Huyu kijana ana uwezo mkubwa sana wa kucheza na maneno kama walivyo wanasiasa wengi tokea ZanzibarSalum Mwalim ananguruma hapa,very impressive
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kijana ana uwezo mkubwa sana wa kucheza na maneno kama walivyo wanasiasa wengi tokea ZanzibarSalum Mwalim ananguruma hapa,very impressive
Chadema wanashindwa kuweka live yaani hata Hashimu Rungwe kawashinda mkutano wake uko live onlime
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWAmkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.
yaani bado nusu saa mkutano kufika mwisho watu tuna hamu kumsikiliza na kumtazama Lissu akihutubia lakini hakuna livestream link yoyote kweli? kweli? this is serious sana aisee!!
Kama inabebwa na Ukawa wasiwasi wa nini Hadi kukata karibu wagombea elfu 1000cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA
Ila haka kauwanja ni kadogo, hata Majaliwa akienda Mbeya kupiga kampeni atakajaza vizuri tu.Hii ndio tafsiri ya nguvu ya Umma
Huyo Tulia inabid aendelee kutuliaView attachment 1559614
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyeweView attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA
Ndiyo hapo sasa muadabisheni mapema kabla haja watia aibuuvumilivu unanishinda mkuu, halafu moyo unaniuma sana nikimuona mgombea wetu wa ccm anabwatuka bwatuka na kuongea vitu kama hajielewi.
Punguza matusi ndugu yetu siasa siyo uwanja wa vita kama mnavyo fundishwa huko kwenye makambi ya green guard.Kuna kosa gani hapo?
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA