Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama lowassaWakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyeweView attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600
Video
Mzee wa fiesta akiona picha hii itabidi aongeze idadi ya wasanii!!
Halafu mama Maria Nyerere ametupiga spana ya ugoko , mimi na Polepole tunajuta kumpa mic yule mama.
Ni balaa sasa hivi najua mpo kwenye chumba cha mapumziko mkitafakali yaliyo wakuteni pale musomaHalafu mama Maria Nyerere ametupiga spana ya ugoko , mimi na Polepole tunajuta kumpa mic yule mama.
Vipi mhehamsha goli...sio wingi wa watu Tena[QUOTE="Saharavoice, post: 36589720, member: 529
Ndoto za mchana bila tathmini ni ndoto zisizo na matumaini.
Hapo Mbeya Tulia atashinda asubuhi, wapiga kura wako home na wengine wanendelea na shughuli zao. Maamuzi wlishafanya zamani sana. Tukutane October 28
Mama ametuvua nguo mchana kweupe, ila tunamuombe uzima , hasije akafanyiwa alichofanyiwa Mzee Mangula, maana ccm kwa kuwekeana sumu hawajambo.Ni balaa sasa hivi najua mpo kwenye chumba cha mapumziko mkitafakali yaliyo wakuteni pale musoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakifanya hivyo kwa huyo mama watakuwa wamechokoza nyuki kwenye mzinga wao tena wakati wa jua kali.Mama ametuvua nguo mchana kweupe, ila tunamuombe uzima , hasije akafanyiwa alichofanyiwa Mzee Mangula, maana ccm kwa kuwekeana sumu hawajambo.
Mangula kagoma hata kushiriki mikampeni yaoMama ametuvua nguo mchana kweupe, ila tunamuombe uzima , hasije akafanyiwa alichofanyiwa Mzee Mangula, maana ccm kwa kuwekeana sumu hawajambo.
Lissu usisahau kuzungumzia na URAIA huyu mzalendo uchwara tumechoshwa kila mtanzania akikosoa anaambiwa athibitishe uraia wakeWakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyeweView attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600
Video
Anaogopa wakina Polepole watamlisha tena sumuMangula kagoma hata kushiriki mikampeni yao
Mkuu habari ya green guard siijui. Ila kuna mijitu inauzi sa naPunguza matusi ndugu yetu siasa siyo uwanja wa vita kama mnavyo fundishwa huko kwenye makambi ya green guard.
Sent using Jamii Forums mobile app
ccm ya magufuli profesa ni imara sana, huwa haishindwi kitu.Wakifanya hivyo kwa huyo mama watakuwa wamechokoza nyuki kwenye mzinga wao tena wakati wa jua kali.
Ile neno kisiwa cha amani watalitafuta kwa tochi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaongelea kina Kakobe walivyosumbuliwa na uhamiaji na wengine waliofunguliwa kesi na sasa wameunga juhudi.Lissu usisahau kuzungumzia na URAIA huyu mzalendo uchwara tumechoshwa kila mtanzania akikosoa anaambiwa athibitishe uraia wake