Labda masanduku ya chato
Sawasawa tukutane tu tarehe iyo0
Tarehe 28 Oktoba utajua vizuri ikiwa ni ya Chato au nyumbani kwenu.
Mmeshindwa kumuua kwa risasi, hivi sasa mnatabiri kuwa Tundu Lissu atajiua kwa kujinyonga?!Jamaa anaweza kujinyonga kabisa. Wapambe wake inabidi wawe karibu naye kuepusha madhara yanyoweza kutokea.
Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Taifa yabainisha uongo wa Tundu Lissu na kueleza yafuatayo:
1. Siyo NEC iliyompa adhabu kama anavyotangaza bali amepewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ambayo wajumbe wake ni vyama vyote 15 ikiwemo Chadema na 11 ya wajumbe hao wameona Tundu Lissu ana atia
2. Tundu Lissu alipokea barua na alijitetea mbele ya Kamati kupitia mawakili wake wawili na kuomba Kamati impunguzie adhabu. Hii maana yake ni kuwa walikiri ana makosa
3. Sheria inataka taarifa ipewe vyama siyo mgombea binafsi na utaratibu kama huo ulishawahi kutumika Tundu Lissu alipopewa madai na TADEA na alijibu madai hayo yaliyowasilishwa kupitia CHADEMA kama ilivyo utaratibu.
Mengine sikiziza mwenyewe. Hakika Tundu Lissu ni mwongo na anadhamira mbaya na nchi yetu ili kuwafurahisha mabeberu wake. Chukua hatua na akili kichwani. Achana na Tundu Lissu.
Huyu siyo kwamba hayuko sawa, bali amekubaliana na mabwana zake afanye kila liwezekanalo ili nchi yetu iingie katika machafuko kwa manufaa ya hao mabwana zake. Na hasa waliyokuwa wakinufaika na mali za nchi yetu.Lissu kuna kitu hakiko sawa, anahitaji wanasaikolojia la sivyo baada ya October anaweza kujidhuru
Mm nikiliangalia lizee la upara lilivyo na kidevu kama kikombe cha kahawa natamani kutapika naona kama kinanuka kabisaa yaani kinyaa kweli kweliMimi nikiliona lilivyojazia mashavu nakeleka kweli nahisi kutapika na linavyoongea hadi kinyaa,poor lissu
Huyu siyo kwamba hayuko sawa, bali amekubaliana na mabwana zake afanye kila liwezekanalo ili nchi yetu iingie katika machafuko kwa manufaa ya hao mabwana zake. Na hasa waliyokuwa wakinufaika na mali za nchi yetu.
Uhuru gani mnautaka wakati sisi tuna uhuru toka 1961. Kama mnataka uhuru wa kupumuliana kisogoni kama sera zenu mtasubiri sana au hamieni huko huko kwa watetezi wenu
UsimdanganyeMh Lissu songa mbele wananchi tupo bega kwa bega na wewe. Ukilegeza tu ujue umetupoteza
Hapana , hajanikera ila nimefurahi tu wazanzibar walivyokuwa wanaondoka uwanjani wakati anahutubia
[/QUOT
Hapana , hajanikera ila nimefurahi tu wazanzibar walivyokuwa wanaondoka uwanjani wakati anahutubia
Ndiyo maana Tundu Lissu anacheza na akili zenu. Yaani hata hiyo video faki ya Zanzibar umeiamini!!!!. Kuna shida kubwa CHADEMA. Kimbia haraka utoke huko kabla ya Oktoba 28
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanakinukisha kupitia twiter za sarungi na fatuma..Wapi mwembeyanga?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Uhuru wa 1961 ni wa wakolini lakini hata waandishi wa habari hawako huru ! Watu waliopo huru ni wale tu wanaounga mkono kila kitu cha Magufuli. Tanzania imekuwa nchi ya kinafki sana. Watu wanatekwa, kupigwa risasi bila kesi, sheria ambazo zinawabana upinzani pekee. Kama unafikiri tuko huru ni uelewa mdogo maana hata South Africa ilipata uhuru kabla yetu. Unaweza kunyimwa uhuru hata na ndugu zako wa damu! Kama hujawahi kuishi nje huwezi kuelewa
Uko mimba au?Mm nikiliangalia lizee la upara lilivyo na kidevu kama kikombe cha kahawa natamani kutapika naona kama kinanuka kabisaa yaani kinyaa kweli kweli
Maneno anayotumia Lissu yameshasababisha kifo huko Tunduma , anawajaza jazba misukule wake wanakua kama wamevuta bangi wakiamini kila analosema yuko sahihi kumbe mwongo mkubwa, Huyu Lissu ndio anasubiri kupelekwa The Heague
Pamoja na kuwa upande wa lissu, lakini kuna sehemu anakosea. Sehemu yenyewe ni; Lissu sio mgombea binafsi hivyo barua haiwezi kupelekwa kwake binafsi bali itapitia chama ambacho ndio anakitumia kugombea.
Ingekuwa jambo la ajabu sana kama NEC wangemplekea lissu barua yeye kama yeye badala ya chama Sasa kuhusu yaliyomo kwenye barua mimi sidhani kama yana mashiko.
Mwisho kabisa, hadi sasa lissu ni kama ashatengeneza mgogoro na NEC, je anategemea kushinda kwenye mazingira gani na je anategemea wagombea wa ubunge na udiwani watashindaje?
Au ndio tutasema kuwa hatutakubali? Hakuna tena jipya chini ya jua, naona kabisa yatatokea yale yaliyotokea uchaguzi wa serikali za mitaa na mwisho wa siku chama ndio kitaathirika.