Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Niliyoyaongea huyajatokea?
bro unahitaji msaada wa kisaikolojia chadema inasemekana impegwa kimbunga kikali ina mbunge mmoja,ni wakati wa wewe kusaidia chama kilichoweka historia afrika kwa kushinda asilimia 99.9 ya bunge....magunzi 19 mnayakazania tena wapinga maendeleo?
 
Na hili halijafika mwisho....
Kuna wahuni watakula nao sahani moja.
Tusubiri.
 
Mahera amesema chadema wamepeleka barua yenye Muhuri wa Katibu mkuu. Chadema ni pamoja na Mbowe mwenyewe
Hupati uteuzi ng’oo ujue hata CCM huangalia wa kumpa uteuzi wakiona ni Mzushi mno kama cyprian Musiba na Le mutuz huuchuna sana
 
Mkuu Ingia you tube sikiliza mwenyewe tamko
WAMEVULIWA uanachama wao

Kuwavua uanachama ni hatua zinafuatwa haitokani na maamuzi ya kamati kuu. Kuwavua uongozi ni atua ya kwanza , may be ndiyo waendelee na utaratibu wa kuwavua uanachama. Hatua ya kuvuliwa uanachama inaweza kupingwa kisheria.
Tatizo nyumbu ushabiki mnaweka mbele bila kuelewa process.
 
bro unahitaji msaada wa kisaikolojia chadema inasemekana impegwa kimbunga kikali ina mbunge mmoja,ni wakati wa wewe kusaidia chama kilichoweka historia afrika kwa kushinda asilimia 99.9 ya bunge....magunzi 19 mnayakazania tena wapinga maendeleo?
Leo chadema ilikuwa inaenda kufariki kifo cha ghafra kama UDP DP TLP NCCR na CUF ya Lipumba lakini kitendo cha kuwafukuza wakike wanandungai 19 imerejesha Heshima yake toka kwa wadau wote wa demokrasia
 
Kama kweli unazijua process kampitishe nduguai azijue
 
Baada ya kupata taarifa hizo za ki-intelijensia wangetuma Kamanda Mambosasa akatawanye mkutano kwa kuwa unalengo baya la kuwadhulu hao COVIDs
Kibuli na dhalau havitakuacha salama. Halafuu kwa matusi yenu haya mlitaka wamama wa watu wafike uwanjani simngewafanyia majanga makubwaa.
 
Mwenzio yupo busy kusaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani unakuja kumuomba Link atakuelewa?
 
Hii kamati imelitendea haki jambo hili. Kwakuwa kumeonekana ukiukwaji mkubwa wa sheria za nchi ikiwa ni pamoja na Katiba yetu ya nchi ninategemea Rais wetu mpendwa ambaye tangia aapishwe kuilinda katiba yetu hata mwezi haujaisha aagize wote walihusika katika ukiukwaju huu wa sheria wachukuliwe hatua kwa kufikishwa mahakamani haraka ili sheria ichukiwe mkondo wake. Haiwezekani nchi yetu ianze kuongozwa kama banana Republic. Na Mahela aliyehusika kufanya huu udanganyifu achukuliwe hatua mara moja kwakuwa kitendo cha kugushi barua ni kosa la jinai ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya madaraka na kugushi nyaraka za serikali. Haya yafanyike haraka ili kurudisha angalau heshima kidogo maana kama anguko la nchi linakuja muda si mrefu.
 
Wanafukuzwa chadema,wanaoumia ni CCM,kaaaz kweli kweli mataga.
 

Hakuna chochote kifanyikacho bila Baraka we mgeni nn yote sarakasi hii ni kuzitaka hela za mabeberu.
Wawape tu huo viti maalumu
 
Again CDM wanakubali kupoteza msingi wa kwanza wa chama (watu) kama ilivyokuwa kwa wakina Zitto,Prof Kitila,Dr.Slaa na Prof.Mashinji kwa kutaja wachache.
Hivi hawaoni CCM ilivyodili na wakina Nape,Mzee Makamba na Katibu Kinana? Kwanini hawajifunzi jinsi ya kutatua matatizo yao kwa wakati (Taking all time they needed) kulikuwa na haraka gani ya kufanya maamuzi makubwa kama haya ndani ya masaa 72 ?
Kwanini kila uchaguzi au kwenye michakato ya uongozi ndani ya Chadema inaondoka na watu ?

CDM ili ifike mbali ni lazima ijijengee uwezo wa kumudu,kutunza na kukaa na watu/wanachama wake wa aina zote kwa maana Kuna msemo wa pwani usemao “Mtu si mbwa” leo hii wanapoteza wanachama 19 ambao wengi wao wanaushawishi mkubwa kwenye Ngome ya wanawake ya CDM na mbaya zaidi wanawapoteza kwa mtego wa kawaida sana.

CDM inacheza ngoma ya vyama vingine na kusahau shughuli yao ! Tokea M4C izimike na Dr.Slaa hakuna jambo la kimkakati la kujenga chama au kukuza chama limefanyika zaidi CDM imekuwa iki-REACT kutokana na matukio na matendo ya CCM pamoja na Serikali badala ya ku-ACT katika mipango na mikakati yake .

Itachukua muda sana kujenga watu wengine kulikoni ingepatikana suluhu ya kunufaisha chama zaidi.
 
Sorry boss

Ingekua ww ndio chadema ungefanya nini?
 
Mnajidai wana demokrasia kumbe wanafiki tu, ilitakiwa muwaite na muwajadili nao wajieleze,tukisema hii ni SACCOSS mtapinga, kule CCM hata kachero mbobezi alipewa muda wa kujieleza.
 
Sorry boss

Ingekua ww ndio chadema ungefanya nini?

MUDA ni somo kubwa sana ! Unadhani kwanini mtu anaweza kuua akakamatwa na kichwa cha marehemu lakini hukumu yake ikachukua muda kutolewa?
CDM walitakiwa kufahamu kuwa wanao MUDA na hili swala lingewachukua MUDA kuamua si swala la kwenda kwa mhemko na kutafuta shortcut .
Chama ambacho hakiwezi kutunza watu/wanachama wake kwasababu yoyote bila kujali manufaa mapana ya chama itachukua muda kufikia malengo yake.
Hili swala lilihitaji muda na si kwa uharaka huu waliofanya.
 
Mnajidai wana demokrasia kumbe wanafiki tu, ilitakiwa muwaite na muwajadili nao wajieleze,tukisema hii ni SACCOSS mtapinga, kule CCM hata kachero mbobezi alipewa muda wa kujieleza.
Ficha ujinga wako.

Nyau wewee
 
It's now official kuwa Chadema iko mikononi mwa wanaharakati, sio wanasiasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…