Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar: Tulikamata wavuta bangi sio wanaokula mchana

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar: Tulikamata wavuta bangi sio wanaokula mchana

kamanda alizofunga zote ni maji anasema uongo kwenye mfungo au nayo ime kwenye sheria za uislamu wao
 
✍️🧠Linapokuja swala la kulazimisha mtu afuate unachokiamini ktk imani, inamaanisha hakuna maana ya kungoja hiyo hukumu unayo ihubiri kwa watu ktk kuingoja, mana tayari umeshaanza kuitoa wewe na sio Mungu kama unavyohubiri watu

kwa Mungu kuna pande mbili tu,
1.kumkubali/kumkiri
2.Au kumkataaa

Yeye hana Neutral

Basi kwa upendo wake ake akakupa uhuru wa kuchagua, Maana kila ulitendalo ni matokeo ya ulichokiwaza/kukifikiri,

Angelikuwa na hasira kama hizo walizoonyesha police, hapa duniani pasingekuwapo na mtu.

Wapendwa tupendane mwenye maamuzi ya mwisho ni Mungu mwenyewe 🙏🙏 ❤️🇹🇿
Kwenye uislamu ni lazima ufuate dini.
 
Kwenye uislamu ni lazima ufuate dini.
Mpendwa dini gani inamlazimisha mtu kutii mafundisho au maagizo yake, dini inakufundisha kutii mafundisho juu imani hiyo, Maana yake unaweza ukayafanyia kazi au usiyafanyie kazi utakayofundishwa

Ingekuwa ni lazima watu wengi hadi sasa wangekuwa hawana dini Maana imani hailazimishwi, hilo ni swala la Mtu yeye na maamuzi yake. Maandiko yanaasema enendeni mkawafundishe au mkawahubiri sio mkawalazimishe, hapo ni kama darasani, kunawatakao elewa na ambae hawataelewa
 
Ritz Njoo uwaone wenzio. Hii dini yenu inakuja na mapepo ndani yake basi hata mwenye akili naye zinaruka ghafla. Huko Masjid huwa mnakaririshwa vitu gani
 
Mpendwa dini gani inamlazimisha mtu kutii mafundisho au maagizo yake, dini inakufundisha kutii mafundisho juu imani hiyo, Maana yake unaweza ukayafanyia kazi au usiyafanyie kazi utakayofundishwa

Ingekuwa ni lazima watu wengi hadi sasa wangekuwa hawana dini Maana imani hailazimishwi, hilo ni swala la Mtu yeye na maamuzi yake. Maandiko yanaasema enendeni mkawafundishe au mkawahubiri sio mkawalazimishe, hapo ni kama darasani, kunawatakao elewa na ambae hawataelewa
Dini inayomlazimisha mtu kutii mafundisho ni Uislamu.

Kwani wewe unakaa wapi hadi usilijue hili?

Uislamu unafundisha kwamba, wasiofuata mafundisho ya Quran na hadithi za mtume ni makafiri na wanatakiwa kuuawa.
 
Kamishna Mkuu wa Jeshi la polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad amesema hakuna sheria inayowaruhusu Polisi Zanzibar kuwakamata Watu wanaokula hadharani mchana wa Ramadhani na kusema chanzo cha msako uliofanyika ni baada ya video iliowaonesha Watu wakivuta bangi mchana maeneo ya Maisara Zanzibar.

CP Hamad ametoa ufafanuzi huo kufuatia operesheni iliofanyika Mkoa wa Mjini na kuwakamata Watu waliodaiwa kula mchana wa Ramadhan “Hakuna sheri inayokataza Watu wasile mchana wa Ramadhani, nilitoa maelekezo baada ya video ya wanaovuta bangi kwamba ifanyike oparesheni wale wavuta bangi kwasababu bangi ni kosa la jinai hakuna sheria inayoruhusu Watu kuvuta bangi ila hatukuwakamata wala mchana”

“Shida iliyojitokeza operesheni hii ilikamata waliomo na wasiokuwemo, wavuta bangi na waliokula hadharani, Mampaka nyingine za Kiserikali huwa zinafanya oparesheni hiyo ya wanaokula mchana na wajibu wetu ni kusimamia ili ili zifanyike kwa salama na amani.”
Afukuzwe kazi akili hana
 
Dini inayomlazimisha mtu kutii mafundisho ni Uislamu.

Kwani wewe unakaa wapi hadi usilijue hili?

Uislamu unafundisha kwamba, wasiofuata mafundisho ya Quran na hadithi za mtume ni makafiri na wanatakiwa kuuawa.
Mi silijui hilo,mbona ktk mafundisho yao hawatumi neno ni lazima Ila "Nawasihi ndugu zangu waislam" 😊

Basi kama ni lazima, Waachiwe nchi yao 🙌
 
Kabla hatujafikia yaliyojiri leo ni vema tuuone mlolongo mzima ili kupta picha kamili.

Wiki iliyopita Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja Zanzibar ACP Abubakar Khamis Ally alisema Watu 12 walikamatwa na polisi Zanzibar kwa kula hadharani mchana Zanzibar



Pia alisisitza Jeshi hilo litaendelea kuwakamata wale wote wataoonekana au kukutwa wakila chakula mchana hadharani.



Kukawa na kelele nyingi kwamba kinachofanywa si sawa hasa kwa wakristo wasiohusika na mfungo, serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ikatoa tamko juu ya uvumilivu wa dini na kulaani vitendo vya kinyanyasaji vinavyoendelea.

1712069221924.png



Leo hii Kamishna Mkuu wa Jeshi la polisi Zanzibar, CP Hamad Khamis Hamad amesema hakuna sheria inayowaruhusu Polisi Zanzibar kuwakamata Watu wanaokula hadharani, hata hivyo waliokamatwa wakila wana kesi ya kukutwa wakivuta bangi hadharani

 
Kiukweli niseme tu, waislam wa huko zanzibar huwezi kutofautisha kati ya professor na aliyeishia la nne, wote akili zao ni level moja. Sijui wana shida gani hawa binadamu! Unaweza kudhani wanaugua utaahira, kumbe ndivyo walivyo..
 
KWA USHHIDI WA VIDEO:

Wiki iliyopita Watu 12 walikamatwa na polisi Zanzibar kwa kula hadharani mchana Zanzibar


View attachment 2951882

Leo hii waliokamatwa wakila wamepewa kesi ya kukutwa wakivuta bangi hadharani

View attachment 2951884
😅🤣🤣🤣🤣
Wataeleweka Tu Zanzibar sio ya Wakristo..
Hahaha Sasa wamegeuziwa case...

Kwamba wote wanaokula mchana watakuwa wanapewa kesi ya bangi🤣🤣😅
 
Back
Top Bottom