadema
Siasa za Tanzania zimefika mahali ambapo Uvumilivu wa ziada unapaswa Kuwa kigezo cha Uteuzi hasa zama hizi za utandawazi na Kuzushiana
Mlale Unono [emoji3]
Tiss hao hao si wamejaa huko ChademaVichaa wako ccm wewe acha ushamba...nchi hii inaongozwa na vichaa wehu na majambazi kwa msaada wa TISS