Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Hivi wajumbe wa Kamati hiyo ni wangapi? Kwa nia njema tu naomba kuwafahamu kwa majina.
 
Nadhani Aida Kenani ni kwamba yeye na wananchi wake watumie hekima tu kufuata matakwa ya Chadema ama la! Nisingeshauri wamfukuze mpaka hapo watakapoongea na wananchi wa huko!
 
Kwa maaamuzi haya magumu, CHADEMA itabaki kuheshimiwa na kuthaminiwa na WaTz kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
Kile chama caha kuiba, kuua, kufoji, kutesa kwa kutumia vyombo vya dola kwa kushirikiana na NEC, PCCB, POLICE, BUNGE, DPP, SPIKA na kimamiliki na ku-contol na kuamrisha mihimili mitatu AIBU KWENU.
Ila kumbukeni lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho na chochote mnachopanda MTAVUNA KWA WAKATI
 
Kwa hiyo kuwafukuza uanachama nayo ni strategy? Maana hawapo kwenye chama tena!!
 
Hiyo future ya kisiasa ingewasaidiaje kuvuka hapo waliokuwa?Maana kama ni ubunge wengine tayari wameuishi Sana,na tayari walikuwa wameukosa.
kwa hiyo kukua kisiasa lazima uwe mbunge?hao waliopata ubunge leo wote walikuwa wabunge kabla?
 
Hiyo future ya kisiasa ingewasaidiaje kuvuka hapo waliokuwa?Maana kama ni ubunge wengine tayari wameuishi Sana,na tayari walikuwa wameukosa.
kwa hiyo kukua kisiasa lazima uwe mbunge?hao waliopata ubunge leo wote walikuwa wabunge kabla?
 

Yeah wacha utaratibu ufuatwe; naona sasa NEC watakua wanawabunge wao ili wafurahi!
 
Kwa hiyo kuwafukuza uanachama nayo ni strategy? Maana hawapo kwenye chama tena!!
We chukua popcorn tulia uangalie Mtaalamu wa kubali gear ndege ikiwa hewani anavyomaliza mchezo
 
Kwahiyo Halima Mdee a.k.a. Yuda Iskarioti atakuwa Lipumba namba mbili ?
 
H
Kasome vizuri judicial review ujue nguvu na jurisdiction ya mahakama kwenye masuala hayo
 
Katiba unayoinukuu inatoa mwanya wa "kuminya haki za raia?
Je,Katiba hiyo inalazimisha raia kushiriki asichokikubali?
Katiba ipi inaruhusu na kulinda wanaoivunja wazi wazi bila kuwajibishwa?

Kila kitu kina utaratibu,na taratibu zikikiukwa na wahusika kuna hatua za kuchukua.
Unajua wabunge wa viti maalumu wanapatikanaje,mamlaka husika hufanyaje ili wakidhi matakwa ya sheria na Kanuni ili wawe halali?
Je,taratibu zimezingatiwa ktk kupatikana na kuapishwa kwao? Au kwa vile ni CDM ndiyo tatizo kwa vile hawajakubali "kuonewa na kuunga mkono"juhudi" uchwara?

NB. Kama Membe alijaribu tu kutumia haki yake ya kuchagua na kuchaguliwa akafurushwa (kwa kifungu kipi cha Katiba?) huoni tatizo sembuse mambo ya wazi na bado unaona wabaya na wakosaji ni CDM,basi kuna tatizo kubwa ktk kuchambua,kutafakari na kufikiri. Haya ndiyo madhara ya "elimu bure!" KWELI NI BURE KABISA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…