Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

mkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.
yaani bado nusu saa mkutano kufika mwisho watu tuna hamu kumsikiliza na kumtazama Lissu akihutubia lakini hakuna livestream link yoyote kweli? kweli? this is serious sana aisee!!
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA

 
Hii ndiyo Mbeya hapo ni njiani Mbalizi akielekea kwenye mkutano wa leo
 
Hivi CCM si raisi huwa ana term 2 jamani? Ama nakosea.
 
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .

Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .

View attachment 1559139

UPDATES
========

View attachment 1559436



Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyeweView attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600

Lissu anasubiri kuapishwa tu
 
video
 

Attachments

  • Kinachoendelea Mbeya mjini mda huu._muscle_ ( 750 X 750 ).mp4
    6 MB
cheki chama kidogo tu cha CHAUMA kiko online uzinduzi wake.Chadema iko hoi ilikuwa tu inabebwa na UKAWA


huwezi kuidharau Chadema kwa kukiita chama hoi wakati tayari kinamtia jambajamba mgombea urais wa CCM hadi alipofika Singida kwa Tundu Lissu akaomba poo kwa kutuma "love letter ya kakazi kadogo". leo huko Musoma tumesikia anamlazimisha bibi yetu Maria amfagilie jukwaani - bibi kamuumbua mchana kweupe!

true, hii kukosa livestream is wrong for a big party like Chadema but ni minor hiccup tu ambayo ni easily recoverable.
 
Back
Top Bottom