Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

Mara nyingi huwa napenda kumwangalia mtoa tamko machoni kipindi anapotoa tamko...huwa ukweli hujifichi machoni pa mtu
 
Usipende reply ukiwa chooni
Huyu bwana mkubwa umemstukia maana watanzania wanajua nani anayevuruga uchaguzi, ukiwanyima mawakala kufanya kazi zao kwenye kituo cha kura unavuruga uchaguzi kama ilivyotokea kwenye uchaguzi wa marudio kinondoni mpaka Akwiline R.I.P wakamuua, Binafsi watu wa kwanza kuvuruga amani ya nchi hii ni wakurugenzi na watendaji wa kata.Anachokifanya Lissu ni kuwaprovoke kama alivyofanya kwa mapolisi, Lisu na wagombea ubunge na udiwani chadema wanajua kabisa hawatatangazwa hata kama wakishinda, Sasa Lissu anajitengenezea mazingira ya kutoka na wananchi barabarani na alitoa msimamo wake since day one kwamba atawaingiza watu barabarani , kuepusha haya watende haki tu waacha janja janja.
 
Mh vyama 15 vitoke wapi Tz kuna vyama vya siasa vitatu tu. CCM Chadema na ACT . Vilivyobaki vyote ni CCM B. hata wkt wa mobutu Zaire vyama vilikuwa kama 100 ila ni vya mobutu vyote magirini tu
 
Dr Kawishe ambaye ni mkurugenzi wa sheria pale Tume ya uchaguzi amesema Tundu Lisu hajahukumiwa na NEC bali amehukumiwa na kamati ya maadili yenye yenye wajumbe 15 kutoka vyama vya siasa vyenye wagombea kwenye nafasi ya Rais.

Dr Kawishe ni Katibu wa kamati ya maadili ambayo ni huru!

Maendeleo hayana vyama!
 
Huyu nae kila mda anaongea tu,

Tatzo anajistukia sana, maamuzi ya CHADEMA yamewachanganya.
 
Reactions: BAK
Kura zilipigwaje? Nani aliunga mkono na nani alipinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…